TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 4,967
- 15,272
Hivi lengo la kusema mabasi yaende pale stendi ya Magufuli ni ili tu yakalipe ushuru? Mfano kama bus halina abiria yoyote anaepanda/shuka magufuli terminal, kwanini liende? Ushuru si wanaweza wakalipa hata kwa mpesa au wakaamua kulipia mabasi yao yote kwa mwezi shida iko wapi?Ukweli ni kuwa mtoa mada hajui alisemalo.
Basi zote lazima ziingie stendi ya Magufuli. Haijalishi imetoka Shekilango, kariakoo au magomeni.
Mapato ya serikali yapo pale pale.