BabaTina
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 429
- 574
Guys kuna mtu yoyote anaifahamu hii taasisi? Maake nasikia inato mikopo na kwa njia ya mobile ndani ya dk45, kama kuna mtu anaifahamu in details anijuze tafadhali?
Wapka.mobi
Wapka.mobi
At fist hilo tangazo walilileta km zitto kabwe foundation. Niliwasiliana na Tundu lisu akasema hajasikia kitu kama icho labda nimpigie zito mwenyewe bt sikuwa na namba ya zito mahali nilipokuwepo.
Waliweka namba zilizosajiliwa kwa jina la zito.
Hili ni zao la wasomi kutokuwa na kazi, tutegemee mengi zaidi.
Matapeli
Mkuu wamenipigia simu sasa hivi wakitumia namba 0713263397 na kuniambia nitume hela au waifute fomu yangu ya application. Nimewaambia waifute maana bado sijawaelewa vizuri.
Mkuu wamenipigia simu sasa hivi wakitumia namba 0713263397 na kuniambia nitume hela au waifute fomu yangu ya application. Nimewaambia waifute maana bado sijawaelewa vizuri.
Mkuu wamenipigia simu sasa hivi wakitumia namba 0713263397 na kuniambia nitume hela au waifute fomu yangu ya application. Nimewaambia waifute maana bado sijawaelewa vizuri.
Kwel,ni waongo au?
Asante kwa msaada wako mkubwa sana...hakika kwenye hiyo red hapo umepigilia msumali wa mwisho