johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,744
- 141,610
Nawauliza waungwana ripoti ya CAG ambayo kimsingi anakabidhiwa Rais wa JMT, inapaswa kufanyiwa kazi na nani?
CAG anatoa hoja za ukaguzi na walioguswa wanawajibika kutoa maelezo, ufafanuzi au marekebisho kulingana na hoja husika sasa bunge zaidi ya kupiga siasa wana utaalamu gani wa kujadili hoja za kiuhasibu?
Niwatakie SB ya Mitende yenye baraka!
Maendeleo hayana vyama!
CAG anatoa hoja za ukaguzi na walioguswa wanawajibika kutoa maelezo, ufafanuzi au marekebisho kulingana na hoja husika sasa bunge zaidi ya kupiga siasa wana utaalamu gani wa kujadili hoja za kiuhasibu?
Niwatakie SB ya Mitende yenye baraka!
Maendeleo hayana vyama!