Je serikali inaweza ku’revoke Passport ya raia wake?: Itakuwa dawa kwa ‘pasua kichwa’ walio nje ya nchi

SirBonge

JF-Expert Member
Jul 18, 2010
378
435
Tumeona nchini Kenya yule aliyemuapisha Odinga amekuwa ‘deported’ kurudi Canada kwa kuwa alikuwa na uraia pia wa Canada, kwa lugha nyingine amenyang’anywa uraia wa Kenya (sina uhakika).
Swali langu la kisheria, Je kwa sheria za Uhamiaji, serikali inaweza kumnyang’anya au kui’freeze au kuifuta passport ya raia wake yoyote? Kama ndivyo nadhani hii itakuwa njia rahisi ya ku’deal na watu wanaoleta shida kwenye mitandao walio nje ya nchi. Hii itamaanisha kwamba atazimika kuomba upya passport au kurudi nchini....
Tusaidieni wanasheria!
 
Tumeona nchini Kenya yule aliyemuapisha Odinga amekuwa ‘deported’ kurudi Canada kwa kuwa alikuwa na uraia pia wa Canada, kwa lugha nyingine amenyang’anywa uraia wa Kenya (sina uhakika).
Swali langu la kisheria, Je kwa sheria za Uhamiaji, serikali inaweza kumnyang’anya au kui’freeze au kuifuta passport ya raia wake yoyote? Kama ndivyo nadhani hii itakuwa njia rahisi ya ku’deal na watu wanaoleta shida kwenye mitandao walio nje ya nchi. Hii itamaanisha kwamba atazimika kuomba upya passport au kurudi nchini....
Tusaidieni wanasheria!
Mkuuu kwaniii passport si serikaliii ndio inatoaaa na kama ndivyo basii wanamamlaka ya kuifungiaaa mkuuu
 
Tumeona nchini Kenya yule aliyemuapisha Odinga amekuwa ‘deported’ kurudi Canada kwa kuwa alikuwa na uraia pia wa Canada, kwa lugha nyingine amenyang’anywa uraia wa Kenya (sina uhakika).
Swali langu la kisheria, Je kwa sheria za Uhamiaji, serikali inaweza kumnyang’anya au kui’freeze au kuifuta passport ya raia wake yoyote? Kama ndivyo nadhani hii itakuwa njia rahisi ya ku’deal na watu wanaoleta shida kwenye mitandao walio nje ya nchi. Hii itamaanisha kwamba atazimika kuomba upya passport au kurudi nchini....
Tusaidieni wanasheria!
Mwenzio keshaomba Uraia wa USA...
 
Uraia unaoweza kufutwa ni wa kuandikishwa tu.Uraia wa kuzliwa huwezi kuufuta labda mwenyewe aukatae
 
Tumeona nchini Kenya yule aliyemuapisha Odinga amekuwa ‘deported’ kurudi Canada kwa kuwa alikuwa na uraia pia wa Canada, kwa lugha nyingine amenyang’anywa uraia wa Kenya (sina uhakika).
Swali langu la kisheria, Je kwa sheria za Uhamiaji, serikali inaweza kumnyang’anya au kui’freeze au kuifuta passport ya raia wake yoyote? Kama ndivyo nadhani hii itakuwa njia rahisi ya ku’deal na watu wanaoleta shida kwenye mitandao walio nje ya nchi. Hii itamaanisha kwamba atazimika kuomba upya passport au kurudi nchini....
Tusaidieni wanasheria!
Passport na uraia nadhani ni tofauti, sio raia wote wana passport...
 
Tumeona nchini Kenya yule aliyemuapisha Odinga amekuwa ‘deported’ kurudi Canada kwa kuwa alikuwa na uraia pia wa Canada, kwa lugha nyingine amenyang’anywa uraia wa Kenya (sina uhakika).
Swali langu la kisheria, Je kwa sheria za Uhamiaji, serikali inaweza kumnyang’anya au kui’freeze au kuifuta passport ya raia wake yoyote? Kama ndivyo nadhani hii itakuwa njia rahisi ya ku’deal na watu wanaoleta shida kwenye mitandao walio nje ya nchi. Hii itamaanisha kwamba atazimika kuomba upya passport au kurudi nchini....
Tusaidieni wanasheria!
Mhh!
Kuna mtu unamtarget wewe.
Nadhani utakuwa umeitwa "Shekhe Tito" na bidada
 
Tumeona nchini Kenya yule aliyemuapisha Odinga amekuwa ‘deported’ kurudi Canada kwa kuwa alikuwa na uraia pia wa Canada, kwa lugha nyingine amenyang’anywa uraia wa Kenya (sina uhakika).
Swali langu la kisheria, Je kwa sheria za Uhamiaji, serikali inaweza kumnyang’anya au kui’freeze au kuifuta passport ya raia wake yoyote? Kama ndivyo nadhani hii itakuwa njia rahisi ya ku’deal na watu wanaoleta shida kwenye mitandao walio nje ya nchi. Hii itamaanisha kwamba atazimika kuomba upya passport au kurudi nchini....
Tusaidieni wanasheria!

Serikali ina uwezo huo.

Maelezo ya kukumbushia kwamba PPT ni mali ya serikali na ina uwezo wa kukunyang'anya PPT hiyo, yamo kwenye ukarasa wa mwisho wa PPT.

Itafanya hivyo tu endapo utakuwa chini ya ulinzi kwa kosa lolote lile ndani ya mipaka ya Tanzania.

Kwa mfano mtu amechukua PPT ya nchi ingine bila kuukana uraia wa Tanzania lakini bado anahodhi PPT ya Tanzania, basi akitua JNIA akiwa na PPT zote mbili, serikali inamnyang'anya PPT ya Tanzania.

Kwa kesi ya Miguna ni kwamba alichukua PPT ya Canada huku bado akiwa ni raia wa Kenya na hivyo kumfanya awe anamiliki PPT mbili kinyume na sheria za uhamiaji za Kenya.

Hivyo kwa kuwa hakuwa na haki ya kuwa raia wa Kenya, basi alipaswa kuondoka kwenda kwao Canada.

Hata hivyo sheria ya uhamiaji nchini Kenya inaruhusu uraia pacha huku wenye PPT mbli wakiruhusiwa kuomba kutambulika kuwa wana PPT ya Kenya na nchi ingine.
 
Back
Top Bottom