Je safari hii tupate rais mwenye PhD au MPhil?

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,342
6,467
Plato alipendekeza huko kwao enzi zake mafilosofa wawe watawala kwa sababu kuu mbili: wana uwezo wa kutawala na mbili hawapendi kutawala. Wanasiasa wa kwetu ni wa kawaida na hawana uwezo wa kutawala, na wanapenda sana kutawala kiasi kwamba wako tayari hata kuhonga ili wapate kuchaguliwa (Mwalimu Julius K. Nyerere, 1990s, pp. 8).

Mimi naona ni vizuri tukapata rais kutoka kundi la wanasiasa wasio kuwa wa kawaida kwa maana ya wale wenye digrii za kweli za PhD na MPhil ili watuokoe kwenye ili balaa linaloletwa na wasioweza kuongoza ila upenda sana kufanya hivyo mmojawapo JK. Filosofa ninao ona wanafaa ni John Pombe Magufuli, Slaa. Lakini wasiwe wale waliotoka kwenye orodha ya mafisadi wa elimu na Hosea.

Ukitaka kujua Mwalimu Nyerere alikuwa sahihi kwenye jambo hili wewe angalia jinsi familia ya JK ilivyokuwa na uchu wa madaraka wakati uwezo mdogo ukianzia JK mwenyewe, mkewe ndio usiseme!
 
CHADEMA watakupinga kwa hili! Sababu huko hakuna wasomi wenyesifa utakazo, Mbowe?????? Mchungaji Slaa alie na Dr. ya kujisomea kitabu cha nabii paul?? Kwa criterial hiyo chadema nje. Tutegemee ccm tena au CUF
 
CHADEMA watakupinga kwa hili! Sababu huko hakuna wasomi wenyesifa utakazo, Mbowe?????? Mchungaji Slaa alie na Dr. ya kujisomea kitabu cha nabii paul?? Kwa criterial hiyo chadema nje. Tutegemee ccm tena au CUF
Kwani Kitila yuko chama gani?
 
Plato alipendekeza huko kwao enzi zake mafilosofa wawe watawala kwa sababu kuu mbili: wana uwezo wa kutawala na mbili hawapendi kutawala. Wanasiasa wa kwetu ni wa kawaida na hawana uwezo wa kutawala, na wanapenda sana kutawala kiasi kwamba wako tayari hata kuhonga ili wapate kuchaguliwa (Mwalimu Julius K. Nyerere, 1990s, pp. 8).

Mimi naona ni vizuri tukapata rais kutoka kundi la wanasiasa wasio kuwa wa kawaida kwa maana ya wale wenye digrii za kweli za PhD na MPhil ili watuokoe kwenye ili balaa linaloletwa na wasioweza kuongoza ila upenda sana kufanya hivyo mmojawapo JK. Filosofa ninao ona wanafaa ni John Pombe Magufuli, Slaa. Lakini wasiwe wale waliotoka kwenye orodha ya mafisadi wa elimu na Hosea.

Ukitaka kujua Mwalimu Nyerere alikuwa sahihi kwenye jambo hili wewe angalia jinsi familia ya JK ilivyokuwa na uchu wa madaraka wakati uwezo mdogo ukianzia JK mwenyewe, mkewe ndio usiseme!
Kati Nchi tano tajiri duniani kuna hata mmoja ilishawahi kuwa na kiongozi ambaye ni Phd holder ya darasani zaidi ya Gordon Brown?...Phd inafaa zaidi kwenye umakamu wa raisi na kwenye ukatibu
 
Kati Nchi tano tajiri duniani kuna hata mmoja ilishawahi kuwa na kiongozi ambaye ni Phd holder ya darasani zaidi ya Gordon Brown?...Phd inafaa zaidi kwenye umakamu wa raisi na kwenye ukatibu

Wapo wengi sana ndugu yangu asikudanganye mtu.
Sema nchi za wenzetu kuitwa Dr. ama Prof mara nyingi mpaka uwe unafundisha, kama hufundishi hiyo title wanaitoa ktk utangulizi wa jina lako. Wana siasa wakwetu wanapenda sifa ndio maana unaona wanajita ma prof wakati hawafundishi
 
Plato alipendekeza huko kwao enzi zake mafilosofa wawe watawala kwa sababu kuu mbili: wana uwezo wa kutawala na mbili hawapendi kutawala. Wanasiasa wa kwetu ni wa kawaida na hawana uwezo wa kutawala, na wanapenda sana kutawala kiasi kwamba wako tayari hata kuhonga ili wapate kuchaguliwa (Mwalimu Julius K. Nyerere, 1990s, pp. 8).

Mimi naona ni vizuri tukapata rais kutoka kundi la wanasiasa wasio kuwa wa kawaida kwa maana ya wale wenye digrii za kweli za PhD na MPhil ili watuokoe kwenye ili balaa linaloletwa na wasioweza kuongoza ila upenda sana kufanya hivyo mmojawapo JK. Filosofa ninao ona wanafaa ni John Pombe Magufuli, Slaa. Lakini wasiwe wale waliotoka kwenye orodha ya mafisadi wa elimu na Hosea.

Ukitaka kujua Mwalimu Nyerere alikuwa sahihi kwenye jambo hili wewe angalia jinsi familia ya JK ilivyokuwa na uchu wa madaraka wakati uwezo mdogo ukianzia JK mwenyewe, mkewe ndio usiseme!

Kama ni mwanafalsafa basi asiwe na FANI YO YOTE MAANA hao wote uliowasema kila mmoja doctorate yake ni katika fani fulani. ikiwa ni mwanafalsafa basi awe amesoma falsafa yenyewe na si speciality kama ya chemistry (magufuli) Canon Law (slaa), Law (Hosea) Economics (lipumba)... hivi JK amesomea nini?
And don't say amesoma uchumi.
 
Kati Nchi tano tajiri duniani kuna hata mmoja ilishawahi kuwa na kiongozi ambaye ni Phd holder ya darasani zaidi ya Gordon Brown?...Phd inafaa zaidi kwenye umakamu wa raisi na kwenye ukatibu

OBAMA has a Juris Doctorate in Law if I am not mistaken. Ila wenzetu hawapendi kujitangaza hovyo hovyo kama bongo. Bongo wanajitangaza mno ni kama majina ya ukoo
 
Tunahitaji mtu mchapa kazi, muadilifu, msikivu, muungwana, mkweli, mnyenyekevu, muaminifu na mfuatiliaji. Vyeti si tija, fani si tija, ila ni haiba na hulka za mtu ndizo zinazogomba Tanzania!

Kwa nini tusimpe nafasi hii ya Urais safari hii Mkulima, Mvuvi au Mhunzi? Ikiwezekana hata Machinga na Mchuuzi wa Kariakoo inabdi tumfikirie naye apate nafasi sawa.
 
OBAMA has a Juris Doctorate in Law if I am not mistaken. Ila wenzetu hawapendi kujitangaza hovyo hovyo kama bongo. Bongo wanajitangaza mno ni kama majina ya ukoo


Lumbe you are right,ukiangalia Senate na Congress ya Marekani majority wana Juris Doctor(JD) lakini hata siku moja hawajiiti ma Dr kama Tanzania.Hata Askofu Pengo ananyo JD lakini hajjiti ovyo ovyo.Angalia Gordon Brown former MP wa UK anayo lakini hukumsikia hata siku moja !

Watanzania tunajisikia sana ,ndio maana kuna wabunge na mawaziri wameharibu kabisa mantiki ya Phd!

Nilihoji Phd ya Magufuli(uhalali na independence)!Niliwauliza watu nani alikuwa supervisor
wake!Je supervisor wake angeweza kukataa thesis ya Magufuli(akijua ni Waziri)?
Kuhusu Slaa hapasi kujiita Dr kabisa!

Fumbuka,Masaburi,Kamala,Nagu wote ni dalili ya ufukara wa kielimu Tanzania
 
Hivi hawa watu wanajiita au ni sisi tunawaita???????????
Lumbe you are right,ukiangalia Senate na Congress ya Marekani majority wana Juris Doctor(JD) lakini hata siku moja hawajiiti ma Dr kama Tanzania.Hata Askofu Pengo ananyo JD lakini hajjiti ovyo ovyo.Angalia Gordon Brown former MP wa UK anayo lakini hukumsikia hata siku moja !

Watanzania tunajisikia sana ,ndio maana kuna wabunge na mawaziri wameharibu kabisa mantiki ya Phd!

Nilihoji Phd ya Magufuli(uhalali na independence)!Niliwauliza watu nani alikuwa supervisor
wake!Je supervisor wake angeweza kukataa thesis ya Magufuli(akijua ni Waziri)?
Kuhusu Slaa hapasi kujiita Dr kabisa!

Fumbuka,Masaburi,Kamala,Nagu wote ni dalili ya ufukara wa kielimu Tanzania
 
CHADEMA watakupinga kwa hili! Sababu huko hakuna wasomi wenyesifa utakazo, Mbowe?????? Mchungaji Slaa alie na Dr. ya kujisomea kitabu cha nabii paul?? Kwa criterial hiyo chadema nje. Tutegemee ccm tena au CUF

wacha izo jk aliingia na ka degree lakini mpaka mda huu akilala akaota asubui anatunukiwa u dr ahaaaa
 
Nilibahatika kufanya kazi na wamarekani kwa miaka 5, ilinichukua mda mrefu kugundua mabosi wangu wa 2 kutoka marekani kuwa ni ma-professors baada kusomasoma papers mbalimbali walizoziandika. So wenzetu kwao hawapendi kutumia sana kwa kuanza na Dr.Pro. ktk majina yao, ukikuta anatumia some time Dr. Ijue ni ya medicine.
 
Back
Top Bottom