Kwani kwa miaka yote hiyo wanafunzi wamekuwa wakivaa sare, kuna mapungufu gani yamejitokeza?
Tulianza kuiga vichupi, vitop, na milegezo, hiyo haijatosha hadi leo hii tena mnataka wototo wetu wasivae`uniform.
Tunataka kujenga jamii gani hiyo?
Kuna kero nyingi tu zinazoikabili jamii yetu, ni vema kuzijadili na pengine kuzipatia utatuzi hapa badala ya kutumia muda wetu kujadili vitu ambavyo kwa mtazamo wangu havina ulazima wa kupata air time hapa.
Let's be serious jamani.