Nimekua nikifuatilia kwa ukaribu baadhi ya maamuzi ya SISIMU likiwemo lile la kumtema Samwel Sita bila sababu za kimsingi, Kuwatema baadhi ya walioshinda kwenye kura za maoni na kuwaweka baadhi ya watu wanaopenda wao. Kubwa zaidi ni hili la kumtema Tirdo Mhado ambaye alikua mkurugensi wa TBC. Magazeti ya leo yameeleze kua hii ni adhabu kwa kua alivipendelea vyama vya upinzani hasa pale alipoamua kurusha vipindi vya MCHAKATO MAJIMBONI. Tunakumbuka kua SISIMU ilijitoa ktk ngazi zote kwenye mdahalo, kwa hiyo basi walitaka pia TBC iache kurusha vile vipindi lakini Tirdo Alikataa.
Mimi najiuliza ina maana SISIMU hata ikifanya lolote hamna wa kuiuliza au kuipa adhabu nzuri ili kua fundisho?
Mimi najiuliza ina maana SISIMU hata ikifanya lolote hamna wa kuiuliza au kuipa adhabu nzuri ili kua fundisho?