f de solver
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 2,339
- 1,834
Wakuu kwema?
Poleni na majukumu.
Tuendelee kuchukua tahadhari na COVID19.
Wakuu naomba kuuliza kama una mkataba wa kazi ulopewa na mwajiri hivi akisema asikulipe mshahara kwa kipindi hiki sheria inasemaje.
Naomba kujuzwa wakuu, maana wengine tupo private sector na waajiri wanasema hawana pesa za kulipa kipindi hiki. Sasa nataka kufahamishwa hivi sheria ikoje Wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni na majukumu.
Tuendelee kuchukua tahadhari na COVID19.
Wakuu naomba kuuliza kama una mkataba wa kazi ulopewa na mwajiri hivi akisema asikulipe mshahara kwa kipindi hiki sheria inasemaje.
Naomba kujuzwa wakuu, maana wengine tupo private sector na waajiri wanasema hawana pesa za kulipa kipindi hiki. Sasa nataka kufahamishwa hivi sheria ikoje Wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app