Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,324
- 5,934
Kinachokukera ni nini?Ahlan wa sahlan
Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?
Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.
Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Abiria atoke mjini hadi mbezi umbali wote huo na ictoshe nauli ya boda/uber alipie, huoni kuwa kuna shida hapo!!! Abiria anatokea kanda ya ziwa anawasili ucku unategemea aanze kutafuta usafiri wakumpeleka mjini huoni iyo ni risk sana, kuna kuibiwa au kuuwawa kabisa.
Acha wivu kijana, kama huna ofisi pale kuwa mpole tu.