The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,436
- 17,082
Kuna wakati niliwahi kusikia serikali imewachukulia hatua watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja akiwemo james delicious na amber ruti.
Nimeuliza kwa sababu mara nyingi nawakuta hawa watu mitandaoni wakiendelea kujitangaza kua wanahusika na mapenzi ya jinsia moja au ya kinyume na maumbile.
Hebu angalia jamaa yuko Tinder anajiita cha utamu wa Dar es Salaam, yaani Dar es Salaam sweetheart.
Nimeuliza kwa sababu mara nyingi nawakuta hawa watu mitandaoni wakiendelea kujitangaza kua wanahusika na mapenzi ya jinsia moja au ya kinyume na maumbile.
Hebu angalia jamaa yuko Tinder anajiita cha utamu wa Dar es Salaam, yaani Dar es Salaam sweetheart.