#COVID19 Je, Tanzania imejiandaa kupokea dawa za Astra Zeneca zilizokataliwa huko kwingine? Pia tutakubali dawa za COVAX kama mkopo au tutagharamia wenyewe?

Richard

JF-Expert Member
Oct 23, 2006
14,939
20,399
Hadi sasa dawa ya chanjo ya Astra Zeneca imezuiwa kutumia katika nchi mbalimbali duniani.

Dawa hii ambayo yatengenezwa nchini Uingereza imedaiwa kusababisha mgando wa damu na hatimae muathirika kufariki kwa moyo kukosa hewa kutoka mwenye mishipa ya damu.

Uingereza iliiweka Tanzania kwenye ya nchi 31 ambazo ni nchi hatari kwa maambukizi ya ugonjwa wa COVI-19 tangu mwishoni mwaka mwaka 2020.

Msafiri yoyote ambae anatokea Tanzania hutakiwa kujiweka karantini hotelini na kufanya vipomo vitatu kabkla ya kuruhusiwa kutoka hotelini humo.

Pia msafiri huyo atapaswa kulipa gharama za kukaa hotelini happo kwa siku 14 akiruhusiwa kutoka nje tu kwa kuvuta sigara au kufanya mazoezi nje ya hoteli hizo zilizopo karibu na viwanja vya ndege nchni humo.

Mpaka sasa serikali ya Tanzania haijatoa taarifa yoyote ya idadi kamili ya watu waloambukizwa na walokufa kutokana na ugonjwa huo.

Tangu mwezi April mwaka jana Tanzania imekuwa kimya juu ya twakwimu na hivi sasa imekuwa ikishauriwa na shirika la afya duniani WHO kushirikiana nalo shirika hilo na kuhakikisha tawkimu zinatolewa na pia Tanzania inashiriiki kikamilifu katika mpango wa chanjo wa COVAX.

Mpango wa COVAX ni mpango ambapo nchi zenye uchumi wa kati duniani zinajioroshesha katika mpango huo na kuwa tayari kupokea dawa za chanjo ambazo zingine zinakuwa ni zile ambazo zimezidi idadi kutoka katika nchi ambazo ziliahgiza dawa hizo kwa wingi,yaani kuwa "surplus".

Lakini mpango huo unazitaka nchi huzika kuchukua dawa hizi kwa njia ya mkopo yaani "Advanced Market Commitment " yaani AMC ambapo fedha zimetolewa na nchi wahisani za Ulaya na Marekani.

Barani Afrika ni nchi mbili tu hadi sasa za Afrika Kusini na Tunisia ambazo zimegharamia zenyewe dawa hizo.

Nchi ambazo zimekubali mpango wa AMC ni pamoja na Ghana, Rwanda na Congo DRC. Nchi hizi hadi sasa hazijatangaza idadi ya wartu walodhurika na matumizi ya dawa hii na zimekuwa kimya!

Ikumbukwe kuwa nchi nyingi zilizoendelea ziliagiza dawa hizio kwa wingi kiasi cha kuweza kuwa na idadi ilozidi yaani Surplus na hivyo kuweka uwezekanio wa dawa hizio kusambazwa tena kurudsihwa kupitia moango wa COVAX.

Tanzania ilikataa mapema mpango huo ambapo aliekuwa raisi wake John Magufuli hakutaka kukubaliana na masuala ya nchi kuwa na madeni zaidi ya yale ambayo ilikuwa nayo tayari.

Itakumbukwa kuwa Tanzania ilitangazwa kuwa nchi ilofikia uchumi wa kati kwa kuendelea na shughuli zake za kiuchumi ndani bila kufungia watu ndani na pia kutumia fedha zake za ndani kuendeleza miradi yake ya kimkakati na pia kugharamia uchaguzi wake wa 2020 ambao ulighubikwa na zengwe la wizi wa kura.

Kwa tuliomwelewa marehemu Magufuli tuliona kuwa alitaka kuchukua njia ya Afrika Kusini ambayo iliamua kununua dawa ya Johnson & Johnson . Na pengine alitaka kufanya hivyo baada ya kujiridhisha kuwa dawa ambayo watanzania wanapatiwa ni ile ilofikia viwango ambavyo Tanzania imeweka au imeshauriwa kuwa ndo ilofaa.

Mimi pia nilichangia katika moja ya mada humu kuwa endapo Tanzania imekubali kujiunga na AMC basi ingekuwa ni kwa kununua kiasi kidogo cha dawa hizo kwa ajili ya raia ambao wapo kwenye kundi hatarishi (vulnerable ) na wale watakao kusafiri.

Lakini hadi sasa Tanzania imefungiwa kusafirisha ndege zake kwenda sehemu mbalimbali duniani na pia raai wake isipokuwa wale wenye makazi ya kudumu katika nachi za Ulaya na Marekani ndo pekee wanoruhusiwa kuingia nchi hizo lakini kwa kwenda moja kwa moja kwenye karantini.

Suali langu linalenga moja kwa moja kwenye mpango wa COVAX ambao bado unazihimiza nchi zenye uchumi wa kati ikiwemo Tanzania kwamba je nchi yetu itajiunga nao?

Na hata kama Tanzania itajiunga na mpango huo je itatumia fedha zetu za kodi kugharamia dawa hizo aua itaingia katika mkataba wa mkopo wa kunza kulipa kidogokidogo?

Suala hili linapaswa kuwekwa wazi ili watazania wafahamu kuwa serikali iimeignia kwenye mpango huo ambao pia (pengine) utaruhusu rai wake kusafiri kwenda kokote watakako khasa katika nchi za Ulaya.

Ni jukumu la wizara ya afya kuja na mpango maalum na kuweka sera za wazi kuhusiana na kukabiliana na ugonjwa huu ambao kwa sasa ni dhahri utaendelea kuwepo kwa kipindi kisichojulikana.

Mpango huo ni pamoja na kuhakikisha wagonjwa wote waloambuklizwa ugonjwa huo na kuthibitishwa wanaorodheshwa na kunakuwepo taarifa hizo tayari kwa vyombo vya habari na hatimae huko makao makuu WHO.

Sambamba na hilo vifo vyote kupitia vyeti vya kifo zinakuwa vimerekodiwa kwenye mifumo na kanzidata na kuwa tayari kusambazwa kwa vyombo vya habari na WHO.

Pia Wizara ya mambo ya nje chini ya mwanadipomasia Riberata Mulamula kuweka wazi msimamo Tanzania juu ya ugonjwa wa COVID-19 na kuelezea dunia njia tutumiazo kukabiliana nao.

Huu si wakti wa kuja na taarifa za kiblanketi zisizoeleweka au "blanket or ambiguous statemets" ambazo hazitatufikisha kokote kama taifa katika majukwaa ya kimataifa.
 
Mbona mna wasi wasi, tume inaweza kusema nyungu ndio mpango mzima :D
 
Rais amesema ataumda tume ya wataalamu, itakuja na majibu. Acheni kupiga ramli

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Je ni kweli taarifa ilowasilishwa WHO wiki ilopita imeonyesha Tanzania kuna virusi zaidi ya 10 vinavojibadili?

Soma hapa kama alivyotanabaisha bwana Tulio de Oloveira.

We just submitted a pre-print 'A novel variant of interest (VOI) of SARS-CoV-2 with multiple spike mutations detected through travel surveillance in Africa.'

This VOI has 31 amino acids mutations. In Spike has 11 mutations and three deletions in the N-terminal domain
It has some key mutations, including the E484K, R346K and P681H. The R346K is the associated with resistance to class 3 RBD NAbs recently described by @jbloom_lab

There are also 5 substitutions and 3 deletions in the NTD antigenic supersite (Y144Δ, R246M, SYL247-249Δ and W258L)

It the most diverse A lineage sequencers ever described. It also worry us as it was found in three travelers from Tanzania in Angola. There is almost no data from COVID-19 in Tanzania.

When compared with other variants of concern and variants of interest, this is the most divergent one.
Manuscript has been deposited at medRxiv and until online is freely accessible at: krisp.org.za/publications.p…

Sequences are available in GISAID with accessions: EPI_ISL_1347940, EPI_ISL_1347941, EPI_ISL_1347942

We decided to report this as a new VOI given the constellation of mutations with known or suspected biological significance, specifically resistance to neutralizing antibodies and potentially increased transmissibility.

Whilst we have only detected three cases with this new VOI, this warrants urgent investigation as the source country, Tanzania, has a largely undocumented epidemic and few public health measures in place to prevent spread within and out of the country.
 
Mbona mna wasi wasi, tume inaweza kusema nyungu ndio mpango mzima :D
Wasiwasi ni kwamba kirusi kilichoingia Tanzania kinatoa shida asili yake kama kinatokea China au Ulaya.

Dawa ya chanjo itategemea na aina ya kirusi.

Lakini pia taarifa zisizo rasmi zasema Tanzani aimeingie kwenye COVAX kimyakimya.

Kama ni hivyo, kwanini iwe siri?

Na kama imeingia kwenye mpango wa COVAX ni kwa njia ya mkopo au tunagharamia wenyewe na huu ndo msingi wa mada yangu.

Ila ikiwa kirusi ni cha China hiyo italigharimu sana taifa kwenye kununua chanjo na kudhbiti maambukizi na hiyo kushisha uchumi kutoka ule wa kati.
 
Hatuna uhakika Kama chanjo itakuwepo au Hapana mpaka tume itoe Majibu rasmi
 
Wasiwasi ni kwamba kirusi kilichoingia Tanzania kinatoa shida asili yake kama kinatokea China au Ulaya.

Dawa ya chanjo itategemea na aina ya kirusi.

Lakini pia taarifa zisizo rasmi zasema Tanzani aimeingie kwenye COVAX kimyakimya.

Kama ni hivyo, kwanini iwe siri?

Na kama imeingia kwenye mpango wa COVAX ni kwa njia ya mkopo au tunagharamia wenyewe na huu ndo msingi wa mada yangu.

Ila ikiwa kirusi ni cha China hiyo italigharimu sana taifa kwenye kununua chanjo na kudhbiti maambukizi na hiyo kushisha uchumi kutoka ule wa kati.
Tupo kwenye mpango wa COVAX ila si tulishagoma kwamba hakuna chanjo kwa sababu tuna tiba asili, hiyo kamati itakayoundwa labda inaweza kwenda kuwa rubber stamp kuonyesha nyungu zimetibu covid.
Screen Shot 2021-04-08 at 4.34.53 PM.png
 
Msihamishe magoli... tupo na SIEIJII

Huwezi kupenda giza bado ukawa msafi
 
Hadi sasa dawa ya chanjo ya Astra Zeneca imezuiwa kutumia katika nchi mbalimbali duniani.

Dawa hii ambayo yatengenezwa nchini Uingereza imedaiwa kusababisha mgando wa damu na hatimae muathirika kufariki kwa moyo kukosa hewa kutoka mwenye mishipa ya damu.

Uingereza iliiweka Tanzania kwenye ya nchi 31 ambazo ni nchi hatari kwa maambukizi ya ugonjwa wa COVI-19 tangu mwishoni mwaka mwaka 2020.

Msafiri yoyote ambae anatokea Tanzania hutakiwa kujiweka karantini hotelini na kufanya vipomo vitatu kabkla ya kuruhusiwa kutoka hotelini humo.

Pia msafiri huyo atapaswa kulipa gharama za kukaa hotelini happo kwa siku 14 akiruhusiwa kutoka nje tu kwa kuvuta sigara au kufanya mazoezi nje ya hoteli hizo zilizopo karibu na viwanja vya ndege nchni humo.

Mpaka sasa serikali ya Tanzania haijatoa taarifa yoyote ya idadi kamili ya watu waloambukizwa na walokufa kutokana na ugonjwa huo.

Tangu mwezi April mwaka jana Tanzania imekuwa kimya juu ya twakwimu na hivi sasa imekuwa ikishauriwa na shirika la afya duniani WHO kushirikiana nalo shirika hilo na kuhakikisha tawkimu zinatolewa na pia Tanzania inashiriiki kikamilifu katika mpango wa chanjo wa COVAX.

Mpango wa COVAX ni mpango ambapo nchi zenye uchumi wa kati duniani zinajioroshesha katika mpango huo na kuwa tayari kupokea dawa za chanjo ambazo zingine zinakuwa ni zile ambazo zimezidi idadi kutoka katika nchi ambazo ziliahgiza dawa hizo kwa wingi,yaani kuwa "surplus".

Lakini mpango huo unazitaka nchi huzika kuchukua dawa hizi kwa njia ya mkopo yaani "Advanced Market Commitment " yaani AMC ambapo fedha zimetolewa na nchi wahisani za Ulaya na Marekani.

Barani Afrika ni nchi mbili tu hadi sasa za Afrika Kusini na Tunisia ambazo zimegharamia zenyewe dawa hizo.

Nchi ambazo zimekubali mpango wa AMC ni pamoja na Ghana, Rwanda na Congo DRC. Nchi hizi hadi sasa hazijatangaza idadi ya wartu walodhurika na matumizi ya dawa hii na zimekuwa kimya!

Ikumbukwe kuwa nchi nyingi zilizoendelea ziliagiza dawa hizio kwa wingi kiasi cha kuweza kuwa na idadi ilozidi yaani Surplus na hivyo kuweka uwezekanio wa dawa hizio kusambazwa tena kurudsihwa kupitia moango wa COVAX.

Tanzania ilikataa mapema mpango huo ambapo aliekuwa raisi wake John Magufuli hakutaka kukubaliana na masuala ya nchi kuwa na madeni zaidi ya yale ambayo ilikuwa nayo tayari.
Umeuliza maswali ya msingi ambayo bila shaka baadhi yatakuwa ni sehemu ya ajenda za kamati tarajiwa. Hata hivyo mambo mengine yako wazi hayahitaji utafiti. Hiyo chanjo ya AstraZeneca ambayo kwa kiasi kukubwa ndio inayosambazwa kupitia mpango wa Coxax haitufai hapa Tanzania kwa asilimia kubwa.

KWA NINI CHANJO YA ASTRAZENEKA CHINI YA MPANGO WA COVAX HAITUFAI HAPA TANZANIA?

1. Chanjo hii tayari imeonekana kuwa na madhara ya kiafya hata kupelekea vifo kwa watu wenye umri chini ya miaka 60.

2. Takwimu za nchi yetu ya Tanzania, watu wenye umri chini ya miaka 60 ni zaidi ya asilimia 95 (95.5%) (soma kiambatanisho)

3. Kinyume na nchi zilizoendelea ambako watu wenye umri chini ya miaka 60 ni wachache kuliko wazee (60 plus) hali ambayo pengine imepelekea madhara yasiwe kwa watu wengi zaidi, nchi yetu 95.5% ya watu wake wana umri chini ya miaka 60, hivyo tutegemee madhara kwa watu wengi zaidi iwapo chanjo hiyo itatumika

KWA NINI CHANJO YA ASTRAZENEKA NDIO CHANJO INAYOTOLEWA ZAIDI CHINI YA MPANGO WA COVAX?.

Sababu halisi haijulikani lakini yawezekana ikawa ni kwa sababu zifuatazo:

1. Bei yake ni nafuu zaidi kuliko chanjo zote zilizopo sokoni kwa sasa

2. Inaweza kusafirishwa na kuhifadhiwa kwa urahisi zaidi kuliko chanjo nyingine zinazotambuliwa na nchi za magharibi kwa sasa (inahitaji joto la kawaida la friji zinazotumika majumbani.

3. Chanjo hii kwa sasa haipendelewi sana na nchi nyingi

CHANJO HII INAWEZA KUTUMIKA TANZANIA?

JIBU NI NDIO AU HAPANA

NDIO:

Iwapo utafiti utaonyesha faida, bado inaweza kutumika kwa wazee wetu ambao wanazidi miaka 60.

Iwapo itakuwa hivyo nchi yetu itatumia fedha kidogo kuagiza chanjo hiyo kukidhi mahitaji ya kundi hilo.

Kwa vile kundi hili (zaidi ya umri wa miaka 60) hasa ndio waathirika wakubwa wa UVIKO 19/21 chanjo hiyo inaweza kutolewa kwa kipaumbele kwa kundi hili.

HAPANA:
Kutokana na kubadilika badilika kwa virusi hivi, Iwapo utafiti utaonyesha haifanyi kazi kama ilivyotokea nchini Africa ya Kusini itakuwa si busara kufuata mkumbo wa na kuagiza chanjo ambayo haikidhi malengo.

KATIKA KIPINDI CHA MPITO AMBACHO UTAFITI UNAFANYIKA NINI KIFANYIKE?

Kutokana na kuendelea kuchangamana idadi kubwa ya watanzania kwa sasa watakuwa tayari wana kinga asili (herd immunity).

Hata hivyo, kinga hii kama ilivyo kwa wale waliopokea chanjo haimsaidii mtu iwapo kutatokea kirusi kipya.

KINGA KUU: Chukua tahadhari, kujikinga na umkinge mwenzio
 

Attachments

  • Population Distribution by Age and Sex Report-2012PHC.pdf
    16 MB · Views: 1
Watu wanahitaji kuwa makini wakati wa kufanya injecting foreign genetic material into their bodies. Chanjo za COVID ni chanjo za mRNA. Chanjo za mRNA ni aina mpya kabisa ya chanjo. Hakuna chanjo ya mRNA iliyowahi kupewa leseni ya matumizi ya binadamu hapo awali. Kwa hiyo, hatujui kabisa nini cha kutarajia kutokana na chanjo hii hapo baadae lakini kwasasa walidai haina madhara. Hatujui ikiwa hapo baadae itakuwa effective na safe.

Traditional vaccine tulizo zoea zina introduce pieces of a virus to stimulate an immune reaction lakin chanjo mpya ya mRNA ni tofauti kabisa, zenyewe huingiza/injects (transfects) molecules za synthetic genetic material kutoka kwa non-humans sources na kuingiza kwenye seli zetu, halafu baada ya kuwa kwenye seli, genetic material zina interacts na RNA (tRNA) kutengeneza protini ya kigeni ambayo inadhaniwa inafundisha mwili kuharibu virusi vya Corona. Kumbuka kuwa protini hizi mpya hazijasimamiwa na DNA yetu wenyewe, kwa hio zinakua ngeni kabisa kwa seli zetu kwa hiyo what they are fully capable of doing is unknown.
 
Umeuliza maswali ya msingi ambayo bila shaka baadhi yatakuwa ni sehemu ya ajenda za kamati tarajiwa. Hata hivyo mambo mengine yako wazi hayahitaji utafiti. Hiyo chanjo ya AstraZeneca ambayo kwa kiasi kukubwa ndio inayosambazwa kupitia mpango wa Coxax haitufai hapa Tanzania kwa asilimia kubwa.

KWA NINI CHANJO YA ASTRAZENEKA CHINI YA MPANGO WA COVAX HAITUFAI HAPA TANZANIA?

1. Chanjo hii tayari imeonekana kuwa na madhara ya kiafya hata kupelekea vifo kwa watu wenye umri chini ya miaka 60.

2. Takwimu za nchi yetu ya Tanzania, watu wenye umri chini ya miaka 60 ni zaidi ya asilimia 95 (95.5%) (soma kiambatanisho)

3. Kinyume na nchi zilizoendelea ambako watu wenye umri chini ya miaka 60 ni wachache kuliko wazee (60 plus) hali ambayo pengine imepelekea madhara yasiwe kwa watu wengi zaidi, nchi yetu 95.5% ya watu wake wana umri chini ya miaka 60, hivyo tutegemee madhara kwa watu wengi zaidi iwapo chanjo hiyo itatumika

KWA NINI CHANJO YA ASTRAZENEKA NDIO CHANJO INAYOTOLEWA ZAIDI CHINI YA MPANGO WA COVAX?.

Sababu halisi haijulikani lakini yawezekana ikawa ni kwa sababu zifuatazo:

1. Bei yake ni nafuu zaidi kuliko chanjo zote zilizopo sokoni kwa sasa

2. Inaweza kusafirishwa na kuhifadhiwa kwa urahisi zaidi kuliko chanjo nyingine zinazotambuliwa na nchi za magharibi kwa sasa (inahitaji joto la kawaida la friji zinazotumika majumbani.

3. Chanjo hii kwa sasa haipendelewi sana na nchi nyingi

CHANJO HII INAWEZA KUTUMIKA TANZANIA?

JIBU NI NDIO AU HAPANA

NDIO:

Iwapo utafiti utaonyesha faida, bado inaweza kutumika kwa wazee wetu ambao wanazidi miaka 60.

Iwapo itakuwa hivyo nchi yetu itatumia fedha kidogo kuagiza chanjo hiyo kukidhi mahitaji ya kundi hilo.

Kwa vile kundi hili (zaidi ya umri wa miaka 60) hasa ndio waathirika wakubwa wa UVIKO 19/21 chanjo hiyo inaweza kutolewa kwa kipaumbele kwa kundi hili.

HAPANA:
Kutokana na kubadilika badilika kwa virusi hivi, Iwapo utafiti utaonyesha haifanyi kazi kama ilivyotokea nchini Africa ya Kusini itakuwa si busara kufuata mkumbo wa na kuagiza chanjo ambayo haikidhi malengo.

KATIKA KIPINDI CHA MPITO AMBACHO UTAFITI UNAFANYIKA NINI KIFANYIKE?

Kutokana na kuendelea kuchangamana idadi kubwa ya watanzania kwa sasa watakuwa tayari wana kinga asili (herd immunity).

Hata hivyo, kinga hii kama ilivyo kwa wale waliopokea chanjo haimsaidii mtu iwapo kutatokea kirusi kipya.

KINGA KUU: Chukua tahadhari, kujikinga na umkinge mwenzio
Mkuu, kwanza nikupongeze kwa majibu mazuri ambayo yanatoa mwanga juu ya msimamo unotarajiwa wa serikali yetu.

Nikiri wazi kuwa kwa mara ya kwanza hapa JF nimeweza kupata jibu sahihi ya masuali yetu sisi baadhi ya wanachama ambayo kimsingi yana nia njema tu ya kuelimishana.

Napenda kukuhakikishia kwamba si wote hapa JF hatupok upoteza muda lakini wale wote wakongwe hapa kama mimi nahisi bado mchango wetu wahitajika, hivyo usisite kuja na majibu mazuri zaidi siku zijazo.

Tanzania kwa sasa ni nchi ya Afrika inayotazamwa kwa umakini wa aina yake na dunia yangojea kuona hatua tutakazochukua dhidi ya huu ugonjwa.

Hatujachelewa na naungana nawe katika kutumia iasi kidogo cha fedha zetu kununua chanjo ambayo itakuwa ni kwa ajili ya wazee wenye umri zaidi ya niaka 60 na watanzania wengine ambao wamo kwenye kundi hatarishi au "vulnerable group" .

Shukran.
 
Umeuliza maswali ya msingi ambayo bila shaka baadhi yatakuwa ni sehemu ya ajenda za kamati tarajiwa. Hata hivyo mambo mengine yako wazi hayahitaji utafiti. Hiyo chanjo ya AstraZeneca ambayo kwa kiasi kukubwa ndio inayosambazwa kupitia mpango wa Coxax haitufai hapa Tanzania kwa asilimia kubwa.

KWA NINI CHANJO YA ASTRAZENEKA CHINI YA MPANGO WA COVAX HAITUFAI HAPA TANZANIA?

1. Chanjo hii tayari imeonekana kuwa na madhara ya kiafya hata kupelekea vifo kwa watu wenye umri chini ya miaka 60.

2. Takwimu za nchi yetu ya Tanzania, watu wenye umri chini ya miaka 60 ni zaidi ya asilimia 95 (95.5%) (soma kiambatanisho)

3. Kinyume na nchi zilizoendelea ambako watu wenye umri chini ya miaka 60 ni wachache kuliko wazee (60 plus) hali ambayo pengine imepelekea madhara yasiwe kwa watu wengi zaidi, nchi yetu 95.5% ya watu wake wana umri chini ya miaka 60, hivyo tutegemee madhara kwa watu wengi zaidi iwapo chanjo hiyo itatumika

KWA NINI CHANJO YA ASTRAZENEKA NDIO CHANJO INAYOTOLEWA ZAIDI CHINI YA MPANGO WA COVAX?.

Sababu halisi haijulikani lakini yawezekana ikawa ni kwa sababu zifuatazo:

1. Bei yake ni nafuu zaidi kuliko chanjo zote zilizopo sokoni kwa sasa

2. Inaweza kusafirishwa na kuhifadhiwa kwa urahisi zaidi kuliko chanjo nyingine zinazotambuliwa na nchi za magharibi kwa sasa (inahitaji joto la kawaida la friji zinazotumika majumbani.

3. Chanjo hii kwa sasa haipendelewi sana na nchi nyingi

CHANJO HII INAWEZA KUTUMIKA TANZANIA?

JIBU NI NDIO AU HAPANA

NDIO:

Iwapo utafiti utaonyesha faida, bado inaweza kutumika kwa wazee wetu ambao wanazidi miaka 60.

Iwapo itakuwa hivyo nchi yetu itatumia fedha kidogo kuagiza chanjo hiyo kukidhi mahitaji ya kundi hilo.

Kwa vile kundi hili (zaidi ya umri wa miaka 60) hasa ndio waathirika wakubwa wa UVIKO 19/21 chanjo hiyo inaweza kutolewa kwa kipaumbele kwa kundi hili.

HAPANA:
Kutokana na kubadilika badilika kwa virusi hivi, Iwapo utafiti utaonyesha haifanyi kazi kama ilivyotokea nchini Africa ya Kusini itakuwa si busara kufuata mkumbo wa na kuagiza chanjo ambayo haikidhi malengo.

KATIKA KIPINDI CHA MPITO AMBACHO UTAFITI UNAFANYIKA NINI KIFANYIKE?

Kutokana na kuendelea kuchangamana idadi kubwa ya watanzania kwa sasa watakuwa tayari wana kinga asili (herd immunity).

Hata hivyo, kinga hii kama ilivyo kwa wale waliopokea chanjo haimsaidii mtu iwapo kutatokea kirusi kipya.

KINGA KUU: Chukua tahadhari, kujikinga na umkinge mwenzio
Shkran mkuu...

Ova
 
Back
Top Bottom