seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,654
Sheria za vyama vya siasa vinahusu vyama vyote lakini ccm ipo juu ya katiba na sheria za nchi
Katibu wa ccm na wana ccm wanaruhusiwa kuandamana na kuranda randa kila kona
Watu wa vyama mbadala au upinzani wanasubiri kudra za Rais
Hata wakati wa JPM yeye ndiye alikuwa Igwe.... Igweeeee
Viongozi ni muhimu kukumbuka kuna alfa na Omega
Leo Igwee yupo wapi?
Katibu wa ccm na wana ccm wanaruhusiwa kuandamana na kuranda randa kila kona
Watu wa vyama mbadala au upinzani wanasubiri kudra za Rais
Hata wakati wa JPM yeye ndiye alikuwa Igwe.... Igweeeee
Viongozi ni muhimu kukumbuka kuna alfa na Omega
Leo Igwee yupo wapi?