jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,247
- 1,634
Kufuatia kuwepo machafuko yasiyo Isha kwa milongo kadhaa yakichochewa na makundi ya waasi Kama ADF, na mengine mengi!! Kutokana na udhaifu wa serikali ya DRC KUPAMBANA NAYO!!
Nahivyo bas kusababisha kuishi nayo huku yakiua watu kila leo
Je Rwanda inampango wakuchukua umiliki wa Kivu kaskazini ?
Sababu za KUFANYA hivo?
1.Rwanda n stable country
(makundi ya uasi yamepgana na Rwanda tangu 1994 na hayajaweza kuidhoofisha serikali na hayajaweza kuishi ndan ya Rwanda..
2.Rwanda ni nchi ndogo Sana hivo inahitaji ardhi
3.Makundi yanayoipinga serikali ya pk yako DRC
4.Serikal ya DRC imeshindwa kuleta Aman maeneo ya kivu
Nahivyo bas kusababisha kuishi nayo huku yakiua watu kila leo
Je Rwanda inampango wakuchukua umiliki wa Kivu kaskazini ?
Sababu za KUFANYA hivo?
1.Rwanda n stable country
(makundi ya uasi yamepgana na Rwanda tangu 1994 na hayajaweza kuidhoofisha serikali na hayajaweza kuishi ndan ya Rwanda..
2.Rwanda ni nchi ndogo Sana hivo inahitaji ardhi
3.Makundi yanayoipinga serikali ya pk yako DRC
4.Serikal ya DRC imeshindwa kuleta Aman maeneo ya kivu