sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,131
- 4,249
Mkuu Mungu ametulaani wabongo kumezaliwa watu kuchonga midomo hata bila kwanza kupiga mswaki.Wapinzani wetu walimsifia Rais wa jirani kwa kupanda usafiri wa umma, na kumzodoa huyu wetu kuwa ameenda na dreamliner, bila hata ya kuwa na uhakika!! Walipogundua wameingia chaka kwenye hilo, wakaanza kumzodoa kwa mambo mengine ya hovyo na ya kitoto kabisa!! Wengine wakasema amekodi ule mdege wa Emirates wote!! Kudeal na Opposition wa TZ yataka moyo sana