Emmanuel Robinson
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,499
- 1,136
Jioni hii kwenye TBC aridhio nimemwona mtangazi Spensa Lameck akiripoti kutoka Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam . Je, itakuwa amerudi TBC akijiandaa kukiwasha kwenye kampeni tena kunako mwezi ujao? Picha sijapiga nilisahau kama kuna mtu ana picha atuwekee