Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
Si kwa ubaya hivi mama yupo humu ndani? Nawaza kwa sauti na kama yupo kwa mikeka yake hatuoni humu ndani?
Humu wapo Watu wameanza kuunga mkono juhudi zake licha ya kuunga kwani hawaoni/Hatuoni? Wapo wengine kipindi kile walipishana na Mheshimiwa Rais wa kipindi kile na sasa wanamsifu na kuungana na Mheshimiwa Rais wa sasa.
Kweli Mama humuoni Pascal Mayalla kama si yeye yupo USSR japo sifahamu kuwa ni nani huenda yeye akawa hata ndio mchengerwa mwenyewe inamaana na hata Shimba Ya Buyenze maana siku hizi na yeye amekukubali.
Hitimisho na hata mimi kweli?
Humu wapo Watu wameanza kuunga mkono juhudi zake licha ya kuunga kwani hawaoni/Hatuoni? Wapo wengine kipindi kile walipishana na Mheshimiwa Rais wa kipindi kile na sasa wanamsifu na kuungana na Mheshimiwa Rais wa sasa.
Kweli Mama humuoni Pascal Mayalla kama si yeye yupo USSR japo sifahamu kuwa ni nani huenda yeye akawa hata ndio mchengerwa mwenyewe inamaana na hata Shimba Ya Buyenze maana siku hizi na yeye amekukubali.
Hitimisho na hata mimi kweli?