Je, Shekilango na Urafiki ndio Stendi mpya za Mabasi yaendayo mikoani?

Ahlan wa sahlan

Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?

Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.

Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Kinachokukera ni nini?

Abiria atoke mjini hadi mbezi umbali wote huo na ictoshe nauli ya boda/uber alipie, huoni kuwa kuna shida hapo!!! Abiria anatokea kanda ya ziwa anawasili ucku unategemea aanze kutafuta usafiri wakumpeleka mjini huoni iyo ni risk sana, kuna kuibiwa au kuuwawa kabisa.


Acha wivu kijana, kama huna ofisi pale kuwa mpole tu.
 
Wabongo tunapenda sana kuoneana huruma hili ni suala jema ila kwa upande mwingne ni upumbavu mkubwa
Stand imejengwa kwa mapesa meng tena ukute niya mkopo arafu wanatokea wajinga wachache wenye mabasi wanakataa kufuata utarabibu mtu akiongea km mtoa mada hapa anaonekana mnafiki ametumwa
Sawa stand iko mbal na Jiji sawa atukatai ila sasa vyanzo vya uchumi vimeongezeka sabu
**** mtu wa boda atapata
Taxi atapata. Na ata bajaji na daladala wote watapata pesa kwa kusogeza abiria stand mpya
 
Nadhani OFISI na STENDI ni vitu viwili tofauti.

"Ofisi zetu zinapatikana stendi ya Magufuli, chumba namba 37".

Kitu kibaya ni pale "ofisi" zinapoifanya kampuni ya mabasi isitumie huduma za "stendi".

Kwa ufahamu wangu najua mabasi yote yanatumia huduma za stendi bila kujali wana ofisi Shekilango, Magomeni, Manzese au eneo lolote lile.

Mimi sioni ubaya maana lengo kusudiwa la kujengwa kwa stendi bado linatimizwa.

Labda tu uwe umeamua kuwafanyia UKATILI hawa watu wa usafirishaji.
Ukweli ni kuwa mtoa mada hajui alisemalo.
Basi zote lazima ziingie stendi ya Magufuli. Haijalishi imetoka Shekilango, kariakoo au magomeni.

Mapato ya serikali yapo pale pale.
 
Wabongo tunapenda sana kuoneana huruma hili ni suala jema ila kwa upande mwingne ni upumbavu mkubwa
Stand imejengwa kwa mapesa meng tena ukute niya mkopo arafu wanatokea wajinga wachache wenye mabasi wanakataa kufuata utarabibu mtu akiongea km mtoa mada hapa anaonekana mnafiki ametumwa
Sawa stand iko mbal na Jiji sawa atukatai ila sasa vyanzo vya uchumi vimeongezeka sabu
**** mtu wa boda atapata
Taxi atapata. Na ata bajaji na daladala wote watapata pesa kwa kusogeza abiria stand mpya
Hizo hesabu zako sisi hatuna! Kawafundishe wengine.
 
Idea nzuri sana mkuu, hapa ndipo linapokuja suala la exposure kwa viongozi wetu...

Miji mingi mikuu huko duniani huwa na stendi kuu zaidi ya moja, na stendi hizo hujengwa maeneo fulani kulingana na wapi magari yataelekwa kutokea hapo au pia kurahisisha wananchi kutotembea umbali mrefu kuifuata stendi...
Kakaeni huko dunia kwa kweli, mtuachie nchi yetu.
 
Kama alivyosema mdau mmoja hapo juu Viongozi wetu wengi hawajatembea au hawana maono ya mbali. Ni ushamba wa hali ya juu kuweka stendi moja kwa mji mkubwa kama Dar. Tulishindwa nini kujenge stendi kubwa kule Mbagala kwa ajili ya magari yanayoenda mikoa ya kusini??

Tulishindwa nini pale Mnazi mmoja pakachimbwa chini(undeground) kabisa pakawa na bus terminal kwa ajil ya watu wanaotoka katikat ya mji kuanza safar yao pale wakitaka kusafiri?? Tulishindwa kitu gani kuweka terminal kubwa huku upande wa Bagamoyo kisha tukajumlisha na hiyo ya Mbezi zikawa terminal 4. Yaani tuna wasomi wa mipango miji wa hovyo mno nchi hii na wana mawazo mgando
Sijui Kama wanawazaga Kuna watu inabidi watoke Kiganboni, Mbagala Chanika kufuata standi ya Mbezi Kama unasafiri na familia ukichukua taxi ni nauli mbili za kwenda mikoani
 
Wabongo tunapenda sana kuoneana huruma hili ni suala jema ila kwa upande mwingne ni upumbavu mkubwa
Stand imejengwa kwa mapesa meng tena ukute niya mkopo arafu wanatokea wajinga wachache wenye mabasi wanakataa kufuata utarabibu mtu akiongea km mtoa mada hapa anaonekana mnafiki ametumwa
Sawa stand iko mbal na Jiji sawa atukatai ila sasa vyanzo vya uchumi vimeongezeka sabu
**** mtu wa boda atapata
Taxi atapata. Na ata bajaji na daladala wote watapata pesa kwa kusogeza abiria stand mpya
Hesabu za kiamani na za uonevu, mimi natoka Kigoma na Advanture na familia ya watu 8 eti tuchukue Bajaj hiyo hela imebaki kweli
Ngoja Treni ya SGR ianze kama tutashuka Magufuli, ukitoka Kigoma unashuka Morogoro unapanda Express mpaka Bandarini huko mabasi kibao
Au Mabasi yatembee usiku tu asubuhi unahamia mwendo kasi
 
Tatizo lipo wapi?kule mbezi pia gari zipo tena nyingi tu..
Mbezi terminal ipo mwisho wa jiji...kuanzia kutoa huduma shekilango na urafiki ni msaada mkubwa kwa wengi ..ukizingatia saa 12.00 asubuhi gari inaanza safari.
 
Wabongo tunapenda sana kuoneana huruma hili ni suala jema ila kwa upande mwingne ni upumbavu mkubwa
Stand imejengwa kwa mapesa meng tena ukute niya mkopo arafu wanatokea wajinga wachache wenye mabasi wanakataa kufuata utarabibu mtu akiongea km mtoa mada hapa anaonekana mnafiki ametumwa
Sawa stand iko mbal na Jiji sawa atukatai ila sasa vyanzo vya uchumi vimeongezeka sabu
**** mtu wa boda atapata
Taxi atapata. Na ata bajaji na daladala wote watapata pesa kwa kusogeza abiria stand mpya
Hesabu za kizamani na za uonevu, mimi natoka Kigoma na Advanture na familia ya watu 8 eti tuchukue Bajaj hiyo hela imebaki kweli, angalieni na wenzanu kuna siku za matatizo kwa hiyo tusisafiri sio?
Ngoja Treni ya SGR ianze kama tutashuka Magufuli, ukitoka Kigoma unashuka Morogoro unapanda Express mpaka Bandarini huko mabasi kibao
Au Mabasi yatembee usiku tu asubuhi unahamia mwendo kasi
 
Kama alivyosema mdau mmoja hapo juu Viongozi wetu wengi hawajatembea au hawana maono ya mbali. Ni ushamba wa hali ya juu kuweka stendi moja kwa mji mkubwa kama Dar. Tulishindwa nini kujenge stendi kubwa kule Mbagala kwa ajili ya magari yanayoenda mikoa ya kusini??

Tulishindwa nini pale Mnazi mmoja pakachimbwa chini(undeground) kabisa pakawa na bus terminal kwa ajil ya watu wanaotoka katikat ya mji kuanza safar yao pale wakitaka kusafiri?? Tulishindwa kitu gani kuweka terminal kubwa huku upande wa Bagamoyo kisha tukajumlisha na hiyo ya Mbezi zikawa terminal 4. Yaani tuna wasomi wa mipango miji wa hovyo mno nchi hii na wana mawazo mgando
mkuu basi za lindi na mtwara zinaanzia sudan temeke zinamalizia mbagala ni route ya miaka mingi
 
Ahlan wa sahlan

Naiomba serikali ifunge hizi ofisi uchwara zilizopo hapa maeneo ya shekilango na Urafiki. Mabasi ya mikoani yamekuwa hayaendi tena kupaki stendi ya Magufuli pale Mbezi badala yake yamekuwa yakijazana maeneo ya Shekilango na Urafiki nyakati za Alfajiri na Mchana. Najiuliza ile stendi ya mabilioni pale Mbezi imejengwa kwa ajili ya kina nani?

Wahusika mpo na mnalifumbia mamcho jambo hili.Stendi imekuwa ikikosa mapato ya getini kwa abiria wanaoingia ndani ya stendi kutokana na watu sasa kumiminika kwenda maeneo ya Urafiki na Shekilango.

Wito wangu kwa serikali ni kuhakikisha mnazifunga mara moja ofisi hizi uchwara za haya mabasi hapa Shekilango na urafiki kwani hawa jamaa wameshageuza eneo hili kuwa ni terminal
Kwa Jjiji kubwa kama Dar linatakiwa tuwe na vituo vya mabasi ya mikoani zaidi ya kimoja. Jiji la Dar linayakiwa kuwa na 'terminal' kwenye kila Manispaa ili kupunguza gharama kwa wasafiri. Hebu fikiria mtu anayeishi Chanika na anasafiri kwenda Mwanza, inampasa kuondoka Chanika saa ngapi ili awahi Mbezi saa 11.30 asubuhi?

Vv
 
Atoke Kigamboni au Vikindu aende kukata ticket Mbezi huu ni usumbufu tu. Kampuni kuwa na ofisi muhimu sana popote pale kuharahisisha huduma kama ambavyo wamerahisishiwa watu wa Kimara na Mbezi kwa stend ya Magufuli.
Muwe mnasoma hoja vizuri, jamaa hazungumziii kukata tiketi, hoja ya msingi hapa na baadhi ya mabasi kutopitia kabisa Mbezi Bus Terminal, zinapandisha abiria hapo Urafiki na kupita juu kwa juu.
 
Wabongo tunapenda sana kuoneana huruma hili ni suala jema ila kwa upande mwingne ni upumbavu mkubwa
Stand imejengwa kwa mapesa meng tena ukute niya mkopo arafu wanatokea wajinga wachache wenye mabasi wanakataa kufuata utarabibu mtu akiongea km mtoa mada hapa anaonekana mnafiki ametumwa
Sawa stand iko mbal na Jiji sawa atukatai ila sasa vyanzo vya uchumi vimeongezeka sabu
**** mtu wa boda atapata
Taxi atapata. Na ata bajaji na daladala wote watapata pesa kwa kusogeza abiria stand mpya

Kwa Jjiji kubwa kama Dar linatakiwa tuwe na vituo vya mabasi ya mikoani zaidi ya kimoja. Jiji la Dar linayakiwa kuwa na 'terminal' kwenye kila Manispaa ili kupunguza gharama kwa wasafiri. Hebu fikiria mtu anayeishi Chanika na anasafiri kwenda Mwanza, inampasa kuondoka Chanika saa ngapi ili awahi Mbezi saa 11.30 asubuhi?

Vv
Mbona hakuna airport kila wilaya hapa Dar es salaam na bado watu wanawahi usafiri wa ndege!!?? Lame excuse

Unataka kusema mtu wa bunju au bagamoyo akiambiwa ndege inaondoka saa 11 alfajiri bado atechelewa kufika airport?
 
Mbona hakuna airport kila wilaya hapa Dar es salaam na bado watu wanawahi usafiri wa ndege!!?? Lame excuse

Unataka kusema mtu wa bunju au bagamoyo akiambiwa ndege inaondoka saa 11 alfajiri bado atechelewa kufika airport?
1. Wengi wanaoenda kupanda ndege wana usafiri binafsi/uwezo wa kukodi aina yoyote ya usafiri kuwafikisha airport kwa wakti. Usifananishe abiria wa ndege na wa bus.

2. Serikali yetu imekosa maono (long term plan) kwenye hili swala la stendi, sio kwa dar peke yake bali kwa mikoa mingi. Swala la kwamba kila mji unapopanuka stendi kuu inasogezwa nje ya mji (ref. Dsm, Mwanza, Dodoma, Moro nk) ni ukosefu wa mipango mizuri. Ina maana hata hiyo Magufuli siku mji ukikua nayo itakuja kusogezwa mwisho itafika Chalinze kabisa. Wanasahau kwamba kila unaposogeza stendi mbali na wananchi, unawaongezea gharama kubwa na usumbufu, ambayo ni kinyume kabisa na lengo la kua na serikali.

Terminal inatakiwa iwe KATIKATI ya mji, sehemu ambayo inafikika kirahisi na watu kutoka pande zote. Period. Huwezi kua unahamisha hamisha terminal kila baada ya miaka michache huo ni ukosefu wa mipango. Hoja ya kwamba katikati ya mji hakuna nafasi ni hoja mfu, nafasi ipo kubwa sana chini ya ardhi unaweza kuweka terminal ya ukubwa wowote unaopenda.
 
Back
Top Bottom