Bossless
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 1,381
- 2,892
Nimesoma comments zenu nacheka Sana'a,labda nisene tu binadamu bado hajaweza kuutumia uwezo wake wrote kwa asilimia100% ,wengi wetu tunatumia 20% tu basi tumeridhika ndo maana tukiona MTU ambae anatumia almost 65% and so on tunashanga,nilikuwa China nikawa naona jamaa kwenye mafunzo ya martial arts kwenye Dong moja hivi nilishuhudia kwa macho yangu jamaa akizuia mkuki kwa kutumia meno , pili jamaa moja ana paa kama vile wanavyonyaga kwenye movie,mwingine ambae ndo aliniacha hoi kabisaaa aikuwa anakimbia kasi kubwa Sana'a juu maji kama mitaa 60 hivi bila kuzamaa aise.hiyo haikuwa magici ilikuwa ni mazoezi tu ya kawaida ila hufanyika ndani ya ukumbi mkubwa .