johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,598
- 141,415
Najiuliza tu maana kila uchao wale makada waliokuwa wanaipigia debe rasimu ya Katiba mpya ya Jaji Warioba sasa wameanza kuipotezea. Kwa mbali nawaona hawa wazee watatu rip Sitta Chenge na Wassira walikuwa na hoja kwa maana wao kama makada wa CCM hawakuwa " huru" bali ilibidi wafuate msimamo wa chama. Na lililo kubwa kwa msimamo wa CCM ni muundo wa muungano wa serikali mbili. Ni hayo tu!