Je Spika wa bunge wa south Africa naye anatoa adhabu kama ya Ndugai?

MPHINGU

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
518
613
Wakuu ukiangalia tabia za bunge na wa bunge wa upinzani wa tz na south Africa zina lingana haswa fujo na spika kuamua polisi waingilie kati. ninacho taka kujua ni kama spika wao naye anatoa adhabu ya kuwafungia kama anavofanya spika wetu NDUNGAI
146d61a5f74e9a3b8755c4b24e2d4ac2.jpg
d1e46c7a58ff6588328a6a37a9ed788b.jpg
6a17277cc486edf373da5083cda27b13.jpg
 
Ndugai Mjeshi, ana Hasira kama Mkisi.
Na Wabunge wa CCM hawapendi Wabunge Wapinzani has a Wamama. Vijembe na Mipasho kama wako sherehe ya Vigodoro.
 
South polisi wanawajibika si uliona akina Malema wakila mkong'oto amazing
 
Back
Top Bottom