mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,036
- 35,897
Sana tuBajaji walipiga sana hela sikuile!
Sana tuBajaji walipiga sana hela sikuile!
Aina dazSana tu
Wacha upumbavu wewe!Pole kwa wafiwa wote, chanzo changu kinaniambia ni kweli
Mkuu Mimi Nipo Airport hapa Naondoka na Air Tanzania Kwenda Dar Pako Shwali tu.Najiandaa kwenda airport Dar kumpokea mgeni wangu napigiwa simu sasa hivi ndege iliyokuwa iwalete Dar imeanguka ziwa Victoria, uokowaji unaendelea.
Mwenye taarifa zaidi tujurishane maana Jiji zima la Dar na Zanzibar halina umeme.
=====
UPDATE ;
======
Ndege za Air Tanzania ziko salama hakuna ajali yoyote.
Ila leo asubuhi, Mamlaka ya viwanja vya ndege Uwanja wa Bukoba waliendesha zoezi la kuonyesha utayari endapo ajali ikitokea. Zoezi hilo ni la kawaida na ufanyika mara kwa mara katika viwanja vingi duniani na ni kati ya taratibu zilizo ndani ya sheria za usafiri wa anga wala halina madhara yoyote.
Poleni kwa taharuki iliyojitokeza.
Mpumbavu ni mama yakoWacha upumbavu wewe!
Hivi amekoswakoswaje na ban kutoka moderators wa JF waliochangamka?Siku nyengine usikimbilie kutoa habari huna hakika nayo,uzushi wako uache pale mtaa wa ufipa
Mkuu achana nalo hilo jamaa huwa ni zuzuWacha upumbavu wewe!
Sisi huku Msoga upo!!!Hata bagamoyo umeme hamna
NashangaaHivi amekoswakoswaje na ban kutoka moderators wa JF waliochangamka?
Wanakata wanarudishaSisi huku Msoga upo!!!
AiseeHii ni taarifa ya kweli, wageni wangu wapo airport Mwanza walikuwa wapande ndege hiyo kuja nayo Dar.
Wametangaziwa hivyo hapo airport, ni taarifa nisizo na chembe ya shaka nazo.
Sijui kuhusu vifo, naambiwa uowokowaji ziwani unaendelea.