Je, sherehe zinazotegemea Muandamo wa Mwezi haziwezi kuharibu ratiba za watu na hata saikolojia yao pia?

Suala la faida na hasara za kijamii linatoka wapi wakati hili ni suala la kiimani?! Anyway, kuna mahali niliandika kama ifuatavyo:-

Hivi kwanini wasio Waislamu ndo wanakuwa more concerned na habari za mwezi kuliko Waislamu wenyewe?

Anyway, iko hivi...

Kuna wale wanaosimamia kile ambacho kilitamkwa na Mtume bila kujali mabadiliko ya teknolojia na kuna wale wanaofanya maamuzi kutokana na mabadiliko ya teknolojia duniani!!!

Kauli ya Mtume inasema kwamba "Fungeni na fungueni kwa kuuona mwezi, na kama hujaonekana, basi zitimie siku 30".

Yaani, kama mlianza kufunga tarehe 1, ikifika tarehe 29, chunguzeni kujiridhisha kama mwezi umeonekana. Kama mkiona, basi kesho msifunge na kama hamjauona, kesho endeleeni kufunga kama siku ya mwisho!!

Kwenye hadithi hii wametaja maximum distance kuonesha, ikiwa Eneo X mwezi umeonekana na Eneo Y hujaonekana lakini distance between X and Y ipo ndani ya umbali uliotajwa, basi Y nao watafanya kama X kwa hoja kwamba, inawezekana hawajauona kutokana na sababu mbalimbali, hususani za Kijiografia.

Lakini kubwa zaidi, hata kwenye ulimwengu wa leo, wanaangalia kikanda zaidi!

Sasa wale Conservatives... wanasimamia kwenye hiyo hadithi! Kwamba, ikifika Mwezi 29, na ukaonekana, basi watu wataanza kufunga au kufungua! Kama hujaonekana, watasubiri siku 30!

Kundi hili hawataki zile habari za kwamba Saudi Arabia mwezi umeonekana kwa sababu hadithi haisemi mwezi ukionekana Saudi Arabia basi fuateni huo wa Saudia!!

Kundi la Pili, wao wanaangalia mabadiliko ya kisayansi na teknolojia ambayo zama za Mtume hayakuwapo!!!

Hawa, wanachoamini ni kwamba, mwezi ukionekana Saudi Arabia basi LAZIMA na Tanzania itakuwa umeonekana tu hata kama mmeshindwa kuuona!!! Na kwavile siku hizi teknolojia ya upashaji habari ipo, basi wakisikia Saudi Arabia umeonekana, basi wao wanaenda nao sambamba!!

Kule Saudi Arabia wana namna tatu za kujiridhisha kuonekana kwa mwezi ambazo ni: by naked eyes, binoculars au kwa kutumia Wanajimu wakati sisi tunategemea kuuona kwa macho TU!

Pamoja na njia hizo 3, Saudia wanaiamini zaidi njia ya Wanajimu kuliko matumizi ya binoculars!!!

Kwahiyo it's not the BIG ISSUE kama msio Waislamu mnavyotaka kuifanya!!

Waislamu wenyewe, individually or collectively wanajua wafuate theory ipi. Na sehemu mbalimbali duniani huwa wanatumia theories hizo mbili!

Wanaopenda sana kutumia mwezi wa Saudi Arabia ni Ansal Sunni ambao wapo sect ya Imam Hanbal wakati East Africa, especially Kenya na Uganda, wapo sect ya Imam Shaffi!

Na kaeni mkifahamu kwamba hata Rwanda na Uganda, NOT necessarily kwamba wanakuwa wameuona kwenye nchi zao; unaweza kukuta wao wanafuata ile theory ya kwamba, kama mwezi umeonekana Mashariki ya Kati basi hata Rwanda/Uganda ni sawa tu kwenda nao sambamba!!

Hata hivyo, especially for astronomical point of view, ni nadra sana kuona mwezi unaonekana baada ya siku 30 kwa miezi miwili consecutively... yaani, kama mlianza kufunga baada ya mwezi kuonekana siku ya 30 basi kuna uwezekano MKUBWA SANA, mwezi unaofuata utaonekana baada ya siku 29!!
Tuko hapa Kujifunza na pia Kutengeneza Mijadala yenye Tija ili tupate Ufahamu zaidi.

Krav Maga sijaanzisha Mada hii kama Kuwakashifu Wahusika kama ambavyo damn Fool Wewe uwazavyo.

Hivi na wale ambao huwa wanaanzisha Mada hapa za Kuhoji yanayotendeka kwa Wakristo ( hasa Makanisani na Madhabahuni pia ) huwa wanakuwa na Chuki na wenye hiyo Imani?

Tatizo la baadhi yenu hapa mna Upumbavu wa Kurithishwa katika Koo zenu kiasi kwamba Mada ikianzishwa tu mnashindwa kutafuta Logic ndani yake na Kukimbilia katika Upuuzi wenu na kutaka kuleta Hisia za Chuki.

Wenye Akili kubwa na pana nina uhakika wataelewa dhana Kuu na Fikirishi juu ya nilichokihoji na sijaanzisha Mada hii ili kuwakera wenye Imani hiyo na atakayewaza hivyo nae atakuwa ni Juha kama Wewe.
 
Naomba kujua Faida na hasara ( hasa Kijamii na Kiustawi ) za Sherehe ambazo zinajulikana katika Kalenda na zile zinazotegemea Kuandama ( Kuchomoza ) kwa Mwezi Congo, Kigoma, Mombasa, Tanga, Zanzibar na Mtwara.
zinzshusha chumi, maana wengine wanfunga ofisi, watu n hawafanyi kazi wanasubiri mabeberu watangaze sherehe, alafu kuna MATAGA wanajinasibu hawategemei mabeberu.
 
Hata kama Leo sio eid ilipaswa iwe holiday..kumbuka lipo kind la waislamu wanakula eid Leo na huko ofisini wanahitajika
Katika Thread Content yangu nimewataja Waislamu au nimewalenga Waislamu hasa katika Mantiki yangu ya Hoja Fikirishi juu ya Jambo husika?
 
zinzshusha chumi, maana wengine wanfunga ofisi, watu n hawafanyi kazi wanasubiri mabeberu watangaze sherehe, alafu kuna MATAGA wanajinasibu hawategemei mabeberu.
Umetoroka lini Hospitali ya Wagonjwa wa Akili ya Mirembe Mkoani Dodoma Ndugu?
 
Tuko hapa Kujifunza na pia Kutengeneza Mijadala yenye Tija ili tupate Ufahamu zaidi.

Krav Maga sijaanzisha Mada hii kama Kuwakashifu Wahusika kama ambavyo damn Fool Wewe uwazavyo.

Hivi na wale ambao huwa wanaanzisha Mada hapa za Kuhoji yanayotendeka kwa Wakristo ( hasa Makanisani na Madhabahuni pia ) huwa wanakuwa na Chuki na wenye hiyo Imani?

Tatizo la baadhi yenu hapa mna Upumbavu wa Kurithishwa katika Koo zenu kiasi kwamba Mada ikianzishwa tu mnashindwa kutafuta Logic ndani yake na Kukimbilia katika Upuuzi wenu na kutaka kuleta Hisia za Chuki.

Wenye Akili kubwa na pana nina uhakika wataelewa dhana Kuu na Fikirishi juu ya nilichokihoji na sijaanzisha Mada hii ili kuwakera wenye Imani hiyo na atakayewaza hivyo nae atakuwa ni Juha kama Wewe.
Acha ku-copy na ku-paste the very same post over and over! Umesoma nilichoandika? Mbona ulichoandika hakiendani na nilichoandika? Mbona kama tayari umeshaji-tune kupata jibu la aina fulani peke yake?

Kwa staili hiyo halafu bado unajigamba umeleta mada kwa ajili ya kujifunza na kutengeneza mijadala?! Mwanzoni nilitaka kuamini hivyo lakini inaashiria sivyo!!!
 
Upo sahihi mkuu, zinaharibu ratiba za watu.
Nilijua tu nikianzisha Uzi huu ( Mada hii ) nitaeleweka na Watu Intelligent ( Rational Thinkers ) wachache kama Wewe na baadhi waliojitokeza na watakaoendelea Kujitokeza pia.

Wapuuzi wengi huu Uzi ( Mada hii ) imewashinda kuwafanya watulize Kwanza Akili zao ili waielewe hasa Kimantiki ( Logically ) badala yake wamekuja na Majibu ya Kimihemko ( Kihisia ) zaidi na kufanya nizidi Kuwadharau tu.
 
Acha ku-copy na ku-paste the very same post over and over! Umesoma nilichoandika? Mbona ulichoandika hakiendani na nilichoandika?

Kwa staili hiyo halafu bado unajigamba umeleta mada kwa ajili ya kujifunza na kutengeneza mijadala?! Mwanzoni nilitaka kuamini hivyo lakini inaashiria sivyo!!!
Tuko hapa Kujifunza na pia Kutengeneza Mijadala yenye Tija ili tupate Ufahamu zaidi.

Krav Maga sijaanzisha Mada hii kama Kuwakashifu Wahusika kama ambavyo damn Fool Wewe uwazavyo.

Hivi na wale ambao huwa wanaanzisha Mada hapa za Kuhoji yanayotendeka kwa Wakristo ( hasa Makanisani na Madhabahuni pia ) huwa wanakuwa na Chuki na wenye hiyo Imani?

Tatizo la baadhi yenu hapa mna Upumbavu wa Kurithishwa katika Koo zenu kiasi kwamba Mada ikianzishwa tu mnashindwa kutafuta Logic ndani yake na Kukimbilia katika Upuuzi wenu na kutaka kuleta Hisia za Chuki.

Wenye Akili kubwa na pana nina uhakika wataelewa dhana Kuu na Fikirishi juu ya nilichokihoji na sijaanzisha Mada hii ili kuwakera wenye Imani hiyo na atakayewaza hivyo nae atakuwa ni Juha kama Wewe.
 
Tuko hapa Kujifunza na pia Kutengeneza Mijadala yenye Tija ili tupate Ufahamu zaidi.

Krav Maga sijaanzisha Mada hii kama Kuwakashifu Wahusika kama ambavyo damn Fool Wewe uwazavyo.

Hivi na wale ambao huwa wanaanzisha Mada hapa za Kuhoji yanayotendeka kwa Wakristo ( hasa Makanisani na Madhabahuni pia ) huwa wanakuwa na Chuki na wenye hiyo Imani?

Tatizo la baadhi yenu hapa mna Upumbavu wa Kurithishwa katika Koo zenu kiasi kwamba Mada ikianzishwa tu mnashindwa kutafuta Logic ndani yake na Kukimbilia katika Upuuzi wenu na kutaka kuleta Hisia za Chuki.

Wenye Akili kubwa na pana nina uhakika wataelewa dhana Kuu na Fikirishi juu ya nilichokihoji na sijaanzisha Mada hii ili kuwakera wenye Imani hiyo na atakayewaza hivyo nae atakuwa ni Juha kama Wewe.
Kumbe ndipo ulipofikia uwezo wako ndo hapo! Au hiyo post umeandikiwa hadi ufanye kazi ya kui-copy na kui-paste bila kuangalia content?!
 
Ipo siku lugha moja tutaongea.

Serikali ikaipitisha na hii siku ikawa siku ya Mapumziko full stop.

So tukawa na siku mbili indapo zitaangukia ktk ya wiki.

Itaondoa na kumaliza changamoto.

Labda sasa lije litokee kundi lingine la tatu,
 
Nilijua tu nikianzisha Uzi huu ( Mada hii ) nitaeleweka na Watu Intelligent ( Rational Thinkers ) wachache kama Wewe na baadhi waliojitokeza na watakaoendelea Kujitokeza pia.

Wapuuzi wengi huu Uzi ( Mada hii ) imewashinda kuwafanya watulize Kwanza Akili zao ili waielewe hasa Kimantiki ( Logically ) badala yake wamekuja na Majibu ya Kimihemko ( Kihisia ) zaidi na kufanya nizidi Kuwadharau tu.
Mpuuzi ni wewe ambae tayari una jibu lako kichwani na kwahiyo hutaki jibu lingine lolote, matokeo yake unafanya kazi ya ku-copy na ku-paste the very same post over and over again, kwa sababu unataka yale ymajibu yanayo-support unachoamini wewe TU!!!
 
Suala la faida na hasara za kijamii linatoka wapi wakati hili ni suala la kiimani?! Anyway, kuna mahali niliandika kama ifuatavyo:-

Hivi kwanini wasio Waislamu ndo wanakuwa more concerned na habari za mwezi kuliko Waislamu wenyewe?

Anyway, iko hivi...

Kuna wale wanaosimamia kile ambacho kilitamkwa na Mtume bila kujali mabadiliko ya teknolojia na kuna wale wanaofanya maamuzi kutokana na mabadiliko ya teknolojia duniani!!!

Kauli ya Mtume inasema kwamba "Fungeni na fungueni kwa kuuona mwezi, na kama hujaonekana, basi zitimie siku 30".

Yaani, kama mlianza kufunga tarehe 1, ikifika tarehe 29, chunguzeni kujiridhisha kama mwezi umeonekana. Kama mkiona, basi kesho msifunge na kama hamjauona, kesho endeleeni kufunga kama siku ya mwisho!!

Kwenye hadithi hii wametaja maximum distance kuonesha, ikiwa Eneo X mwezi umeonekana na Eneo Y hujaonekana lakini distance between X and Y ipo ndani ya umbali uliotajwa, basi Y nao watafanya kama X kwa hoja kwamba, inawezekana hawajauona kutokana na sababu mbalimbali, hususani za Kijiografia.

Lakini kubwa zaidi, hata kwenye ulimwengu wa leo, wanaangalia kikanda zaidi!

Sasa wale Conservatives... wanasimamia kwenye hiyo hadithi! Kwamba, ikifika Mwezi 29, na ukaonekana, basi watu wataanza kufunga au kufungua! Kama hujaonekana, watasubiri siku 30!

Kundi hili hawataki zile habari za kwamba Saudi Arabia mwezi umeonekana kwa sababu hadithi haisemi mwezi ukionekana Saudi Arabia basi fuateni huo wa Saudia!!

Kundi la Pili, wao wanaangalia mabadiliko ya kisayansi na teknolojia ambayo zama za Mtume hayakuwapo!!!

Hawa, wanachoamini ni kwamba, mwezi ukionekana Saudi Arabia basi LAZIMA na Tanzania itakuwa umeonekana tu hata kama mmeshindwa kuuona!!! Na kwavile siku hizi teknolojia ya upashaji habari ipo, basi wakisikia Saudi Arabia umeonekana, basi wao wanaenda nao sambamba!!

Kule Saudi Arabia wana namna tatu za kujiridhisha kuonekana kwa mwezi ambazo ni: by naked eyes, binoculars au kwa kutumia Wanajimu wakati sisi tunategemea kuuona kwa macho TU!

Pamoja na njia hizo 3, Saudia wanaiamini zaidi njia ya Wanajimu kuliko matumizi ya binoculars!!!

Kwahiyo it's not the BIG ISSUE kama msio Waislamu mnavyotaka kuifanya!!

Waislamu wenyewe, individually or collectively wanajua wafuate theory ipi. Na sehemu mbalimbali duniani huwa wanatumia theories hizo mbili!

Wanaopenda sana kutumia mwezi wa Saudi Arabia ni Ansal Sunni ambao wapo sect ya Imam Hanbal wakati East Africa, especially Kenya na Uganda, wapo sect ya Imam Shaffi!

Na kaeni mkifahamu kwamba hata Rwanda na Uganda, NOT necessarily kwamba wanakuwa wameuona kwenye nchi zao; unaweza kukuta wao wanafuata ile theory ya kwamba, kama mwezi umeonekana Mashariki ya Kati basi hata Rwanda/Uganda ni sawa tu kwenda nao sambamba!!

Hata hivyo, especially for astronomical point of view, ni nadra sana kuona mwezi unaonekana baada ya siku 30 kwa miezi miwili consecutively... yaani, kama mlianza kufunga baada ya mwezi kuonekana siku ya 30 basi kuna uwezekano MKUBWA SANA, mwezi unaofuata utaonekana baada ya siku 29!!
Point inayowakaba hapa ni kwa nini, muda wa saudia na hapa bongo ni mmoja lakini wao wanaanza kufungua wakati nyie hamfungui? Naandika hii post saa 2 kamili. Na pale jeddah ni saa mbilo kamili. Kwa nini wale wanafungua hawa wa BAKWATA hawafungui?

Nisaidie hapo.
 
Kumbe ndipo ulipofikia uwezo wako ndo hapo! Au hiyo post umeandikiwa hadi ufanye kazi ya kui-copy na kui-paste bila kuangalia content?!
Tuko hapa Kujifunza na pia Kutengeneza Mijadala yenye Tija ili tupate Ufahamu zaidi.

Krav Maga sijaanzisha Mada hii kama Kuwakashifu Wahusika kama ambavyo damn Fool Wewe uwazavyo.

Hivi na wale ambao huwa wanaanzisha Mada hapa za Kuhoji yanayotendeka kwa Wakristo ( hasa Makanisani na Madhabahuni pia ) huwa wanakuwa na Chuki na wenye hiyo Imani?

Tatizo la baadhi yenu hapa mna Upumbavu wa Kurithishwa katika Koo zenu kiasi kwamba Mada ikianzishwa tu mnashindwa kutafuta Logic ndani yake na Kukimbilia katika Upuuzi wenu na kutaka kuleta Hisia za Chuki.

Wenye Akili kubwa na pana nina uhakika wataelewa dhana Kuu na Fikirishi juu ya nilichokihoji na sijaanzisha Mada hii ili kuwakera wenye Imani hiyo na atakayewaza hivyo nae atakuwa ni Juha kama Wewe.
 
Mpuuzi ni wewe ambae tayari una jibu lako kichwani na kwahiyo hutaki jibu lingine lolote, matokeo yake unafanya kazi ya ku-copy na ku-paste the very same post over and over again, kwa sababu unataka yale ymajibu yanayo-support unachoamini wewe TU!!!
Tuko hapa Kujifunza na pia Kutengeneza Mijadala yenye Tija ili tupate Ufahamu zaidi.

Krav Maga sijaanzisha Mada hii kama Kuwakashifu Wahusika kama ambavyo damn Fool Wewe uwazavyo.

Hivi na wale ambao huwa wanaanzisha Mada hapa za Kuhoji yanayotendeka kwa Wakristo ( hasa Makanisani na Madhabahuni pia ) huwa wanakuwa na Chuki na wenye hiyo Imani?

Tatizo la baadhi yenu hapa mna Upumbavu wa Kurithishwa katika Koo zenu kiasi kwamba Mada ikianzishwa tu mnashindwa kutafuta Logic ndani yake na Kukimbilia katika Upuuzi wenu na kutaka kuleta Hisia za Chuki.

Wenye Akili kubwa na pana nina uhakika wataelewa dhana Kuu na Fikirishi juu ya nilichokihoji na sijaanzisha Mada hii ili kuwakera wenye Imani hiyo na atakayewaza hivyo nae atakuwa ni Juha kama Wewe.
 
Point inayowakaba hapa ni kwa nini, muda wa saudia na hapa bongo ni mmoja lakini wao wanaanza kufungua wakati nyie hamfungui? Naandika hii post saa 2 kamili. Na pale jeddah ni saa mbilo kamili. Kwa nini wale wanafungua hawa wa BAKWATA hawafungui?

Nisaidie hapo.
Unategemea huyo Moron ajibu Ndugu?

Cc: Chige
 
Ona hapa chini.
Screenshot_20210513-080322_Clock.jpg
hiyo ni jeddah na hapa chini ni bongo
Screenshot_20210513-080354_Clock.jpg
 
Katika Thread Content yangu nimewataja Waislamu au nimewalenga Waislamu hasa katika Mantiki yangu ya Hoja Fikirishi juu ya Jambo husika?
Kuwataja waislamu haujawataja ni kweli,lakini kuwalenga waislamu that's obvious kutokana na timing ya thread yako..au labda unifungue sherehe gani nyingine zinategemea muandamo wa mwezi kwa mifano tuu
 
Tuko hapa Kujifunza na pia Kutengeneza Mijadala yenye Tija ili tupate Ufahamu zaidi.

Krav Maga sijaanzisha Mada hii kama Kuwakashifu Wahusika kama ambavyo damn Fool Wewe uwazavyo.

Hivi na wale ambao huwa wanaanzisha Mada hapa za Kuhoji yanayotendeka kwa Wakristo ( hasa Makanisani na Madhabahuni pia ) huwa wanakuwa na Chuki na wenye hiyo Imani?

Tatizo la baadhi yenu hapa mna Upumbavu wa Kurithishwa katika Koo zenu kiasi kwamba Mada ikianzishwa tu mnashindwa kutafuta Logic ndani yake na Kukimbilia katika Upuuzi wenu na kutaka kuleta Hisia za Chuki.

Wenye Akili kubwa na pana nina uhakika wataelewa dhana Kuu na Fikirishi juu ya nilichokihoji na sijaanzisha Mada hii ili kuwakera wenye Imani hiyo na atakayewaza hivyo nae atakuwa ni Juha kama Wewe.
Mwandiko wa GENTA huu.
 
Tuko hapa Kujifunza na pia Kutengeneza Mijadala yenye Tija ili tupate Ufahamu zaidi.

Krav Maga sijaanzisha Mada hii kama Kuwakashifu Wahusika kama ambavyo damn Fool Wewe uwazavyo.

Hivi na wale ambao huwa wanaanzisha Mada hapa za Kuhoji yanayotendeka kwa Wakristo ( hasa Makanisani na Madhabahuni pia ) huwa wanakuwa na Chuki na wenye hiyo Imani?

Tatizo la baadhi yenu hapa mna Upumbavu wa Kurithishwa katika Koo zenu kiasi kwamba Mada ikianzishwa tu mnashindwa kutafuta Logic ndani yake na Kukimbilia katika Upuuzi wenu na kutaka kuleta Hisia za Chuki.

Wenye Akili kubwa na pana nina uhakika wataelewa dhana Kuu na Fikirishi juu ya nilichokihoji na sijaanzisha Mada hii ili kuwakera wenye Imani hiyo na atakayewaza hivyo nae atakuwa ni Juha kama Wewe.
NONSENSE!!!
 
Naomba kujua Faida na hasara ( hasa Kijamii na Kiustawi ) za Sherehe ambazo zinajulikana katika Kalenda na zile zinazotegemea Kuandama ( Kuchomoza ) kwa Mwezi Congo, Kigoma, Mombasa, Tanga, Zanzibar na Mtwara.
Fanya research mkuu
 
Back
Top Bottom