Je, Serikali haikuwachukulia hatua kina James Delicious?

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,436
17,082
Kuna wakati niliwahi kusikia serikali imewachukulia hatua watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja akiwemo james delicious na amber ruti.

Nimeuliza kwa sababu mara nyingi nawakuta hawa watu mitandaoni wakiendelea kujitangaza kua wanahusika na mapenzi ya jinsia moja au ya kinyume na maumbile.

Hebu angalia jamaa yuko Tinder anajiita cha utamu wa Dar es Salaam, yaani Dar es Salaam sweetheart.
Screenshot_20200611-200901_Tinder.jpg
Screenshot_20200611-200909_Tinder.jpg
 
Serikali iache kujenga taifa kwenye mambo mhimu, ianze kukumbizana na watu wanaotumia 071 zao.
 
Are you interested in men ?. Najua almost if not all Dating sites huonesha kitu umekitaka kwenye search filter au ulikuwa unatafuta marafiki wa kiume tinder
Hapana, nashangaa mara nyingi hua naletewa mashoga. Nadhani wao kwenye gender wameandika ni wanawake au wameandika wao ni wanaume wako interested na wanaume wenzao.

Hua nakutana nao wengi ila kukutana na james ndio nikashangaa. Nilijua yuko jela kumbe yuko mitandaoni huku anatusumbua.
 
Hapana, nashangaa mara nyingi hua naletewa mashoga. Nadhani wao kwenye gender wameandika ni wanawake au wameandika wao ni wanaume wako interested na wanaume wenzao.

Hua nakutana nao wengi ila kukutana na james ndio nikashangaa. Nilijua yuko jela kumbe yuko mitandaoni huku anatusumbua.
Ukiweka kwenye search upo interested na women hutowaona. Never mind me lakini
 
Sasa ww habari za huko sijui tinder unaleta humu za nn ziache huko huko kwani mwili ni wanani? Waserikali au wake.

Alafu kuna kipengele fulani shangazi alishawahi kukiweka cha sheria kuhusu yana mambo ya kuingiliana kinyume kilikuwa kina elezea kila mtu anahaki ya kufanya maana nimwili wake mwenyewe kujua atanisaidia kukiweka hiko kifungu hapa.
 
Mkuu mbona km unatetea hizi mambo? Kuna usalama

Cc kijana Mpole
Sasa ww habari za huko sijui tinder unaleta humu za nn ziache huko huko kwani mwili ni wanani? Waserikali au wake.

Alafu kuna kipengele fulani shangazi alishawahi kukiweka cha sheria kuhusu yana mambo ya kuingiliana kinyume kilikuwa kina elezea kila mtu anahaki ya kufanya maana nimwili wake mwenyewe kujua atanisaidia kukiweka hiko kifungu hapa.
 
Namshauri James ajichange akafanye trans gender tu ili awe shemale..

Kajamaa kamelegea kabisa yani. Na wanao kapiga bomba wanamioyo aise
 
Back
Top Bottom