KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,575
- 8,594
Kulingana na hali ilivyo sasa je hii nchi hii inaweza kuwa donor country?Maana naona wanasema uchumi unayumba!
Je, tatizo ni nini?viwanda havijengwi?pia wanasema shilingi imeporomoka lakini BOT wanasema siyo sasa nani mkweli?Mzungu au BOT?maana wamesema kuna mtu katengeneza software ya Bloomberg kwa kupika data za uongo?
Kweli na kwa mslahi ya nani?
Tuiombee nchi!
Je, tatizo ni nini?viwanda havijengwi?pia wanasema shilingi imeporomoka lakini BOT wanasema siyo sasa nani mkweli?Mzungu au BOT?maana wamesema kuna mtu katengeneza software ya Bloomberg kwa kupika data za uongo?
Kweli na kwa mslahi ya nani?
Tuiombee nchi!