Je, shetani/ibilisi anatoka koo zipi miongoni mwa koo za majini? Wazazi waliomzaa ni akina nani?

Shetani Ibilis/dajjal ni miongoni mwa jini anayetoka katika koo za majini wale ambao ni Ifrit minal jinn na pia yeye ni daraja la pili kati ya majini wenye nguvu kabisa na pia ni vile hikma ya mwenyezi mungu kumuumba hapo na yeye ni miongoni mwa majini ambao wanakaa baharini bahari ya saba na wakati anashushwa alikuja kwa mwendo wa zig zag na pia hana nguvu za kuwazidi majini wote ni majini wengi wanaomzidi nguvu isipokua yeye kapewa tu uwezo wa kulaghai na kutokufa hadi kiyama kisimame

Rakims
Kwahiyo kunajini grade 1
 
Kama inavyojulikana ibilisi alikuws ni jini miongoni mwa kundi la malaika,na kwa kuwa majini yanasifa ya kuzaliana basi bila shaka ibilisi na yeye alikuwa na wazazi na ndugu pia, na kama inavyojulikana majini yapo ya aina mbalimbali na koo pia sasa je ibilisi anatokea ukoo upi wa ujinini?,wazazi wake majina yao ni nani na nani, vipi kuhusu ndugu zake ni akina nani na nani?

Nani alikuwa jini wa kwanza kuumbwa?Je na wao lilitokea tukio la Adamu na Hawa kule Eden? Historia yao ilikuwaje mpaka wakaletwa duniani na kuzaliana?Je inafanana fanana na baba yetu Adamu??

Historia inaonesha kwamba mara baada ya majini kumuasi Mungu kupindukia ,malaika walitumwa na Mungu kwenda kuangamiza mji wao(Kama walivyoangamiza miji mingine e.g Sodoma na Gomora),na waliwaangamiza majini yote kasoro mmoja ambaye ndiye huyu Ibilisi, Ibilisi kipindi hicho alikuwa mdogo sana hivyo malaika walimuonea huruma kumuangamiza hivyo waliamua kwenda naye mbinguni,lakini Mungu aliwatadharisha sana juu ya Ibilisi kwamba ndiye kiumbe kitakacholeta maafa makubwa siku za mbeleni lakini malaika walimuomba sana Mungu awaruhusu wakae naye , Mungu alowakubalia ili asionekane dikteta na mtesaji kama ambavyo Ibilisi alikuwa akiwaaminisha hivyo baadhi ya malaika.

Kwa hiyo mpaka hatua hii inaonesha si kweli kwamba bifu la Ibilisi na Mungu lilianzia pale Ibilisi alipokataa kumsujudia Adamu kwa kudai yeye ni bora zaidi kwa kuwa kaumbwa kwa moto tofauti na Adamu aliyeumbwa kwa udongo, inaonesha Ibilisi bado alikuwa na hasira na kinyongo kwa kutenganishwa/kuuliwa kwa ndugu zake na hao malaika kwa amri kutoka kwa Mwenyezi Mungu.


Sasa linakuja ,je baada ya Ibilisi kufukuzwa mbinguni uzao wake ulianzaje anzaje???Au je Ibilisi ndiye huyu Samael ambaye inasemekana ndiye aliyemchukua Lilith kutoka kwa Adamu na kuzaliana naye????
Ndugu yangu umepotoka kwanza ibilisi au shetani kwa jina jingine sio jini ni malaika yule
 
Kwa Hiyo ibilisi sio mfalme wao yani akikutana na hao viumbe wanamchakaza.
Halafu baba j ni nani kuna dogo alipandisha kuna MTU akawa anamwambia Mimi ni baba j
hahaha! huo ni uchawi tu mkuu unakuwa umejifuma mfano wa kiumbe ndio unakuwa unafanya upumbafu huo hamna jini anaitwa baba J, huyo baba J mtafute labda ndio aliyemroga, ndio anaweza kupigwa na kufukuzwa tu kirahisi sema majaliwa yake yeye anauwezo wa kupuliza tu upepo wa fikra mbaya kwa hao majini wengine ila wakimjua uwa anapata cha mtema kuni,
huyo siku akijiita baba J chukua pilipili kichaa choma karibu yake atakwambia kila unachomuuliza
 
hahaha! huo ni uchawi tu mkuu unakuwa umejifuma mfano wa kiumbe ndio unakuwa unafanya upumbafu huo hamna jini anaitwa baba J, huyo baba J mtafute labda ndio aliyemroga, ndio anaweza kupigwa na kufukuzwa tu kirahisi sema majaliwa yake yeye anauwezo wa kupuliza tu upepo wa fikra mbaya kwa hao majini wengine ila wakimjua uwa anapata cha mtema kuni,
huyo siku akijiita baba J chukua pilipili kichaa choma karibu yake atakwambia kila unachomuuliza
hujanielewa yani mtu wa pembeni ndo alikua anaongea na jini anajitambulisha kuwa yeye ni baba G(J)
 
Tuache kukariri kila habar ni kuuliza chanzoo,siyo kila kitu mtu anakopi mahali fulani.kwani wewe huwezi kuwaza na kujenga hoja kulingana na fikra zako au jambo fulani linalokutatiza .MLETA MADA ANATAKA KUPATA MWANGA KUHUSU HOJA ZAKE KM YUKO WRONG AU SAHIHI MAJIBU NI HAPAHAPA.
Bora mkuu umenisaidia kumuelewesha huyo.
 
Shetani Ibilis/dajjal ni miongoni mwa jini anayetoka katika koo za majini wale ambao ni Ifrit minal jinn na pia yeye ni daraja la pili kati ya majini wenye nguvu kabisa na pia ni vile hikma ya mwenyezi mungu kumuumba hapo na yeye ni miongoni mwa majini ambao wanakaa baharini bahari ya saba na wakati anashushwa alikuja kwa mwendo wa zig zag na pia hana nguvu za kuwazidi majini wote ni majini wengi wanaomzidi nguvu isipokua yeye kapewa tu uwezo wa kulaghai na kutokufa hadi kiyama kisimame

Rakims
Mkuu,Dajjal na Ibilisi ni viumbe wawili tofauti.
 
Kwani wewe unavyojua ibilisi historia yake ikoje?? Au unabisha bisha hovyo vitu usivyovijua?

Ibilisi ni jini ambaye alikuwa akiishi na malaika

sasa maswali yangu ndio nikayapanga kama ifuatavyo

1)Wazazi wake ni nani na nani?

2)Ndugu zake ni akina nani?

3)Anatokea katika aina/koo ipi ya majini?

4)Uzao wake ulianzaje anzaje?

5)Kama ikiwa binadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa Adamu, je jini wa kwanza kuumbwa ni nani?


Wakuu, Ibilisi ni jina kila linapotajwa linachanganya watu sana na hasa pale linapofungamana na majina kama Malaika na Majini na Nabii Adam as,.
Kwani wewe unavyojua ibilisi historia yake ikoje?? Au unabisha bisha hovyo vitu usivyovijua?

Ibilisi ni jini ambaye alikuwa akiishi na malaika

sasa maswali yangu ndio nikayapanga kama ifuatavyo

1)Wazazi wake ni nani na nani?

2)Ndugu zake ni akina nani?

3)Anatokea katika aina/koo ipi ya majini?

4)Uzao wake ulianzaje anzaje?

5)Kama ikiwa binadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa Adamu, je jini wa kwanza kuumbwa ni nani?


Kumekuwepo na mkanganyiko mkubwa hasa kati ya majina haya Ibilisi, Shetani Jini na malaika.

Tuanze na Ibilisi, neno hili pamoja na hayo mengine yana asili ya lugha ya kiarabu (au asili ya lugha za Semitic).ukifungua kamusi la lugha ya kiarabu W. Lane, tunakuta mzizi wa neno Ibiliis (إبليس) ni Iblis (إبلس ikiwa na maana zifuatazo (tafsiri):-
(1) Mazuri au mema yake yameshuka au kupungua.
(2) Ameacha matumaini au amekata tamaa ya rehema za Mungu.
(3) Amevunjika moyo katika imani na ni muombolezaji.
(4) Alitahayari na hakuweza kuona njia yake.
(5) Alikuwa au alishikwa na ukimya kutokana na huzuni au kukata tamaa.
(6) Alikatwa kauli au kunyamazishwa katika hoja.
(7) Hakuweza kufanya safari yake.
(8) Alizuiwa kufikia haja yake.

Hizo ndizo tafsiri za mzizi wa neno Ibiliis, kwa muktadha huo, kama neno hilo litachukuliwa katika msingi wa dini basi linakukuwa na maana za kisifa (attributive name), yaani ni Yule ambaye mwenye sifa za kutokuwa na wema na aliyeachwa na butwaa njiani na mwenye kukata tamaa na rehema za Mungu.
Ibilisi anahusiana katika kisa kimoja na Nabii Adamu katika (Qur'an),pia ukisoma unakuta Ibliis alikuwa Jini, hapa shida nyingine inaibuka, je, Jini ni kitu gani?, kama ilivyokuwa katika neno Ibliis, Jini ni neno la kiarabu au (Semitic) lenye maana ya kitu kidichoonekana kwa macho ya kawaida (nakef eyes) na katika hali hiyo kitu chochote kikipewa jina hilo lazima kitakuwa na sifa ya kutoonekana kirahisi na hata baadhi ya watu katika jamii wamepewa sifa ya jini kwa sababu tu hawaonekani, hawapatikani au hawachangamani na jamii kirahisi na hata wataalamu wakubwa wa fani fulani katika taaluma nao kisifa wanaitwa majini (Genious), pia wadudu wadogo sana kama Bakteria, virusi,Amoeba,paramecium,nk wote hao wanaitwa majini kwa kiarabu,pia majoka na wanyama wanaoishi katika misitu minene ambako ni shida kwa watu kufika nao pia wanaitwa majini.

Kuna visa vimezoeleka kwamba ile hali inayowakumba akina mama na akina Dada wanapokuwa katika hali fulani katika miili yao eti, ni majini!!, hali ile inaitwa kitaalamu Hysteria na wala si kitu kinachoitwa jini kinatoka mahali fulani na kumuingia kichwani mtu.

Nabii Adamu alikuwa mtu wa kwanza kupokea ufunuo kutoka kwa Mungu na Ibiliis aliambiwa amsaidie (kumtii) katika kazi ya Mungu naye akakataa kwa sababu alikuwa na majivuno kwa sababu yeye alikuwa ni jini yaani mtu mkubwa basi Mungu akamlaani kwa kukosa utii.

Hivyo Ibiliis anatoa taswira ya Maibilisi wengi ambao walipatikana na wataopatikana katika kupinga kazi za Manabii.

Mkuu Hance Mtanashati, kwa kufupi hiyo ndiyo falsafa ya Ibiliis na sio vinginevyo nadhani maswali yako nitakuwa nimekujibu ukisoma kwa makini hayo maelezo.
 
Kwa mujibu wa vitabu vya dini, Dajjal atakuja kuangamizwa na nabii Issa wakati Ibilisi ataangamizwa na Israel katikati ya dunia .
Hapana mkuu, ibilis ni nguvu alionayo shetani ambaye anaishi hadi kiama ya kukupulizia fikra za maasi na kukuletea kumuasi aliyekuumba, hali ya kuwa dajjal ni aina ya nguvu ya pili ya shetani baada ya kukamilisha kitu fulani fulani ndio ataanza kuonekana dhahiri baada ya kutiiwa sana na wanadamu,

Ni kama saa mkuu unavyoona inaanza 1-12 halafu inaanza tena moja rejea katika mwanzo wa dajjal utajua ni kwamba mwanzo dunia ilikuwa ruled by jinns

Rakims

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana mkuu, ibilis ni nguvu alionayo shetani ambaye anaishi hadi kiama ya kukupulizia fikra za maasi na kukuletea kumuasi aliyekuumba, hali ya kuwa dajjal ni aina ya nguvu ya pili ya shetani baada ya kukamilisha kitu fulani fulani ndio ataanza kuonekana dhahiri baada ya kutiiwa sana na wanadamu,

Ni kama saa mkuu unavyoona inaanza 1-12 halafu inaanza tena moja rejea katika mwanzo wa dajjal utajua ni kwamba mwanzo dunia ilikuwa ruled by jinns

Rakims

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh, haya ninaomba unifafanulie haya machache.

1)Kwa nini anatumia majina mawili Dajjal na Ibilis?

2)Kwa nini anatumia namba 666(Kafir)

3)Namba 74 ina maana ipi kiroho?

4)Kwa nini mara nyingi huwa wanazidisha na namba 9?

5)Dajjal ana jicho moja lakini mbona Ibilisi ana macho mawili?

6)Kuna ukweli wowote kwamba Dajjal anaishi kwenye Bermuda triangle?.
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom