bulletproof
New Member
- Jul 21, 2011
- 2
- 0
Kwanza nchi tajiri kama usa,uk na nyinginezo rais wao hajasafiri kama rais wetu na pia amesafiri nchi nyingi kuliko rais yoyote africa je kwa yote haya ningependa kuuliza wanajamii hizi gharama za rais kusafiri huwezi kununua kifua umeme tukajiondoa na tatizo sugu la umeme?mtazamo tu