eddndk
Member
- Dec 12, 2013
- 42
- 16
Wakuu na wanasheria mlioko humu naomba msaada kuuliza hivi sheria ya hotel levy kwenye magest bado ipo? Mbona kama nilisikia mwaka jana(2017) bungeni ilifutwa na serikali.
Sheria alikuwa inataka kila mwenye guest house alipa asilimia 10% ya mapato ya kila mwezi na kuyawasilisha halmashauri au manispaa.
Msaada tafadhali.
Sheria alikuwa inataka kila mwenye guest house alipa asilimia 10% ya mapato ya kila mwezi na kuyawasilisha halmashauri au manispaa.
Msaada tafadhali.