Domaradzka
Senior Member
- Apr 19, 2016
- 135
- 168
Leo katika maadhimisho ya misa ya kusimikwa na kuwekwa wakfu kwa Askofu wa Jimbo Katoliki Mbulu, Mhashamu Antony Lagwen Gaspar Mheshimiwa Mkuu wa mkoa wa Manyara alipewa nafasi ya kuwatambulisha viongozi wa Serikali na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania, Rev.Dr charles Kitima aliyekuwa VC wake wakati akisoma SAUT
Mheshimiwa Mnyeti ameongea kwa staha kuliko tulivyomzoea. Amesifu mchango wa kanisa na kuwasifu viongozi wake. Kiunyenyekevu akasema yuko mbele za walimu wake kama Bernadin Mfumbusa na wakuu wake kama Rt Rev Jude Thaddeus Ruwa'ichi OFMcap aliyekuwa Chancellor na Rev Charles Kitima aliyekuwa VC.
Kama ni mara ya kwanza kumsikiliza mnyeti kimazungumzo bila ukakasi wowote utajua ni mtu mstaarabu asiye na kifani kwa alivyoongea
Mwenye audio au video anaweza kutuwekea
Je, amestaarabika au ni unafiki?
Mheshimiwa Mnyeti ameongea kwa staha kuliko tulivyomzoea. Amesifu mchango wa kanisa na kuwasifu viongozi wake. Kiunyenyekevu akasema yuko mbele za walimu wake kama Bernadin Mfumbusa na wakuu wake kama Rt Rev Jude Thaddeus Ruwa'ichi OFMcap aliyekuwa Chancellor na Rev Charles Kitima aliyekuwa VC.
Kama ni mara ya kwanza kumsikiliza mnyeti kimazungumzo bila ukakasi wowote utajua ni mtu mstaarabu asiye na kifani kwa alivyoongea
Mwenye audio au video anaweza kutuwekea
Je, amestaarabika au ni unafiki?