Je Roma alistahili kutekwa au kupongezwa baada ya hii ripoti ya leo na Uchungu aliopata Mh. Magufuli

ryan riz

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
422
675
Kichwa cha habari chajitosheleza,ni miaka na miaka Roma alikuwa anaimba kwa ajili ya kuelimisha hasa vijana waijue Nchi yao na rasilimali zao pamoja na matatizo yanayosababishwa na viongozi wa nchi na watumishi wasio na uadilifu.....sasa ni muda wa Mh Rais ajue ni kundi gani la kuwa nao karibu kuanzia wasanii mpaka asasi binafsi zilizokuwa kuwa zinapiga vita unyonyaji huu na uongozi mbovu na wasiwachukulie tena kama walikuwa wapiga domo bali ni wazalendo hasa...........REJEA NYIMBO ZOTE ZA JAMAA
 
KESSY anakwambia R.O.M.A amemtukana sana rahisi hivyo hapaswi kuhurumiwa
bahati mbaya namuonaga Ali Kessy kwenye magazeti na mara moja moja akibwata kwenye video
ila laiti ningewahi kuonana nae mubashara... Iziraili anajua zaidi
 
Wabunge km Wakina Kessy na Yule mwingine kwa awamu hii hawastahili kuwa Bungeni
 
Back
Top Bottom