mrengo wa kushoto
Member
- Sep 27, 2015
- 99
- 182
Kama tunavyofahamu kuna wanaume wengi hukimbia majukumu yanayoendana na kuitwa baba huku mtaani akijisifu yeye ni kidume na kumuachia mwanamke mzigo wote wa matunzo ya mtoto.
Je, kuwakata hela ya matunzo ya mtoto moja kwa moja kutoka kwenye mshahara itapunguza wimbi la wanaume wanaowalaghai kisha kuwatelekeza wanawake baada ya kupata mimba zao?
Je, kuwakata hela ya matunzo ya mtoto moja kwa moja kutoka kwenye mshahara itapunguza wimbi la wanaume wanaowalaghai kisha kuwatelekeza wanawake baada ya kupata mimba zao?