Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,599
- 217,991
Ni vema tukakemea siasa za kishamba na za uongo zinazotaka kuhuishwa nchini mwetu , ikiwa kama kulikuwa na orodha ya wazi kabisa ya wenye vyeti feki Magazetini na kwenye vyombo vingine vya habari nchi nzima, kuna shida gani leo kuorodhesha majina ya wale wanaosemekana walirejeshwa makazini na wale waliolipwa mafao waliyodhulumiwa?
Ni aibu sana uongo mkubwa kama huu kusimamiwa na serikali , tena kupitia kwa Waziri wa Utawala bora , kulikuwa na haja gani ya kudanganya, mbona watanzania walisharidhika na siasa za mwendazake hadi wakamchagua tena kwa karibu 100% kwenye uchaguzi wa 2020?
Ni aibu sana uongo mkubwa kama huu kusimamiwa na serikali , tena kupitia kwa Waziri wa Utawala bora , kulikuwa na haja gani ya kudanganya, mbona watanzania walisharidhika na siasa za mwendazake hadi wakamchagua tena kwa karibu 100% kwenye uchaguzi wa 2020?