Je Sera nzuri Chadema: Makazi Bora, Elimu Bure, Afya Bure CCM itatumia kabla 2015

STEIN

JF-Expert Member
Aug 29, 2010
1,770
553
Wadau mimi ninawasiwasi ufuatao juu ya serikali ya ccm ya sasa.

1. Imekuwa ni jambo la kawaida kwa ccm kuanza kutekeleza sera za wenzao hata kama si yao. Kwa mfano mwaka 2000 kwa mara ya kwanza chadema iliongoza Halimashauri ya wilaya ya Karatu, na miongoni mwa mambo ya msingi iliyopewa halmashauri ni kuondoa kodi ya kichwa na kutafuta vyanzo vingine.

Hilo likafanikiwa na kodi ilipunguzwa kutoka 5000/= hadi 2000/= huku 500/= ikiwa kwa ajili ya mwanafunzi yeyote atakyefaulu kwenda sekondari.

2. Jambo lingine ambalo Chadema walikifanya ni kuhakikisha kila kata inakuwa na shule kabla ya 2005, nao CCM wakafanya sera ya Taifa shule kwa kila kata.

3. Ilipofika mwaka 2005 CCM wakafuta kodi ya kichwa kwa watanzania wote.


Hitimisho
Kama watafanya hivyo kabla ya 2015 itabidi CCM itoe fidia kwa wote waliokosa elimu bure toka zamani na kuwafidia watu wote wanaishi kwenye makazi duni kwa sababu kumbe hayo yanawezekana toka zamani ila kakosekana mtu wa kuwaambia.


Peepplleess PPoowweerr



 
Ni maoni yangu kwa sababu siku zote wao kila wapinzani wanachikisema wanadai hiwezekani. hilo ndilo kosa lao
 


2. Jambo lingine ambalo Chadema walikifanya ni kuhakikisha kila kata inakuwa na shule kabla ya 2005, nao CCM wakafanya sera ya Taifa shule kwa kila kata.

3. Ilipofika mwaka 2005 CCM wakafuta kodi ya kichwa kwa watanzania wote.


Hizo ndiyo tunaziita akili za kuangalizia.

CCM cannot think on their own.

What a shame.
 
Wadau mimi ninawasiwasi ufuatao juu ya serikali ya ccm ya sasa.

1. Imekuwa ni jambo la kawaida kwa ccm kuanza kutekeleza sera za wenzao hata kama si yao. Kwa mfano mwaka 2000 kwa mara ya kwanza chadema iliongoza Halimashauri ya wilaya ya Karatu, na miongoni mwa mambo ya msingi iliyopewa halmashauri ni kuondoa kodi ya kichwa na kutafuta vyanzo vingine.

Hilo likafanikiwa na kodi ilipunguzwa kutoka 5000/= hadi 2000/= huku 500/= ikiwa kwa ajili ya mwanafunzi yeyote atakyefaulu kwenda sekondari.

2. Jambo lingine ambalo Chadema walikifanya ni kuhakikisha kila kata inakuwa na shule kabla ya 2005, nao CCM wakafanya sera ya Taifa shule kwa kila kata.

3. Ilipofika mwaka 2005 CCM wakafuta kodi ya kichwa kwa watanzania wote.


Hitimisho
Kama watafanya hivyo kabla ya 2015 itabidi CCM itoe fidia kwa wote waliokosa elimu bure toka zamani na kuwafidia watu wote wanaishi kwenye makazi duni kwa sababu kumbe hayo yanawezekana toka zamani ila kakosekana mtu wa kuwaambia.


Peepplleess PPoowweerr






suala zima liko kwenye utekelezaji. as far as i know ccm sio watekelezaji wazuri, nadhani watachukua chache sana na hawata tekeleza vipasavyo. yetu macho
 
Back
Top Bottom