Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Nauliza hivi,Vuai Nahodha anakwenda kuwa nani baada ya kupigwa chini uwaziri? Alikuwa ni waziri wa kuteuliwa na Rais sio Mbunge yaani hawakilishi jimbo lolote! Je,ataendelea kukaa hotelini? Je,ataendelea kuingia bungeni? Na kama ataendelea kuingia Bungeni atakuwa anawakilisha serikali ipi?