lord atkin
Senior Member
- Sep 30, 2018
- 197
- 683
Hivi balozi zetu huko nje ni kichaka/jalala la wastaafu na watendaji wasioendana na kasi ya mabadiliko kama anavyodai Mheshimiwa Rais kuwa Sirro ameshindwa kuendana na kasi ndani ya jeshi la polisi? Kama ameshindwa kuendana na kasi ndani ya polisi ataendana na kasi ubalozi?
Uzoefu unaonesha vyeo vya ubalozi hivi karibuni vimekuwa vikitolewa kama zawadi Kwa wastaafu, au vikitumika kuwapooza viongozi walioondoshwa kwenye nyadhifa fulani au kuwatupa wanasiasa tunaotaka kuwatoa kwenye mainstream politics.
Hii si sawa kwa mustakabali wa maendeleo ya nchi na diplomasia yetu ya uchumi.
Uzoefu unaonesha vyeo vya ubalozi hivi karibuni vimekuwa vikitolewa kama zawadi Kwa wastaafu, au vikitumika kuwapooza viongozi walioondoshwa kwenye nyadhifa fulani au kuwatupa wanasiasa tunaotaka kuwatoa kwenye mainstream politics.
Hii si sawa kwa mustakabali wa maendeleo ya nchi na diplomasia yetu ya uchumi.