Je, serikali imebadili rasmi tarehe ya malipo ya mishahara na je pensheni inalipwa kama walivyoahidi?

Kati ya tarehe ambazo watumishi walikuwa nazo uhakika za malipo ya mishahara ni tarehe 23 ya kila mwezi na ikiangukia wkend basi walikuwa wanalipa kabla ya tar hiyo, je kuna kitu gani ambacho hakiko sawa maana hata serikali haija tangaza rasmi tarehe mpya ya malipo ya mishahara kuwa imebadilika hadi muda huu mishahara bado tafsiri yake ni nini.

Pensheni ziliahidiwa kulipwa mapema na kwa muda mchache sana, sasa hivi kaka yangu ni Askari Polisi amestaafu mwezi wa 4 Mwaka huu 2021, nyaraka zote za kustaafu aliziwasilisha Dodoma mwezi 12 mwaka jana 2020. hadi sasa hajapata pensheni yake hii pia maana yake nini kufuatia kauli na ahadi ya Marehemu Magufuli na Rais aliyepo madarakani. Je kuna nini ambacho kina sababisha na hakija kaa sawa.
Huyo kaka yako alishakusanya za kubrashia viatu enzi zake, kwa hiyo asituletee jam tuajiri hata vijana....
 
Tafuteni njia mbadala za kujiingizia vipato vyenu waajiriwa wa kitanzania huko Serikalini,siku zote mshahara hautoshi
 
Police hata wasipopewa mi sioni kosa la serikali sabu wananch wanapodai katiba wao hutumika kuwatesa wananchi
 
Jpm pamoja kulikuwa na ujenzi wa miundo mbinu nchi nzima pamoja na project nying lakini mlilipwa mshahara wenu mapema tena walimu ambao ndio watumishi wengi wa umma kuliko vitengo vingine walikula mshahara wa bure kipindi cha Corona

Sasa hyu mama yenu atawakomesha ...

Hata huyu analipa Kwan amevuka tarehe?si mwisho wa mwez bado?
 
Back
Top Bottom