Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 10,765
- 18,619
Wakuu naomba kuuliza Kama syllabus mpya kwa ajili ya wanafunzi watakaoingia darasa la 7 mwakani waliopo darasa la 6 mwaka huu ambao ilitakiwa wamalize shule mwaka huu, kwa maana kulikuwa na mpango wa kupunguza madarasa kwa kuondoa darasa la 7 lakini ikaahirishwa.
Naomba kujuzwa wakuu.
Naomba kujuzwa wakuu.