johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,442
Nafahamu kwamba sheria hairuhusu mgombea urais wa JMT mh Membe kumpigia kampeni mgombea urais wa JMT mh Tundu Lissu
Hali ikoje pale Maalim Seif wa Zanzibar anapopanda jukwaa la CHADEMA na kumpigia kampeni Tundu Lissu?
Au Tundu Lissu kumpigia kampeni Maalim Seif?
Maendeleo hayana vyama!
Hali ikoje pale Maalim Seif wa Zanzibar anapopanda jukwaa la CHADEMA na kumpigia kampeni Tundu Lissu?
Au Tundu Lissu kumpigia kampeni Maalim Seif?
Maendeleo hayana vyama!