Je, Rais Samia na PM wameamua kutumia usafiri wa umma ku-cut cost kwenye ziara zao? | Majaliwa alitua Kigoma kwa Precision, Rais akaondoka na Emirates

Wanasafiri na watu wa kawaida au wanakodi? kama wanakodi nini utofauti kati ya kutumia ndege za serikali na kuzilipia na kutumia za binafsi na kulipia?
Watanzania wanapenda kuona serikali inapunguza gharama zisizo za msingi kwani ni kodi za wananchi hizo.... kutumia ndege za kukodi haliwezi kuwa jibu la kuondokana na matumizi makubwa na ysiyo ya msingi.
Wananchi lazima watahoji kuhusu gharama za ndege za kukoadi maana isije ikawa mwanya mwingine wa upigaji,,,,,,,,,
Huo msafara una watu wangapi na wamepanda daraja gani? hatari tupu
 
Je unafahamu hili la matumizi ya public transport wamelianza lini, alipokabidhiwa madaraka hukuwahi kwaona kila mtu alikuwa ana safairi na ndege yake, Makamu wa Rais ndege yake, Waziri Mkuu ndege yake, Rais ndege yake, halafu wote wanaondoka ndani ya wiki moja, Je wakiamua kutumia public transport ndio wataanza kuwalipa Wastaafu MAFAO yao kila mwezi?(maana wameamua kupunguza matumizi ili sehem zingine zipate sehem ya fedha) sasa jiulize kwanini Rais asitumie ndege ndogo kwenda dodoma hapo karibu badala ya Boeing ndege kubwa hiyo sio gharama hizo ni kilometa chache sana. Kuna ndege ya Rais ni ndogo na matumizi yake ni madogo sana kwanini Rais haitumii hiyo ndege maana ina matumizi kdg sana zaidi ya Boeing anayo itumia kwa sasa kwenda kilometa chache kama kwenda Zanzibar na Dodoma. ni hayo tu naomba kuwasiliaha kama yanaweza yakajibiwa sawa
Nawasalimu kwa Jina la JMT,


Katika kile kinachoonekana kuishi na kufanya|kutenda Kizalendo kwa Rais na Waziri Mkuu wetu Mhe Majaliwa Khasim Majaliwa pamoja na kwamba Tanzania tunajumla ya ndege mpya 11 wao wameamua kwenye baadhi ya shughuli zao za kiserikali zinazotumia gharama kubwa ya ndege na maeneo hayo kama kunandege watatumia usafiri huo wa Umma,

Tarehe 16|09|2021 waziri mkuu alipanda " Precision Air line " kwenda Kigoma kwenye ziara ya kikazi wakati tarehe 19|09|2021 Rais Samia alipanda Emirates Air line kwenda New York Marekani kwaajili ya kuhudhuria mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa,

Sote tunafahamu,Umbali kutoka Kigoma -Dar es salaam ni km 1,081 sawa na masaa 2:30 angani,Hii kwahakika ni Safari ndefu na inatumia gharama kubwa za Serikali ndio sababu Waziri mkuu aliamua kutumia Usafiri wa Umma yaani Precision Air Line ambayo inafanya Safari zake Kigoma- Dar kwa zaidi ya miaka 15 Sasa,

Watanzani ondoeni shaka nchi yenu iko Salama sana pengine tangu kuumbwa kwake,


VIVA MAJALIWA VIVA ||VIVA SANIA VIVA

 
Je unafahamu hili la matumizi ya public transport wamelianza lini, alipokabidhiwa madaraka hukuwahi kwaona kila mtu alikuwa ana safairi na ndege yake, Makamu wa Rais ndege yake, Waziri Mkuu ndege yake, Rais ndege yake, halafu wote wanaondoka ndani ya wiki moja, Je wakiamua kutumia public transport ndio wataanza kuwalipa Wastaafu MAFAO yao kila mwezi?(maana wameamua kupunguza matumizi ili sehem zingine zipate sehem ya fedha) sasa jiulize kwanini Rais asitumie ndege ndogo kwenda dodoma hapo karibu badala ya Boeing ndege kubwa hiyo sio gharama hizo ni kilometa chache sana. Kuna ndege ya Rais ni ndogo na matumizi yake ni madogo sana kwanini Rais haitumii hiyo ndege maana ina matumizi kdg sana zaidi ya Boeing anayo itumia kwa sasa kwenda kilometa chache kama kwenda Zanzibar na Dodoma. ni hayo tu naomba kuwasiliaha kama yanaweza yakajibiwa sawa
Unaandika too long mkuu,

.Fupisha tukujibu

But am sorry

#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Tatizo bado liko pale pale, ndege wanakodi hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawana hoja
Wapinzani wetu walimsifia Rais wa jirani kwa kupanda usafiri wa umma, na kumzodoa huyu wetu kuwa ameenda na dreamliner, bila hata ya kuwa na uhakika!! Walipogundua wameingia chaka kwenye hilo, wakaanza kumzodoa kwa mambo mengine ya hovyo na ya kitoto kabisa!! Wengine wakasema amekodi ule mdege wa Emirates wote!! Kudeal na Opposition wa TZ yataka moyo sana
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,


Katika kile kinachoonekana kuishi na kufanya|kutenda Kizalendo kwa Rais na Waziri Mkuu wetu Mhe Majaliwa Khasim Majaliwa pamoja na kwamba Tanzania tunajumla ya ndege mpya 11 wao wameamua kwenye baadhi ya shughuli zao za kiserikali zinazotumia gharama kubwa ya ndege na maeneo hayo kama kunandege watatumia usafiri huo wa Umma,

Tarehe 16|09|2021 waziri mkuu alipanda " Precision Air line " kwenda Kigoma kwenye ziara ya kikazi wakati tarehe 19|09|2021 Rais Samia alipanda Emirates Air line kwenda New York Marekani kwaajili ya kuhudhuria mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa,

Sote tunafahamu,Umbali kutoka Kigoma -Dar es salaam ni km 1,081 sawa na masaa 2:30 angani,Hii kwahakika ni Safari ndefu na inatumia gharama kubwa za Serikali ndio sababu Waziri mkuu aliamua kutumia Usafiri wa Umma yaani Precision Air Line ambayo inafanya Safari zake Kigoma- Dar kwa zaidi ya miaka 15 Sasa,

Watanzani ondoeni shaka nchi yenu iko Salama sana pengine tangu kuumbwa kwake,


VIVA MAJALIWA VIVA ||VIVA SANIA VIVA


Hongera Sana viongozi wetu
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,


Katika kile kinachoonekana kuishi na kufanya|kutenda Kizalendo kwa Rais na Waziri Mkuu wetu Mhe Majaliwa Khasim Majaliwa pamoja na kwamba Tanzania tunajumla ya ndege mpya 11 wao wameamua kwenye baadhi ya shughuli zao za kiserikali zinazotumia gharama kubwa ya ndege na maeneo hayo kama kunandege watatumia usafiri huo wa Umma,

Tarehe 16|09|2021 waziri mkuu alipanda " Precision Air line " kwenda Kigoma kwenye ziara ya kikazi wakati tarehe 19|09|2021 Rais Samia alipanda Emirates Air line kwenda New York Marekani kwaajili ya kuhudhuria mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa,

Sote tunafahamu,Umbali kutoka Kigoma -Dar es salaam ni km 1,081 sawa na masaa 2:30 angani,Hii kwahakika ni Safari ndefu na inatumia gharama kubwa za Serikali ndio sababu Waziri mkuu aliamua kutumia Usafiri wa Umma yaani Precision Air Line ambayo inafanya Safari zake Kigoma- Dar kwa zaidi ya miaka 15 Sasa,

Watanzani ondoeni shaka nchi yenu iko Salama sana pengine tangu kuumbwa kwake,


VIVA MAJALIWA VIVA ||VIVA SANIA VIVA


Safi Sana PM
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,

Katika kile kinachoonekana kuishi na kufanya|kutenda Kizalendo kwa Rais na Waziri Mkuu wetu Mhe Majaliwa Khasim Majaliwa pamoja na kwamba Tanzania tunajumla ya ndege mpya 11 wao wameamua kwenye baadhi ya shughuli zao za kiserikali zinazotumia gharama kubwa ya ndege na maeneo hayo kama kunandege watatumia usafiri huo wa Umma,

Tarehe 16|09|2021 waziri mkuu alipanda " Precision Air line " kwenda Kigoma kwenye ziara ya kikazi wakati tarehe 19|09|2021 Rais Samia alipanda Emirates Air line kwenda New York Marekani kwaajili ya kuhudhuria mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa,

Sote tunafahamu,Umbali kutoka Kigoma -Dar es salaam ni km 1,081 sawa na masaa 2:30 angani,Hii kwahakika ni Safari ndefu na inatumia gharama kubwa za Serikali ndio sababu Waziri mkuu aliamua kutumia Usafiri wa Umma yaani Precision Air Line ambayo inafanya Safari zake Kigoma- Dar kwa zaidi ya miaka 15 Sasa,

Watanzani ondoeni shaka nchi yenu iko Salama sana pengine tangu kuumbwa kwake,


VIVA MAJALIWA VIVA ||VIVA SANIA VIVA


Kaziindelee
 
Back
Top Bottom