Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,342
- 6,467
Plato alipendekeza huko kwao enzi zake mafilosofa wawe watawala kwa sababu kuu mbili: wana uwezo wa kutawala na mbili hawapendi kutawala. Wanasiasa wa kwetu ni wa kawaida na hawana uwezo wa kutawala, na wanapenda sana kutawala kiasi kwamba wako tayari hata kuhonga ili wapate kuchaguliwa (Mwalimu Julius K. Nyerere, 1990s, pp. 8).
Mimi naona ni vizuri tukapata rais kutoka kundi la wanasiasa wasio kuwa wa kawaida kwa maana ya wale wenye digrii za kweli za PhD na MPhil ili watuokoe kwenye ili balaa linaloletwa na wasioweza kuongoza ila upenda sana kufanya hivyo mmojawapo JK. Filosofa ninao ona wanafaa ni John Pombe Magufuli, Slaa. Lakini wasiwe wale waliotoka kwenye orodha ya mafisadi wa elimu na Hosea.
Ukitaka kujua Mwalimu Nyerere alikuwa sahihi kwenye jambo hili wewe angalia jinsi familia ya JK ilivyokuwa na uchu wa madaraka wakati uwezo mdogo ukianzia JK mwenyewe, mkewe ndio usiseme!
Mimi naona ni vizuri tukapata rais kutoka kundi la wanasiasa wasio kuwa wa kawaida kwa maana ya wale wenye digrii za kweli za PhD na MPhil ili watuokoe kwenye ili balaa linaloletwa na wasioweza kuongoza ila upenda sana kufanya hivyo mmojawapo JK. Filosofa ninao ona wanafaa ni John Pombe Magufuli, Slaa. Lakini wasiwe wale waliotoka kwenye orodha ya mafisadi wa elimu na Hosea.
Ukitaka kujua Mwalimu Nyerere alikuwa sahihi kwenye jambo hili wewe angalia jinsi familia ya JK ilivyokuwa na uchu wa madaraka wakati uwezo mdogo ukianzia JK mwenyewe, mkewe ndio usiseme!