Wrevta JF-Expert Member Jan 18, 2023 1,440 1,720 Mar 8, 2023 #1 Kwa wanavyuo mlio sign, je, kweli kaweka laki 6 badala ya laki 5? Isije tu kuwa siasa za kuwa manipulate watoto wa walala hoi. Ila natumai mama ni mkweli!
Kwa wanavyuo mlio sign, je, kweli kaweka laki 6 badala ya laki 5? Isije tu kuwa siasa za kuwa manipulate watoto wa walala hoi. Ila natumai mama ni mkweli!
Gily Gru JF-Expert Member Jul 4, 2016 7,800 20,753 Mar 8, 2023 #2 Watu bado wanatafita ma sponsor wamechoka kusubiri ongezek la boom
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Sep 4, 2013 36,023 40,694 Mar 8, 2023 #3 Huyo mama hivi anatoaga hizi pesa kwenye hand bag yake? Sema serikali..
DR HAYA LAND JF-Expert Member Dec 26, 2017 17,801 44,934 Mar 8, 2023 #4 Message hawajatoa za boom bado zikitolewa utapata majibu sahihi mkuu
Wrevta JF-Expert Member Jan 18, 2023 1,440 1,720 Mar 8, 2023 Thread starter #5 DR HAYA LAND said: Message hawajatoa za boom bado zikitolewa utapata majibu sahihi mkuu Click to expand... Nasikia vyuo kama NIT wameshaanza ku sign. No wonder ongezeko si kwa vyuo vyote.
DR HAYA LAND said: Message hawajatoa za boom bado zikitolewa utapata majibu sahihi mkuu Click to expand... Nasikia vyuo kama NIT wameshaanza ku sign. No wonder ongezeko si kwa vyuo vyote.