Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,531
- 8,616
Mwenendo wa kuelekea mwaka 2015 unaanza kujionesha ...Historia ya Nchi Hii imeonyesha wazi kuwa hakuna Rais aliyeweza Kuweka Rais amtakaye akiwa madarakani ...ni Jambo la kujivunia hili....Mwalimu alishindwa ataweza nani ??
Mwalimu alimtaka Sokoine amridhi ( akafariki) akamtaka Salim ( wahafidhina wakamzunguka ..hata Baada ya kuwa amempanga Mwinyi kukataa uteuzi)
Mwinyi ...hakufanikiwa kuweka Rais aliyemtaka mwaka 1995....na safari Hiyo aliyekuwa na karata ni Mwalimu.......hata Mkapa ikibidi afanye u turn mwisho kukubali Kikwete ....hasa kwenye ile hotuba yake ....aliposema.." Sasa ni Zamu ya rika jipya..." Ni wazi alikuwa anaonyesha kuelekeza nani apite...
Kikwete ambaye anaeleweka ni bingwa wa Siasa Za mikakati .....anaelekea hataki kufanya makosa ya watangulizi wake...ni wazi kwa namna Fulani Sasa anajitenga na marafiki zake ...wa mtandao....Alianza kumweka Mbali Lowassa...jambo ambalo ..Membe lilionekana kumpa Nguvu kubwa na kujiendelea kuwa karibu na familia Kuu akifikiri wameshika ticket.......mwelekeo wa Mwezi mmoja uliopita ...UKianza..
1 . Kumkana Membe na Kauli zake Za EAC na coalition of the willing ...na kutoa Kauli mpya iliyoonesha kuwa Membe ni waziri anayetoaa misimamo ya Nchi bila kufikiri,kushirikisha ...Rais au baraza...ilikuwa pia aibu mkizingatia Kauli Za hapo nyuma Juu ya Malawi
2. Jana pale uwanjani aliongelea ...onyo kwa mtu yeyote anayegombea kwa nia ya kulipizaa kisasa ( ni wazi mgombea aliyetoa Kauli ya Kisasi ni Membe peke yake ......aliposema anao " MAADII KUMI NA MOJA" ambao waombe asioteshwe( urais) ..watahama Nchi...
Maneno yote haya yapo na yalinakiliwa na vyombo Vya habari tv ,magazeti na mitandao....
NI WAZI KUWA SASA RAIS ATAMPA UGOMBEA RAIS ATAKAYEPITISHWA NA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPUNDUZI......WANAOGOMBEA KWA KUTEGEMEA KUJIPENDEKEZA KWA RAIS ..MKEWE AU FAMILIA KWA UJUMLA LWA KIGEZO CHOCHOTE WAJUWE SASA KIKWETE HANA UWEZO WA KUTOA MGOMBEA...KAMA AMBAVYO WAGOMBEA WALIOPIGIWA CHAPIO NA MARAIS WOTE WALIOTANGULIA WALIKATALIWA...NA HATA SASA ...KUWA KARIBU NA RAIS HAITAKIWA SIFA BALI NI DISQUALIFICATION....
WAGOMBEA AMBAO WAMESHAGUNDUA KUWA RAIS HANA FUNGUO NA WANAJIWEKA NA WANANCHI AU WANACHAMA....NDIO WATAKAOKUWA NA NAFASI KUBWA ..NAONA KAMA WATATU HIVI ..HADI SASA....UKITOA HUYO MMOJA AMBAYE AMEKUWA KWENYE KWAPA LA FIRST FAMILY....
HONGERA KIWETE KWA KUGUNDUA MAPEMA KUWA HUTAWEZA KUMWEKA RAIS ...UMEJIWEKA HURU.... Na hongera kwa kutoa onyo dhidi ya kisasi ..hili hata Nyerere akiwaonya wazambia..hawakusikia Leo Hii kila Rais anayestaafu Huko lazima afungwe na mrithi wake ...Sasa hivi Rupiah Banda kampokea Marehemu Chiluba ufungwa .......
Mwalimu alimtaka Sokoine amridhi ( akafariki) akamtaka Salim ( wahafidhina wakamzunguka ..hata Baada ya kuwa amempanga Mwinyi kukataa uteuzi)
Mwinyi ...hakufanikiwa kuweka Rais aliyemtaka mwaka 1995....na safari Hiyo aliyekuwa na karata ni Mwalimu.......hata Mkapa ikibidi afanye u turn mwisho kukubali Kikwete ....hasa kwenye ile hotuba yake ....aliposema.." Sasa ni Zamu ya rika jipya..." Ni wazi alikuwa anaonyesha kuelekeza nani apite...
Kikwete ambaye anaeleweka ni bingwa wa Siasa Za mikakati .....anaelekea hataki kufanya makosa ya watangulizi wake...ni wazi kwa namna Fulani Sasa anajitenga na marafiki zake ...wa mtandao....Alianza kumweka Mbali Lowassa...jambo ambalo ..Membe lilionekana kumpa Nguvu kubwa na kujiendelea kuwa karibu na familia Kuu akifikiri wameshika ticket.......mwelekeo wa Mwezi mmoja uliopita ...UKianza..
1 . Kumkana Membe na Kauli zake Za EAC na coalition of the willing ...na kutoa Kauli mpya iliyoonesha kuwa Membe ni waziri anayetoaa misimamo ya Nchi bila kufikiri,kushirikisha ...Rais au baraza...ilikuwa pia aibu mkizingatia Kauli Za hapo nyuma Juu ya Malawi
2. Jana pale uwanjani aliongelea ...onyo kwa mtu yeyote anayegombea kwa nia ya kulipizaa kisasa ( ni wazi mgombea aliyetoa Kauli ya Kisasi ni Membe peke yake ......aliposema anao " MAADII KUMI NA MOJA" ambao waombe asioteshwe( urais) ..watahama Nchi...
Maneno yote haya yapo na yalinakiliwa na vyombo Vya habari tv ,magazeti na mitandao....
NI WAZI KUWA SASA RAIS ATAMPA UGOMBEA RAIS ATAKAYEPITISHWA NA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPUNDUZI......WANAOGOMBEA KWA KUTEGEMEA KUJIPENDEKEZA KWA RAIS ..MKEWE AU FAMILIA KWA UJUMLA LWA KIGEZO CHOCHOTE WAJUWE SASA KIKWETE HANA UWEZO WA KUTOA MGOMBEA...KAMA AMBAVYO WAGOMBEA WALIOPIGIWA CHAPIO NA MARAIS WOTE WALIOTANGULIA WALIKATALIWA...NA HATA SASA ...KUWA KARIBU NA RAIS HAITAKIWA SIFA BALI NI DISQUALIFICATION....
WAGOMBEA AMBAO WAMESHAGUNDUA KUWA RAIS HANA FUNGUO NA WANAJIWEKA NA WANANCHI AU WANACHAMA....NDIO WATAKAOKUWA NA NAFASI KUBWA ..NAONA KAMA WATATU HIVI ..HADI SASA....UKITOA HUYO MMOJA AMBAYE AMEKUWA KWENYE KWAPA LA FIRST FAMILY....
HONGERA KIWETE KWA KUGUNDUA MAPEMA KUWA HUTAWEZA KUMWEKA RAIS ...UMEJIWEKA HURU.... Na hongera kwa kutoa onyo dhidi ya kisasi ..hili hata Nyerere akiwaonya wazambia..hawakusikia Leo Hii kila Rais anayestaafu Huko lazima afungwe na mrithi wake ...Sasa hivi Rupiah Banda kampokea Marehemu Chiluba ufungwa .......