Je, rungu la Spika wa Bunge (Mace) lilikuwepo wakati akina Halima Mdee wanaapishwa

Spika aliwaapisha vile akiwa anajua kuwa wale sio wabunge kwani hawakufuata njia halali na ilikuwa ni makosa ya kikatiba kuwaapisha ndani ya Bunge kitu ambacho mbele ya safari angeweza kutakiwa kujibu mashtaka ya kuvunja katiba, lakini pia aliangalia uteke teke wa watu kutokufuata sheria kulivyokithiri naye akaamua kupita humo humo kwani leo hapo alipo hakuna wa kumfanya lolote

Kwa ufupi kwa sheria zetu za bunge pamoja na katiba yetu iliyopitwa na wakati wale Covid 19 sio wabunge halali na ndio maana wakatumia gereji kuwaapisha bila wao kuligundua hilo wakiwa na mwanasheria Halima Mdee
Mdee alishasahau Sheria hata alichosomea hakipo kichwani ndiyo maana hakushitukia mchezo wa kuwaapisha kwenye kichochoro
 
CCM na Ndugai nafikiri hawakufanya kwa 'bahati mbaya' kuwaapisha hao covid19 pale garage ground.

Hii inanishawishi kuamini hawa 'wasaliti 'wapo katika dangerzone ya kuja kugeukwa badae na mamlaka.
Lets move on..!
Uchochoroni ukifanya chochote huwa rahisi kukwepa hata Ndungai anajua hilo ndiyo maana akawapeleka vichochoroni kuapa kihuni huni tu.
 
Mbunge anaapishwa na Spika sio na Bunge.....uwepo Wa Siwa/mace maana yake bunge linaendelea.

Hapakuwa na bunge pale hivyo sio mace haitakiwi kuwepo.

Kanuni ya bunge inasema....sio lazima mbunge aapishiwe bungeni ila ni lazima aapishwe na Spika.
Kuapishwa vichochoroni ni sawa?
 
Boss kanuni ilibadilishwa na bunge la 11 now inasomeka mbunge anatakiwa kuapa mbele ya Spika sio mbele ya bunge mbona ishu ni simple tu?
... kwamba Kanuni za Bunge ziko juu ya Katiba ya nchi?
 
Back
Top Bottom