Je, shetani/ibilisi anatoka koo zipi miongoni mwa koo za majini? Wazazi waliomzaa ni akina nani?

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Sep 7, 2016
17,300
20,971
Kama inavyojulikana ibilisi alikuws ni jini miongoni mwa kundi la malaika,na kwa kuwa majini yanasifa ya kuzaliana basi bila shaka ibilisi na yeye alikuwa na wazazi na ndugu pia, na kama inavyojulikana majini yapo ya aina mbalimbali na koo pia sasa je ibilisi anatokea ukoo upi wa ujinini?,wazazi wake majina yao ni nani na nani, vipi kuhusu ndugu zake ni akina nani na nani?

Nani alikuwa jini wa kwanza kuumbwa?Je na wao lilitokea tukio la Adamu na Hawa kule Eden? Historia yao ilikuwaje mpaka wakaletwa duniani na kuzaliana?Je inafanana fanana na baba yetu Adamu??

Historia inaonesha kwamba mara baada ya majini kumuasi Mungu kupindukia ,malaika walitumwa na Mungu kwenda kuangamiza mji wao(Kama walivyoangamiza miji mingine e.g Sodoma na Gomora),na waliwaangamiza majini yote kasoro mmoja ambaye ndiye huyu Ibilisi, Ibilisi kipindi hicho alikuwa mdogo sana hivyo malaika walimuonea huruma kumuangamiza hivyo waliamua kwenda naye mbinguni,lakini Mungu aliwatadharisha sana juu ya Ibilisi kwamba ndiye kiumbe kitakacholeta maafa makubwa siku za mbeleni lakini malaika walimuomba sana Mungu awaruhusu wakae naye , Mungu alowakubalia ili asionekane dikteta na mtesaji kama ambavyo Ibilisi alikuwa akiwaaminisha hivyo baadhi ya malaika.

Kwa hiyo mpaka hatua hii inaonesha si kweli kwamba bifu la Ibilisi na Mungu lilianzia pale Ibilisi alipokataa kumsujudia Adamu kwa kudai yeye ni bora zaidi kwa kuwa kaumbwa kwa moto tofauti na Adamu aliyeumbwa kwa udongo, inaonesha Ibilisi bado alikuwa na hasira na kinyongo kwa kutenganishwa/kuuliwa kwa ndugu zake na hao malaika kwa amri kutoka kwa Mwenyezi Mungu.


Sasa linakuja ,je baada ya Ibilisi kufukuzwa mbinguni uzao wake ulianzaje anzaje???Au je Ibilisi ndiye huyu Samael ambaye inasemekana ndiye aliyemchukua Lilith kutoka kwa Adamu na kuzaliana naye????
 
Hii hadithi yako umeiokota wapi?
Kwani wewe unavyojua ibilisi historia yake ikoje?? Au unabisha bisha hovyo vitu usivyovijua?

Ibilisi ni jini ambaye alikuwa akiishi na malaika

sasa maswali yangu ndio nikayapanga kama ifuatavyo

1)Wazazi wake ni nani na nani?

2)Ndugu zake ni akina nani?

3)Anatokea katika aina/koo ipi ya majini?

4)Uzao wake ulianzaje anzaje?

5)Kama ikiwa binadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa Adamu, je jini wa kwanza kuumbwa ni nani?
 
Kwani wewe unavyojua ibilisi historia yake ikoje?? Au unabisha bisha hovyo vitu usivyovijua?

Ibilisi ni jini ambaye alikuwa akiishi na malaika

sasa maswali yangu ndio nikayapanga kama ifuatavyo

1)Wazazi wake ni nani na nani?

2)Ndugu zake ni akina nani?

3)Anatokea katika aina/koo ipi ya majini?

4)Uzao wake ulianzaje anzaje?

5)Kama ikiwa binadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa Adamu, je jini wa kwanza kuumbwa ni nani?
Narekebisha kwa ufafanuzi - hicho chanzo chako umekitoa wapi? Juu ya IBILISI.
 
Kama inavyojulikana ibilisi alikuws ni jini miongoni mwa kundi la malaika,na kwa kuwa majini yanasifa ya kuzaliana basi bila shaka ibilisi na yeye alikuwa na wazazi na ndugu pia, na kama inavyojulikana majini yapo ya aina mbalimbali na koo pia sasa je ibilisi anatokea ukoo upi wa ujinini?,wazazi wake majina yao ni nani na nani, vipi kuhusu ndugu zake ni akina nani na nani?


Nani alikuwa jini wa kwanza kuumbwa?Je na wao lilitokea tukio la Adamu na Hawa kule Eden? Historia yao ilikuwaje mpaka wakaletwa duniani na kuzaliana?Je inafanana fanana na baba yetu Adamu??


Historia inaonesha kwamba mara baada ya majini kumuasi Mungu kupindukia ,malaika walitumwa na Mungu kwenda kuangamiza mji wao(Kama walivyoangamiza miji mingine e.g Sodoma na Gomora),na waliwaangamiza majini yote kasoro mmoja ambaye ndiye huyu Ibilisi, Ibilisi kipindi hicho alikuwa mdogo sana hivyo malaika walimuonea huruma kumuangamiza hivyo waliamua kwenda naye mbinguni,lakini Mungu aliwatadharisha sana juu ya Ibilisi kwamba ndiye kiumbe kitakacholeta maafa makubwa siku za mbeleni lakini malaika walimuomba sana Mungu awaruhusu wakae naye , Mungu alowakubalia ili asionekane dikteta na mtesaji kama ambavyo Ibilisi alikuwa akiwaaminisha hivyo baadhi ya malaika.


Kwa hiyo mpaka hatua hii inaonesha si kweli kwamba bifu la Ibilisi na Mungu lilianzia pale Ibilisi alipokataa kumsujudia Adamu kwa kudai yeye ni bora zaidi kwa kuwa kaumbwa kwa moto tofauti na Adamu aliyeumbwa kwa udongo, inaonesha Ibilisi bado alikuwa na hasira na kinyongo kwa kutenganishwa/kuuliwa kwa ndugu zake na hao malaika kwa amri kutoka kwa Mwenyezi Mungu.


Sasa linakuja ,je baada ya Ibilisi kufukuzwa mbinguni uzao wake ulianzaje anzaje???Au je Ibilisi ndiye huyu Samael ambaye inasemekana ndiye aliyemchukua Lilith kutoka kwa Adamu na kuzaliana naye????
Mkuu kipindi malaika wanaenda kuwapiga majini duniani ibilis hakuwa mtoto alikuwa ni mtu mzima na alikuwa ni miongoni mwa jeshi la malaika akiwapiga majini wenzake. Angalia hii video imeelezea vizuri historia (ila haijajibu swali lako)
 
Mkuu kipindi malaika wanaenda kuwapiga majini duniani ibilis hakuwa mtoto alikuwa ni mtu mzima na alikuwa ni miongoni mwa jeshi la malaika akiwapiga majini wenzake. Angalia hii video imeelezea vizuri historia (ila haijajibu swali lako)
Haya tuanzie hapa,

Wazazi wa Ibilisi ni akina nani na nani?

Historia yao ya uumbwaji ikoje?

Ilikuwaje mpaka akawasaidia malaika badala ya kuwasaidia majini wenzake?



Kingine cha mwisho hiyo video ni ya uongo, Ibilisi alichukuliwa na malaika mara baada ya vita ya malaika na majini kuisha na yeye pekee ndiye aliye salia.
 
Haya tuanzie hapa,

Wazazi wa Ibilisi ni akina nani na nani?

Historia yao ya uumbwaji ikoje?

Ilikuwaje mpaka akawasaidia malaika badala ya kuwasaidia majini wenzake?



Kingine cha mwisho hiyo video ni ya uongo, Ibilisi alichukuliwa na malaika mara baada ya vita ya malaika na majini kuisha na yeye pekee ndiye aliye salia.
Huo ndio msimamo wa dini ya kiisilamu, hio ya ibilisi alichukuliwa mtoto una ushahidi nayo? Ni vyema ungeeka hapa huo ushahidi.
 
Huo ndio msimamo wa dini ya kiisilamu, hio ya ibilisi alichukuliwa mtoto una ushahidi nayo? Ni vyema ungeeka hapa huo ushahidi.
Tuachane na suala la umri ,

Tujikite zaidi kwa wazazi wake ni nani na nani?

Vipi historia yake kwa ujumla ya kuzaliwa kwake ikoje?
 
Haya tuanzie hapa,

Wazazi wa Ibilisi ni akina nani na nani?

Historia yao ya uumbwaji ikoje?

Ilikuwaje mpaka akawasaidia malaika badala ya kuwasaidia majini wenzake?



Kingine cha mwisho hiyo video ni ya uongo, Ibilisi alichukuliwa na malaika mara baada ya vita ya malaika na majini kuisha na yeye pekee ndiye aliye salia.
Kwanza ufahamu si majini wote ni waovu kipindi bado binadamu hajakuja duniani kulikuwa na majini wanaomuabudu mungu na majini ambao walikuwa wakimuasi mungu.

Soma hizi aya mbili
“ ‘I am better than him (Adam), You created me from fire, and him You created from clay’”

[al-A’raaf 7:12]

Hii aya inaonesha iblis ametengenezwa na mungu kutokana na moto (hajazaliwa)


“Will you then take him (Iblees) and his offspring as protectors and helpers rather than Me while they are enemies to you?”

[al-Kahf 18:50]

Hapa inaonesha Iblis ana watoto kama nimetafsiri vizuri,

Kama nilivyokuambia hapo juu kuna majini wema na wabaya hivyo iblis alikuwa kundi la majini mema na aliungana na malaika kupigana vita na majini wabaya (battle of good and evil) na malaika pamoja na iblis wakashinda na majini wabaya wakatokomezwa, baada ya vita iblis akitegemea ushindi wake atapata zawadi fulani amazing kama kupewa awe kiongozi wa dunia hivi ila Mwenyezi Mungu alikuwa na plan nyengine akamuumba adam, na kumpa uongozi wa dunia, hope stori inavyoendelea unaijua.
 
Kwanza ufahamu si majini wote ni waovu kipindi bado binadamu hajakuja duniani kulikuwa na majini wanaomuabudu mungu na majini ambao walikuwa wakimuasi mungu.

Soma hizi aya mbili
“ ‘I am better than him (Adam), You created me from fire, and him You created from clay’”

[al-A’raaf 7:12]

Hii aya inaonesha iblis ametengenezwa na mungu kutokana na moto (hajazaliwa)


“Will you then take him (Iblees) and his offspring as protectors and helpers rather than Me while they are enemies to you?”

[al-Kahf 18:50]

Hapa inaonesha Iblis ana watoto kama nimetafsiri vizuri,

Kama nilivyokuambia hapo juu kuna majini wema na wabaya hivyo iblis alikuwa kundi la majini mema na aliungana na malaika kupigana vita na majini wabaya (battle of good and evil) na malaika pamoja na iblis wakashinda na majini wabaya wakatokomezwa, baada ya vita iblis akitegemea ushindi wake atapata zawadi fulani amazing kama kupewa awe kiongozi wa dunia hivi ila Mwenyezi Mungu alikuwa na plan nyengine akamuumba adam, na kumpa uongozi wa dunia, hope stori inavyoendelea unaijua.
Chief Mkwawa, vipi mbona unatuacha njia panda? Maliza hiyo story tupate elimu mkuu!.
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom