Je, Tanzania ipo sababu ya kuwa na Designated Survivor?

WilsonKaisary

JF-Expert Member
Apr 4, 2017
392
946
Kwa tafsiri fupi wasiojua maana designated survivor, huyu Ni mteule wa hatamu ya uraisi ambae huteuliwa na raisi au kamati kuu ya usalama ya nchi au bunge, huyu mtu huteuliwa Palo ambapo viongozi wakuu wa nchi wanapokutana mfano leo Bunge lilipokuwa linavunjwa tumeona viongozi wakuu wamekutana bungeni.

Huyu designated survivor huteuliwa kushika hatamu ya uraisi na kiti Cha uraisi haswa pale kutatokea shambulio la kigaidi na viongozi wote wakadhurika wakuu wa nchi wakafa au kuwa hoi maututi. Yani mfano Leo bungeni Dodoma lingetokea shambulio ambalo linge sababisha vifo au umaututi wa viongozi Hawa wakuu ( Raisi, Makamu, Spika, Naibu spika,Waziri mkuu).

Huyu designated survivor angeapishwa hapo hapo na kuwa raisi wa muda mpaka uchaguzi mkuu ambapo ungefanyika.

Designated Survivor huyu huteuliwa kisiri na hufichwa nje mbali na eneo, lile wanalokutana viongozi Hawa.

Mfano Kama Leo wamekutana Dodoma bungeni, Basi angepelekwa mkoa wa mbali Labda Shinyanga n.k kwa lengo tu asidhurike. Na hulindwa kikamilifu.

Kwa nchi Kama Marekani wanautaratibu huu, haswa pale wanapokutana kwenye Congress ya pamoja.

Je kwa nchi yetu ipo sababu kikatiba ya kuwa na Designated Survivor ataetambulika kikatiba? Na ambae janga Kama hili likitokea aweze kupewa hatamu ya uraisi kwa muda.

Maana tukisema hapana, vipi Kama Leo bunge lingesambalatishwa Leo na tungepoteza viongozi wote. Ni Nani angeshika hatamu ya uraisi? Na kwa misingi ipi au kwa sheria ipi?
 
Kwa tafsiri fupi wasiojua maana designated survivor, huyu Ni mteule wa hatamu ya uraisi ambae huteuliwa na raisi au kamati kuu ya usalama ya nchi au bunge, huyu mtu huteuliwa Palo ambapo viongozi wakuu wa nchi wanapokutana mfano leo Bunge lilipokuwa linavunjwa tumeona viongozi wakuu wamekutana bungeni.

Huyu designated survivor huteuliwa kushika hatamu ya uraisi na kiti Cha uraisi haswa pale kutatokea shambulio la kigaidi na viongozi wote wakadhurika wakuu wa nchi wakafa au kuwa hoi maututi. Yani mfano Leo bungeni Dodoma lingetokea shambulio ambalo linge sababisha vifo au umaututi wa viongozi Hawa wakuu ( Raisi, Makamu, Spika, Naibu spika,Waziri mkuu).
Huyu designated survivor angeapishwa hapo hapo na kuwa raisi wa muda mpaka uchaguzi mkuu ambapo ungefanyika.

Designated Survivor huyu huteuliwa kisiri na hufichwa nje mbali na eneo, lile wanalokutana viongozi Hawa.

Mfano Kama Leo wamekutana Dodoma bungeni, Basi angepelekwa mkoa wa mbali Labda Shinyanga n.k kwa lengo tu asidhurike. Na hulindwa kikamilifu.

Kwa nchi Kama Marekani wanautaratibu huu, haswa pale wanapokutana kwenye Congress ya pamoja.

Je kwa nchi yetu ipo sababu kikatiba ya kuwa na Designated Survivor ataetambulika kikatiba? Na ambae janga Kama hili likitokea aweze kupewa hatamu ya uraisi kwa muda.

Maana tukisema hapana, vipi Kama Leo bunge lingesambalatishwa Leo na tungepoteza viongozi wote. Ni Nani angeshika hatamu ya uraisi? Na kwa misingi ipi au kwa sheria ipi?
Kila mkoa chini ya mkuu wa mkoa ungejitangazia mamlaka kamili.
 
Huyu designated survivor huteuliwa kushika hatamu ya uraisi na kiti Cha uraisi haswa pale kutatokea shambulio la kigaidi na viongozi wote wakadhurika wakuu wa nchi wakafa au kuwa hoi maututi. Yani mfano Leo bungeni Dodoma lingetokea shambulio ambalo linge sababisha vifo au umaututi wa viongozi Hawa wakuu ( Raisi, Makamu, Spika, Naibu spika,Waziri mkuu).

Huyu designated survivor angeapishwa hapo hapo na kuwa raisi wa muda mpaka uchaguzi mkuu ambapo ungefanyika.

Designated Survivor huyu huteuliwa kisiri na hufichwa nje mbali na eneo, lile wanalokutana viongozi Hawa.

Mfano Kama Leo wamekutana Dodoma bungeni, Basi angepelekwa mkoa wa mbali Labda Shinyanga n.k kwa lengo tu asidhurike. Na hulindwa kikamilifu.
Ni kweli kabisa. Nadhani hata kwetu sisi kuna haja ya kufanya hivi maana dunia imeenda kasi kweli kweli na kuna vitu muhimu kimkakati kama hivi ni lazima viwepo
 
Niliwaza hili jambo,lakini baadae nikajiridhisha na usalama kuwa umewekwa inavyostahili. Iwe jua ama mvua hakuna jambo baya lingetokea.

Ingawa pia naunga mkono hilo wazo lakini pia lifanywe kwa tahadhari pengine mhusika asiweze kufaham. Maana anaweza panga utekelezaji wa ugaidi ili yeye akamate uskani.
 
Kwa tafsiri fupi wasiojua maana designated survivor, huyu Ni mteule wa hatamu ya uraisi ambae huteuliwa na raisi au kamati kuu ya usalama ya nchi au bunge, huyu mtu huteuliwa Palo ambapo viongozi wakuu wa nchi wanapokutana mfano leo Bunge lilipokuwa linavunjwa tumeona viongozi wakuu wamekutana bungeni.

Huyu designated survivor huteuliwa kushika hatamu ya uraisi na kiti Cha uraisi haswa pale kutatokea shambulio la kigaidi na viongozi wote wakadhurika wakuu wa nchi wakafa au kuwa hoi maututi. Yani mfano Leo bungeni Dodoma lingetokea shambulio ambalo linge sababisha vifo au umaututi wa viongozi Hawa wakuu ( Raisi, Makamu, Spika, Naibu spika,Waziri mkuu).

Huyu designated survivor angeapishwa hapo hapo na kuwa raisi wa muda mpaka uchaguzi mkuu ambapo ungefanyika.

Designated Survivor huyu huteuliwa kisiri na hufichwa nje mbali na eneo, lile wanalokutana viongozi Hawa.

Mfano Kama Leo wamekutana Dodoma bungeni, Basi angepelekwa mkoa wa mbali Labda Shinyanga n.k kwa lengo tu asidhurike. Na hulindwa kikamilifu.

Kwa nchi Kama Marekani wanautaratibu huu, haswa pale wanapokutana kwenye Congress ya pamoja.

Je kwa nchi yetu ipo sababu kikatiba ya kuwa na Designated Survivor ataetambulika kikatiba? Na ambae janga Kama hili likitokea aweze kupewa hatamu ya uraisi kwa muda.

Maana tukisema hapana, vipi Kama Leo bunge lingesambalatishwa Leo na tungepoteza viongozi wote. Ni Nani angeshika hatamu ya uraisi? Na kwa misingi ipi au kwa sheria ipi?
Jiwe hataki kabisa hata kusikia hilo pamoja na mambo mengine mengi ya kikatiba mpaka ccm watoke madarakani hayo mambo yatawezekana.
 
Mambo ya movie yawekwe kikatiba sio?.
Mpumbavu wewe, do research ndio uongee.*****. hao Ni designated survivor wa Marekani.
==List of designated survivors==
DateOccasionDesigneePositionNotes
February 18, 1981Presidential Address to Joint Session of Congress[2]Terrel BellSecretary of Education[3]
January 25, 1984State of the UnionSamuel PierceSecretary of Housing and Urban Development[4][5][6][7]
January 21, 1985Presidential InaugurationMargaret HecklerSecretary of Health and Human Services[8]
February 6, 1985State of the UnionMalcolm BaldrigeSecretary of Commerce[4][5][7][9]
February 4, 1986State of the UnionJohn BlockSecretary of Agriculture[4][5][7][10]
January 27, 1987State of the UnionRichard LyngSecretary of Agriculture[4][5][7][11]
January 25, 1988State of the UnionDonald HodelSecretary of the Interior[4][3][5][7]
February 9, 1989Presidential Address to Joint Session of Congress[2]Lauro CavazosSecretary of Education[citation needed]
January 31, 1990State of the UnionEdward J. DerwinskiSecretary of Veterans Affairs[4][5][7][12]
January 29, 1991State of the UnionManuel LujanSecretary of the Interior[4][5][7][13]
January 28, 1992State of the UnionEd MadiganSecretary of Agriculture[4][5][7]
February 17, 1993Presidential Address to Joint Session of Congress[2]Bruce BabbittSecretary of the Interior[4][5][7]
January 25, 1994State of the UnionMike EspySecretary of Agriculture[4][5][7]
January 24, 1995State of the UnionFederico PeñaSecretary of Transportation[4][5][7]
January 23, 1996State of the UnionDonna ShalalaSecretary of Health and Human Services[4][5][7][14]
February 4, 1997State of the UnionDan GlickmanSecretary of Agriculture[4][5][7][15]
January 27, 1998State of the UnionWilliam DaleySecretary of Commerce[4][5][7]
January 19, 1999State of the UnionAndrew CuomoSecretary of Housing and Urban Development[4][5][7][16]
January 27, 2000State of the UnionBill RichardsonSecretary of Energy[4][5][7][17]
February 27, 2001Presidential Address to Joint Session of Congress[2]Anthony PrincipiSecretary of Veterans Affairs[4][5][7]
September 20, 2001Presidential Address to Joint Session of Congress
(following the September 11 attacks)
Dick CheneyVice President[4][18]
Tommy ThompsonSecretary of Health and Human Services
January 29, 2002State of the UnionGale NortonSecretary of the Interior[5][7][19]
January 28, 2003State of the UnionJohn AshcroftAttorney General[4][5][7][20]
Norman MinetaSecretary of Transportation
January 20, 2004State of the UnionDonald EvansSecretary of Commerce[4][5][7][21]
January 20, 2005Presidential InaugurationGale NortonSecretary of the Interior[22][23]
February 2, 2005State of the UnionDonald EvansSecretary of Commerce[4][5][7][24][25]
Ted Stevens (R-AK)President pro tempore of the Senate
January 31, 2006State of the UnionJim NicholsonSecretary of Veterans Affairs[4][5][7][24][26]
Ted Stevens (R-AK)President pro tempore of the Senate
January 23, 2007State of the UnionAlberto GonzalesAttorney General[4][5][7][24][27]
January 28, 2008State of the UnionDirk KempthorneSecretary of the Interior[4][5][7][28]
January 20, 2009Presidential InaugurationRobert GatesSecretary of Defense[29][30]
February 24, 2009Presidential Address to Joint Session of Congress[2]Eric HolderAttorney General[4][5][7][31]
September 9, 2009Presidential Address to Joint Session of Congress
(Health Care Speech to Congress)
Steven ChuSecretary of Energy[32]
January 27, 2010State of the UnionShaun DonovanSecretary of Housing and Urban Development[5][7]
January 25, 2011State of the UnionKen SalazarSecretary of the Interior[5][7][33]
January 24, 2012State of the UnionTom VilsackSecretary of Agriculture[5][7][34]
January 21, 2013Presidential InaugurationEric ShinsekiSecretary of Veterans Affairs[35]
February 12, 2013State of the UnionSteven ChuSecretary of Energy[7]
January 28, 2014State of the UnionErnest MonizSecretary of Energy[36][37]
January 20, 2015State of the UnionAnthony FoxxSecretary of Transportation[38][39]
January 12, 2016State of the UnionOrrin Hatch (R-UT)President pro tempore of the Senate[40]
Jeh JohnsonSecretary of Homeland Security[41]
January 20, 2017Presidential InaugurationOrrin Hatch (R-UT)President pro tempore of the Senate[42]
Jeh JohnsonSecretary of Homeland Security[43]
February 28, 2017Presidential Address to Joint Session of Congress[2]David ShulkinSecretary of Veterans Affairs[44][45][46]
January 30, 2018State of the UnionSonny PerdueSecretary of Agriculture[47]
February 5, 2019State of the UnionRick PerrySecretary of Energy[48]
February 4, 2020State of the UnionDavid BernhardtSecretary of the Interior
 
Kwa tafsiri fupi wasiojua maana designated survivor, huyu Ni mteule wa hatamu ya uraisi ambae huteuliwa na raisi au kamati kuu ya usalama ya nchi au bunge, huyu mtu huteuliwa Palo ambapo viongozi wakuu wa nchi wanapokutana mfano leo Bunge lilipokuwa linavunjwa tumeona viongozi wakuu wamekutana bungeni.

Huyu designated survivor huteuliwa kushika hatamu ya uraisi na kiti Cha uraisi haswa pale kutatokea shambulio la kigaidi na viongozi wote wakadhurika wakuu wa nchi wakafa au kuwa hoi maututi. Yani mfano Leo bungeni Dodoma lingetokea shambulio ambalo linge sababisha vifo au umaututi wa viongozi Hawa wakuu ( Raisi, Makamu, Spika, Naibu spika,Waziri mkuu).

Huyu designated survivor angeapishwa hapo hapo na kuwa raisi wa muda mpaka uchaguzi mkuu ambapo ungefanyika.

Designated Survivor huyu huteuliwa kisiri na hufichwa nje mbali na eneo, lile wanalokutana viongozi Hawa.

Mfano Kama Leo wamekutana Dodoma bungeni, Basi angepelekwa mkoa wa mbali Labda Shinyanga n.k kwa lengo tu asidhurike. Na hulindwa kikamilifu.

Kwa nchi Kama Marekani wanautaratibu huu, haswa pale wanapokutana kwenye Congress ya pamoja.

Je kwa nchi yetu ipo sababu kikatiba ya kuwa na Designated Survivor ataetambulika kikatiba? Na ambae janga Kama hili likitokea aweze kupewa hatamu ya uraisi kwa muda.

Maana tukisema hapana, vipi Kama Leo bunge lingesambalatishwa Leo na tungepoteza viongozi wote. Ni Nani angeshika hatamu ya uraisi? Na kwa misingi ipi au kwa sheria ipi?
Mnawazaga kuua wenzenu tu,pathetic,na mshindwe na mlegee kwa jina la yesu
 
Mnawazaga kuua wenzenu tu,pathetic,na mshindwe na mlegee kwa jina la yesu
Hakuna Yesu Kama huyo unaemtaja kwa jina lake. Yesu anaekuambia uogope kifo na anaekunyima uelewa, Kuna mtu au huo uzi umekuambia tunataka mtu afe.? Huyo Yesu wako Ni yupi aliyekunyima akili? Nawe mgalatia, Ni Nani aliyekuloga?
 
Kwa tafsiri fupi wasiojua maana designated survivor, huyu Ni mteule wa hatamu ya uraisi ambae huteuliwa na raisi au kamati kuu ya usalama ya nchi au bunge, huyu mtu huteuliwa Palo ambapo viongozi wakuu wa nchi wanapokutana mfano leo Bunge lilipokuwa linavunjwa tumeona viongozi wakuu wamekutana bungeni.

Huyu designated survivor huteuliwa kushika hatamu ya uraisi na kiti Cha uraisi haswa pale kutatokea shambulio la kigaidi na viongozi wote wakadhurika wakuu wa nchi wakafa au kuwa hoi maututi. Yani mfano Leo bungeni Dodoma lingetokea shambulio ambalo linge sababisha vifo au umaututi wa viongozi Hawa wakuu ( Raisi, Makamu, Spika, Naibu spika,Waziri mkuu).

Huyu designated survivor angeapishwa hapo hapo na kuwa raisi wa muda mpaka uchaguzi mkuu ambapo ungefanyika.

Designated Survivor huyu huteuliwa kisiri na hufichwa nje mbali na eneo, lile wanalokutana viongozi Hawa.

Mfano Kama Leo wamekutana Dodoma bungeni, Basi angepelekwa mkoa wa mbali Labda Shinyanga n.k kwa lengo tu asidhurike. Na hulindwa kikamilifu.

Kwa nchi Kama Marekani wanautaratibu huu, haswa pale wanapokutana kwenye Congress ya pamoja.

Je kwa nchi yetu ipo sababu kikatiba ya kuwa na Designated Survivor ataetambulika kikatiba? Na ambae janga Kama hili likitokea aweze kupewa hatamu ya uraisi kwa muda.

Maana tukisema hapana, vipi Kama Leo bunge lingesambalatishwa Leo na tungepoteza viongozi wote. Ni Nani angeshika hatamu ya uraisi? Na kwa misingi ipi au kwa sheria ipi?
Hii kitu ilishawahi tokea au ni mambo ya kufikirika? Toa mfano.
 
Back
Top Bottom