Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Kati ya tarehe ambazo watumishi walikuwa nazo uhakika za malipo ya mishahara ni tarehe 23 ya kila mwezi na ikiangukia wkend basi walikuwa wanalipa kabla ya tar hiyo, je kuna kitu gani ambacho hakiko sawa maana hata serikali haija tangaza rasmi tarehe mpya ya malipo ya mishahara kuwa imebadilika hadi muda huu mishahara bado tafsiri yake ni nini.
Pensheni ziliahidiwa kulipwa mapema na kwa muda mchache sana, sasa hivi kaka yangu ni Askari Polisi amestaafu mwezi wa 4 Mwaka huu 2021, nyaraka zote za kustaafu aliziwasilisha Dodoma mwezi 12 mwaka jana 2020. hadi sasa hajapata pensheni yake hii pia maana yake nini kufuatia kauli na ahadi ya Marehemu Magufuli na Rais aliyepo madarakani. Je kuna nini ambacho kina sababisha na hakija kaa sawa.
Pensheni ziliahidiwa kulipwa mapema na kwa muda mchache sana, sasa hivi kaka yangu ni Askari Polisi amestaafu mwezi wa 4 Mwaka huu 2021, nyaraka zote za kustaafu aliziwasilisha Dodoma mwezi 12 mwaka jana 2020. hadi sasa hajapata pensheni yake hii pia maana yake nini kufuatia kauli na ahadi ya Marehemu Magufuli na Rais aliyepo madarakani. Je kuna nini ambacho kina sababisha na hakija kaa sawa.