Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,542
- 2,172
Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Katika kile kinachoonekana kuishi na kufanya|kutenda Kizalendo kwa Rais na Waziri Mkuu wetu Mhe Majaliwa Khasim Majaliwa pamoja na kwamba Tanzania tunajumla ya ndege mpya 11 wao wameamua kwenye baadhi ya shughuli zao za kiserikali zinazotumia gharama kubwa ya ndege na maeneo hayo kama kunandege watatumia usafiri huo wa Umma,
Tarehe 16|09|2021 waziri mkuu alipanda " Precision Air line " kwenda Kigoma kwenye ziara ya kikazi wakati tarehe 19|09|2021 Rais Samia alipanda Emirates Air line kwenda New York Marekani kwaajili ya kuhudhuria mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa,
Sote tunafahamu,Umbali kutoka Kigoma -Dar es salaam ni km 1,081 sawa na masaa 2:30 angani,Hii kwahakika ni Safari ndefu na inatumia gharama kubwa za Serikali ndio sababu Waziri mkuu aliamua kutumia Usafiri wa Umma yaani Precision Air Line ambayo inafanya Safari zake Kigoma- Dar kwa zaidi ya miaka 15 Sasa,
Watanzani ondoeni shaka nchi yenu iko Salama sana pengine tangu kuumbwa kwake,
VIVA MAJALIWA VIVA ||VIVA SANIA VIVA
Katika kile kinachoonekana kuishi na kufanya|kutenda Kizalendo kwa Rais na Waziri Mkuu wetu Mhe Majaliwa Khasim Majaliwa pamoja na kwamba Tanzania tunajumla ya ndege mpya 11 wao wameamua kwenye baadhi ya shughuli zao za kiserikali zinazotumia gharama kubwa ya ndege na maeneo hayo kama kunandege watatumia usafiri huo wa Umma,
Tarehe 16|09|2021 waziri mkuu alipanda " Precision Air line " kwenda Kigoma kwenye ziara ya kikazi wakati tarehe 19|09|2021 Rais Samia alipanda Emirates Air line kwenda New York Marekani kwaajili ya kuhudhuria mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa,
Sote tunafahamu,Umbali kutoka Kigoma -Dar es salaam ni km 1,081 sawa na masaa 2:30 angani,Hii kwahakika ni Safari ndefu na inatumia gharama kubwa za Serikali ndio sababu Waziri mkuu aliamua kutumia Usafiri wa Umma yaani Precision Air Line ambayo inafanya Safari zake Kigoma- Dar kwa zaidi ya miaka 15 Sasa,
Watanzani ondoeni shaka nchi yenu iko Salama sana pengine tangu kuumbwa kwake,
VIVA MAJALIWA VIVA ||VIVA SANIA VIVA