Je, Rais Samia anayo haki na misingi ya kuongoza Tanzania Bara (Tanganyika) kwa mambo yasiyo ya Muungano?

A. UTANGULIZI
Napenda kuweka wazi kwamba nimeanzisha mjadala huu, ili kuondoa mkanganyiko na mkwamo ninao uona wazi wazi katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania. Kwa mara nyingine katiba yetu imejaribiwa (imekuwa tested), hivyo ni busara kuwepo kwa mjadala wa kuondoa shaka na hoja gonganishi katika katiba yetu kwa ustawi bora na imara wa Taifa letu Pendwa.

B. HISTORIA KIDOGO
Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania iliundwa Tar.26 April 1964, ikiwa ni muungano wa maTaifa huru ya Jamhuri ya Tanganyika (1962) na Jamhuri ya watu wa Zanzibar (1964). Jamhuri hizi mbili ziliingia mkataba wa pamoja 1964 na kuanzisha dola la Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania.
Kwa mujibu wa Katiba ya J.M.T ya mwaka 1977, ibara ya 4(3) imeorodhesha mambo 22 ya muungano baina ya pande mbili zilizo-ungana.
Kwa upande wa Tanzania bara (Tanganyika) mambo yasiyo ya muungano yanasimamiwa na serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na Kwa upande wa Zanzibar, mambo yasiyo ya muungano yanasimamiwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.


Kwa Lugha rahisi, Muungano wetu ni wa serikali Mbili, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Serikali ya Jamhuri ya Tanganyika ilifutwa na haipo.

C. MAMBO YA MUUNGANO
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977), ibara ya 4, ibara ndogo ya 3, imetoa mwongozo kuhusu mambo ya muungano. Na, yameorodheshwa katika nyongeza ya kwanza ya katiba yetu.
Yafuatayo ni mambo 22 ya muungano kwa mujibu wa Katiba yetu.
1. Katiba ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
2. Mambo ya Nchi za Nje.
3. Ulinzi na Usalama.
4. Polisi.
5. Mamlaka juu ya mambo yanayohusika na hali ya hatari.
6. Uraia.
7. Uhamiaji.
8. Mikopo na baiashara ya Nchi za Nje.
9. Utumishi katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
10.Kodi ya Mapato inayolipwa na watu binafsi na mashirika, ushuru wa forodha na ushuru wa bidhaa zinazotengenezwa nchini Tanzania unaosimamiwa na Idara ya Forodha.
11.Bandari, mambo yanayohusika na usafiri wa anga, posta na simu.
12.Mambo yote yanayohusika na sarafu na fedha kwa ajili ya malipo yote halali (pamoja na noti); mabenki (pamoja mabenki ya kuweka akiba) na shughuli zote za mabenki; fedha za kigeni na usimamizi juu ya mambo yanayohusika na fedha za kigeni.
13.Leseni ya viwanda na takwimu.
14.Elimu ya juu.
15.Maliasili ya mafuta, pamoja na mafuta yasiyochujwa ya motokaa na mafuata ya aina ya petroli na aina nyinginezo za mafuta au bidhaa, na gesi asilia.
16.Baraza la Taifa la Mitihani la Tanzania na mambo yote yanayohusika na kazi za Baraza hilo.
17.Usafiri na usafirishaji wa anga.
18.Utafiti.
19.Utafiti wa hali ya hewa.
20.Takwimu.
21.Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano.
22.Uandikishaji wa Vyama vya siasa na Mambo mengine yanayohusiana navyo.

Angalau kwa mujibu wa katiba yetu, haya yaliyo orodheshwa ndiyo mambo ya muungano.


D. HOJA MEZANI (HOJA KINZANI)

Kwa kuwa Rais aliyeko madarakani ni asili ya Zanzibar, hivyo ni mZanzibari, na anaongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na yeye ni zao la muungano wetu. Na, kwa kuwa Katiba yetu imebainisha dhahiri mambo ya muungano, Je? Ni sahihi kwa Rais wa sasa kuongoza Tanzania Bara (Tanganyika) hata kwa mambo yasiyo ya muungano?

1.Kama ni sahihi, anaongozaje mambo yasiyo ya muungano ilhali yeye ni mZanzibari na ni zao la muungano na ana uishi muungano pamoja na mambo ya muungano, tukumbuke kwamba , tumeungana lakini hatujaungana katika mambo yoye, tumechagua mambo ya kuungana.
2.Kama sio sahihi nini kifanyike?

E. HITIMISHO
Kuna watu mtaacha kujibu hoja na kuleta vioja, kuna watu mtauliza kwa nini hoja hii inaletwa sasa. Majibu yake ni kwamba, Jana(26.04.2021) ilikua siku ya kukumbuka Muungano wetu, hivyo ni busara kuujadili kipindi hiki, na jana kuna kongamano lilifunguliwa ,kuendeshwa na makamu wa Rais Dkt.P.Mpango. Lakini, kwa maya nyingine tumepata Rais Mzanzibar kwa mujibu wa Katiba, hivyo nimeona ni vyema tujadili jambo hili ili kutoa/kuondoa hoja hizi kinzani.

Kwa maoni yangu, Kuna haja ya kuangalia maslahi ya Tanzania bara(Tanganyika) katika muungano wetu. Sioni maana ya Mzanzibari kuwaongoza waTanganyika katika mambo yasiyo ya muungano, unless tukubali kuungana kwa kila jambo. Pia, kuna haja ya kuwalinda waTanganyika kama ambavyo katiba inawalinda waZanzibari, Mathalani;
-Mtanganyika hawezi kumiliki ardhi Zanzibar kwa hoja mufilisi kwamba Zanzibar ni ndogo, lakini kwenye mgawanyo wa pesa za Maadhimisho ya Muungano watataka equal share.
-Wakati anahutubia Bunge, Rais Samia alitoa ahadi ya kununua Meli za uvuvi nne, huku mbili zikielekezwa Zanzibar na mbili Bara. Kwanza hii sio haki, kwani Uvuvi, na Usafirishaji wa majini siyo mambo ya muungano, sioni matiki kwa nini Rais wa Muungano aanze kuhangaika na mambo yasiyo ya muungano kwa Zanzibar kwa kutumia pesa za Watanganyika.

Niko Tayari kurekebishwa na kusahihishwa katika mjadala huu, ili tujenge Muungano utakao kidhi matakwa ya pande zote za Muungano.


Hakutakiwa,. hata hivyo katiba ya Warioba ingerekebisha hii kitu .
 
A. UTANGULIZI
Napenda kuweka wazi kwamba nimeanzisha mjadala huu, ili kuondoa mkanganyiko na mkwamo ninao uona wazi wazi katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania. Kwa mara nyingine katiba yetu imejaribiwa (imekuwa tested), hivyo ni busara kuwepo kwa mjadala wa kuondoa shaka na hoja gonganishi katika katiba yetu kwa ustawi bora na imara wa Taifa letu Pendwa.

B. HISTORIA KIDOGO
Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania iliundwa Tar.26 April 1964, ikiwa ni muungano wa maTaifa huru ya Jamhuri ya Tanganyika (1962) na Jamhuri ya watu wa Zanzibar (1964). Jamhuri hizi mbili ziliingia mkataba wa pamoja 1964 na kuanzisha dola la Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania.
Kwa mujibu wa Katiba ya J.M.T ya mwaka 1977, ibara ya 4(3) imeorodhesha mambo 22 ya muungano baina ya pande mbili zilizo-ungana.
Kwa upande wa Tanzania bara (Tanganyika) mambo yasiyo ya muungano yanasimamiwa na serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na Kwa upande wa Zanzibar, mambo yasiyo ya muungano yanasimamiwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.


Kwa Lugha rahisi, Muungano wetu ni wa serikali Mbili, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Serikali ya Jamhuri ya Tanganyika ilifutwa na haipo.

C. MAMBO YA MUUNGANO
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977), ibara ya 4, ibara ndogo ya 3, imetoa mwongozo kuhusu mambo ya muungano. Na, yameorodheshwa katika nyongeza ya kwanza ya katiba yetu.
Yafuatayo ni mambo 22 ya muungano kwa mujibu wa Katiba yetu.
1. Katiba ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
2. Mambo ya Nchi za Nje.
3. Ulinzi na Usalama.
4. Polisi.
5. Mamlaka juu ya mambo yanayohusika na hali ya hatari.
6. Uraia.
7. Uhamiaji.
8. Mikopo na baiashara ya Nchi za Nje.
9. Utumishi katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
10.Kodi ya Mapato inayolipwa na watu binafsi na mashirika, ushuru wa forodha na ushuru wa bidhaa zinazotengenezwa nchini Tanzania unaosimamiwa na Idara ya Forodha.
11.Bandari, mambo yanayohusika na usafiri wa anga, posta na simu.
12.Mambo yote yanayohusika na sarafu na fedha kwa ajili ya malipo yote halali (pamoja na noti); mabenki (pamoja mabenki ya kuweka akiba) na shughuli zote za mabenki; fedha za kigeni na usimamizi juu ya mambo yanayohusika na fedha za kigeni.
13.Leseni ya viwanda na takwimu.
14.Elimu ya juu.
15.Maliasili ya mafuta, pamoja na mafuta yasiyochujwa ya motokaa na mafuata ya aina ya petroli na aina nyinginezo za mafuta au bidhaa, na gesi asilia.
16.Baraza la Taifa la Mitihani la Tanzania na mambo yote yanayohusika na kazi za Baraza hilo.
17.Usafiri na usafirishaji wa anga.
18.Utafiti.
19.Utafiti wa hali ya hewa.
20.Takwimu.
21.Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano.
22.Uandikishaji wa Vyama vya siasa na Mambo mengine yanayohusiana navyo.

Angalau kwa mujibu wa katiba yetu, haya yaliyo orodheshwa ndiyo mambo ya muungano.


D. HOJA MEZANI (HOJA KINZANI)

Kwa kuwa Rais aliyeko madarakani ni asili ya Zanzibar, hivyo ni mZanzibari, na anaongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na yeye ni zao la muungano wetu. Na, kwa kuwa Katiba yetu imebainisha dhahiri mambo ya muungano, Je? Ni sahihi kwa Rais wa sasa kuongoza Tanzania Bara (Tanganyika) hata kwa mambo yasiyo ya muungano?

1.Kama ni sahihi, anaongozaje mambo yasiyo ya muungano ilhali yeye ni mZanzibari na ni zao la muungano na ana uishi muungano pamoja na mambo ya muungano, tukumbuke kwamba , tumeungana lakini hatujaungana katika mambo yoye, tumechagua mambo ya kuungana.
2.Kama sio sahihi nini kifanyike?

E. HITIMISHO
Kuna watu mtaacha kujibu hoja na kuleta vioja, kuna watu mtauliza kwa nini hoja hii inaletwa sasa. Majibu yake ni kwamba, Jana(26.04.2021) ilikua siku ya kukumbuka Muungano wetu, hivyo ni busara kuujadili kipindi hiki, na jana kuna kongamano lilifunguliwa ,kuendeshwa na makamu wa Rais Dkt.P.Mpango. Lakini, kwa maya nyingine tumepata Rais Mzanzibar kwa mujibu wa Katiba, hivyo nimeona ni vyema tujadili jambo hili ili kutoa/kuondoa hoja hizi kinzani.

Kwa maoni yangu, Kuna haja ya kuangalia maslahi ya Tanzania bara(Tanganyika) katika muungano wetu. Sioni maana ya Mzanzibari kuwaongoza waTanganyika katika mambo yasiyo ya muungano, unless tukubali kuungana kwa kila jambo. Pia, kuna haja ya kuwalinda waTanganyika kama ambavyo katiba inawalinda waZanzibari, Mathalani;
-Mtanganyika hawezi kumiliki ardhi Zanzibar kwa hoja mufilisi kwamba Zanzibar ni ndogo, lakini kwenye mgawanyo wa pesa za Maadhimisho ya Muungano watataka equal share.
-Wakati anahutubia Bunge, Rais Samia alitoa ahadi ya kununua Meli za uvuvi nne, huku mbili zikielekezwa Zanzibar na mbili Bara. Kwanza hii sio haki, kwani Uvuvi, na Usafirishaji wa majini siyo mambo ya muungano, sioni matiki kwa nini Rais wa Muungano aanze kuhangaika na mambo yasiyo ya muungano kwa Zanzibar kwa kutumia pesa za Watanganyika.

Niko Tayari kurekebishwa na kusahihishwa katika mjadala huu, ili tujenge Muungano utakao kidhi matakwa ya pande zote za Muungano.
Si mambo ya kuhitaji kuumiza kichwa chako haya, miaka yote tumeimba, tumetisha, tumesingizia watu kuwa WANAHATARISHA MUUNGANO,
kwamba MUUNGANO ULINDWE KWA GHARAMA ZOZOTE.
Acha mambo yaende hivyo hivyo; ndiyo gharama yenyewe
 
Mtapiga kelele sana ..Rais ni Samia S Hassan..
Niliwahi kufikiria kuwa ni mmoja wa watu tafakari Jadidifu lakini kumbe sivyo kabisa. Umeshindwa kuona kuwa Mleta Mada ana hoja nzit? Huoni kuwa Katiba yetu ina tatizo kubwa? Ni hivi hakuna Serikali ya Muungano bila Tanzania Bara na Zanzibar!
Kama Katiba inasema kuna mambo ya Muungano na yasiyo ya Muungano mama anapata wapi nguvu za kisheria za kununua Meli za Biashara na kuzigawa huko ZNZ? Nani kasema biashara ni issue ya Muungano?
 
A. UTANGULIZI
Napenda kuweka wazi kwamba nimeanzisha mjadala huu, ili kuondoa mkanganyiko na mkwamo ninao uona wazi wazi katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania. Kwa mara nyingine katiba yetu imejaribiwa (imekuwa tested), hivyo ni busara kuwepo kwa mjadala wa kuondoa shaka na hoja gonganishi katika katiba yetu kwa ustawi bora na imara wa Taifa letu Pendwa.

B. HISTORIA KIDOGO
Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania iliundwa Tar.26 April 1964, ikiwa ni muungano wa maTaifa huru ya Jamhuri ya Tanganyika (1962) na Jamhuri ya watu wa Zanzibar (1964). Jamhuri hizi mbili ziliingia mkataba wa pamoja 1964 na kuanzisha dola la Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania.
Kwa mujibu wa Katiba ya J.M.T ya mwaka 1977, ibara ya 4(3) imeorodhesha mambo 22 ya muungano baina ya pande mbili zilizo-ungana.
Kwa upande wa Tanzania bara (Tanganyika) mambo yasiyo ya muungano yanasimamiwa na serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na Kwa upande wa Zanzibar, mambo yasiyo ya muungano yanasimamiwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.


Kwa Lugha rahisi, Muungano wetu ni wa serikali Mbili, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Serikali ya Jamhuri ya Tanganyika ilifutwa na haipo.

C. MAMBO YA MUUNGANO
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977), ibara ya 4, ibara ndogo ya 3, imetoa mwongozo kuhusu mambo ya muungano. Na, yameorodheshwa katika nyongeza ya kwanza ya katiba yetu.
Yafuatayo ni mambo 22 ya muungano kwa mujibu wa Katiba yetu.
1. Katiba ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
2. Mambo ya Nchi za Nje.
3. Ulinzi na Usalama.
4. Polisi.
5. Mamlaka juu ya mambo yanayohusika na hali ya hatari.
6. Uraia.
7. Uhamiaji.
8. Mikopo na baiashara ya Nchi za Nje.
9. Utumishi katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
10.Kodi ya Mapato inayolipwa na watu binafsi na mashirika, ushuru wa forodha na ushuru wa bidhaa zinazotengenezwa nchini Tanzania unaosimamiwa na Idara ya Forodha.
11.Bandari, mambo yanayohusika na usafiri wa anga, posta na simu.
12.Mambo yote yanayohusika na sarafu na fedha kwa ajili ya malipo yote halali (pamoja na noti); mabenki (pamoja mabenki ya kuweka akiba) na shughuli zote za mabenki; fedha za kigeni na usimamizi juu ya mambo yanayohusika na fedha za kigeni.
13.Leseni ya viwanda na takwimu.
14.Elimu ya juu.
15.Maliasili ya mafuta, pamoja na mafuta yasiyochujwa ya motokaa na mafuata ya aina ya petroli na aina nyinginezo za mafuta au bidhaa, na gesi asilia.
16.Baraza la Taifa la Mitihani la Tanzania na mambo yote yanayohusika na kazi za Baraza hilo.
17.Usafiri na usafirishaji wa anga.
18.Utafiti.
19.Utafiti wa hali ya hewa.
20.Takwimu.
21.Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano.
22.Uandikishaji wa Vyama vya siasa na Mambo mengine yanayohusiana navyo.

Angalau kwa mujibu wa katiba yetu, haya yaliyo orodheshwa ndiyo mambo ya muungano.


D. HOJA MEZANI (HOJA KINZANI)

Kwa kuwa Rais aliyeko madarakani ni asili ya Zanzibar, hivyo ni mZanzibari, na anaongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na yeye ni zao la muungano wetu. Na, kwa kuwa Katiba yetu imebainisha dhahiri mambo ya muungano, Je? Ni sahihi kwa Rais wa sasa kuongoza Tanzania Bara (Tanganyika) hata kwa mambo yasiyo ya muungano?

1.Kama ni sahihi, anaongozaje mambo yasiyo ya muungano ilhali yeye ni mZanzibari na ni zao la muungano na ana uishi muungano pamoja na mambo ya muungano, tukumbuke kwamba , tumeungana lakini hatujaungana katika mambo yoye, tumechagua mambo ya kuungana.
2.Kama sio sahihi nini kifanyike?

E. HITIMISHO
Kuna watu mtaacha kujibu hoja na kuleta vioja, kuna watu mtauliza kwa nini hoja hii inaletwa sasa. Majibu yake ni kwamba, Jana(26.04.2021) ilikua siku ya kukumbuka Muungano wetu, hivyo ni busara kuujadili kipindi hiki, na jana kuna kongamano lilifunguliwa ,kuendeshwa na makamu wa Rais Dkt.P.Mpango. Lakini, kwa maya nyingine tumepata Rais Mzanzibar kwa mujibu wa Katiba, hivyo nimeona ni vyema tujadili jambo hili ili kutoa/kuondoa hoja hizi kinzani.

Kwa maoni yangu, Kuna haja ya kuangalia maslahi ya Tanzania bara(Tanganyika) katika muungano wetu. Sioni maana ya Mzanzibari kuwaongoza waTanganyika katika mambo yasiyo ya muungano, unless tukubali kuungana kwa kila jambo. Pia, kuna haja ya kuwalinda waTanganyika kama ambavyo katiba inawalinda waZanzibari, Mathalani;
-Mtanganyika hawezi kumiliki ardhi Zanzibar kwa hoja mufilisi kwamba Zanzibar ni ndogo, lakini kwenye mgawanyo wa pesa za Maadhimisho ya Muungano watataka equal share.
-Wakati anahutubia Bunge, Rais Samia alitoa ahadi ya kununua Meli za uvuvi nne, huku mbili zikielekezwa Zanzibar na mbili Bara. Kwanza hii sio haki, kwani Uvuvi, na Usafirishaji wa majini siyo mambo ya muungano, sioni matiki kwa nini Rais wa Muungano aanze kuhangaika na mambo yasiyo ya muungano kwa Zanzibar kwa kutumia pesa za Watanganyika.

Niko Tayari kurekebishwa na kusahihishwa katika mjadala huu, ili tujenge Muungano utakao kidhi matakwa ya pande zote za Muungano.

Kwa sheria zetu zilizopo, hakuna hata sheria moja inayomnyima Mzanzibari haki ya kushika nafasi ya uongozi wa umma Tanzania Bara. Ndiyo maana aliyekuwa mgombea mwenza wa Lissu amewahi kugombea ubunge, kama sikosei, wa Jimbo la Kinondoni akashindwa tu. Kwa ujumla, Mzanzibari yeyote aliyepo Tanzania Bara anahitaji political capital tu kuchaguliwa kuongoza kipande chochote cha Tanzania Bara!
 
Tofauti na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania isemayo Zanzibar ni sehemu ya JMT, Wazanzibar wengi huona Zanzibar ni nchi, ni taifa na ni dola. Katiba yao ya 2010 nayo inaitaja Zanzibar kuwa ni nchi, si sehemu ya JMT!

Ieleweke kuwa muungano haupaswi kuwa jumuiko la viongozi la kupeana vyeo na kuwatisha wanaohoji utata na kero za muungano zisizoisha.

Muungano mzuri huunganisha mioyo ya watu kwa kushirikiana na kuhusiana kwa hiari, kwa usawa na kwa faida ya pande zote mbili. Sivyo ilivyo kwa Tanganyika na Zanzibar na watu wao. Hakuna urari wowote ule!

Wazanzibari wengi hujiona wana nchi yao na taifa lao, na hujitambulisha hivyo kimataifa. Hawajitambulishi kama Watanzania toka Tanzania! Soma shairi hili la Mohammed K. Ghassani katika diwani yake ya N'na Kwetu (Sauti ya Mgeni Ugenini):

"Mapenzi nikupendayo, nchi yangu Zinjibari
Sitampenda mwenzio, na wala siko tayari

Mapenzi nikupendayo, nchi yangu ya uzawa
Kwa mwengine siwi nayo, na wala haitakuwa

Mapenzi nikupendayo, ewe taifa tukufu
Hatazuka mfanowo, wala sitakukhalifu

Mapenzi nikupendayo, dola yangu Zanzibar
Yang'ara kama kioo, wala hayatachakaa

Mapendo nikupendayo, watwani wangu watwani (nchi)
Twaa yote nilonayo, na wala sitakukhini (sitakufanyia khiyana)

Mapenzi nikupendayo, biladi yangu biladi (mji)
Takupenda kila leo, na daima yatazidi"

Je, hapo kuna muungano wa kweli toka katika mioyo ya Wazanzibari wengi? Hakuna! Je, Watanganyika tuna mapenzi kama hayo kwa Tanganyika??!!
 
Mambo yote ya Tanganyika yaligeuzwa kuwa ya muungano isipokuwa Zanzibar imebakia na yake yasiyokuwa ya muungano. Ila ni utata mtupu, maana Tanganyika imejificha kwenye Tanzania.

Suluhisho ni serikali moja na nchi moja au nchi mbili tofauti zenye ujirani mwema na mahusiano mema.
Ni sawa, ila mtoa hoja anachouliza ni kwa mantiki gani Mzanzibari aongoze mambo ya Tanganyika yasiyo ya Muungano wakati Mtanganyika (Hata alipokuwepo Magufuli) asiongoze mambo yasiyo ya Muungano Zanzibar? Mimi nona hapa dawa ni serikali 3 au moja, hizi mbili zina utata.
 
Muungano ni muhimu sana kuna mambo machache ikiwemo usafirishaji bidhaa kutoka Zanzibar kuja bara kuna leta shida sana hasa kwenye suala la ushuru hii ni nchi moja Tanzania,pia ndugu zetu wao ni watanzania wapo free kwenda sehemu yoyote ndani ya Tanzania na kuishi popote akitaka kuishi Kigoma,Tanga ,Arusha atajenga na kufurahia nchi yake waache kujitenga.
 
UMENIFIKIRISHA KITU
Ni vigezo gani vilitumika rais wa Tanganyika kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na rais wa Zanzibar kuwa Makamo. Kifo Cha Abed Aman Karume kiliacha maswali mengi ya Muungano yasiyokuwa na majibu.Kama angekuwepo mwaka 1977 katiba isingekuwa kama ilivyo sasa.Kwa maoni yangu yeye Karume hakutaka rais wa Muungano atoke Zenj.Lengo lake lilikuwa ni ulinzi wa serikari ya Mapinduzi Zanzibar.Ndio maana bado inaendelea kuwepo.Wewe utakuwa rais na mimi makamo.Mtazamo was hayati Karume na unapaswa kuwa endelevu
 
A. UTANGULIZI
Napenda kuweka wazi kwamba nimeanzisha mjadala huu, ili kuondoa mkanganyiko na mkwamo ninao uona wazi wazi katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania. Kwa mara nyingine katiba yetu imejaribiwa (imekuwa tested), hivyo ni busara kuwepo kwa mjadala wa kuondoa shaka na hoja gonganishi katika katiba yetu kwa ustawi bora na imara wa Taifa letu Pendwa.

B. HISTORIA KIDOGO
Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania iliundwa Tar.26 April 1964, ikiwa ni muungano wa maTaifa huru ya Jamhuri ya Tanganyika (1962) na Jamhuri ya watu wa Zanzibar (1964). Jamhuri hizi mbili ziliingia mkataba wa pamoja 1964 na kuanzisha dola la Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania.
Kwa mujibu wa Katiba ya J.M.T ya mwaka 1977, ibara ya 4(3) imeorodhesha mambo 22 ya muungano baina ya pande mbili zilizo-ungana.
Kwa upande wa Tanzania bara (Tanganyika) mambo yasiyo ya muungano yanasimamiwa na serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na Kwa upande wa Zanzibar, mambo yasiyo ya muungano yanasimamiwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.


Kwa Lugha rahisi, Muungano wetu ni wa serikali Mbili, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Serikali ya Jamhuri ya Tanganyika ilifutwa na haipo.

C. MAMBO YA MUUNGANO
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977), ibara ya 4, ibara ndogo ya 3, imetoa mwongozo kuhusu mambo ya muungano. Na, yameorodheshwa katika nyongeza ya kwanza ya katiba yetu.
Yafuatayo ni mambo 22 ya muungano kwa mujibu wa Katiba yetu.
1. Katiba ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
2. Mambo ya Nchi za Nje.
3. Ulinzi na Usalama.
4. Polisi.
5. Mamlaka juu ya mambo yanayohusika na hali ya hatari.
6. Uraia.
7. Uhamiaji.
8. Mikopo na baiashara ya Nchi za Nje.
9. Utumishi katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
10.Kodi ya Mapato inayolipwa na watu binafsi na mashirika, ushuru wa forodha na ushuru wa bidhaa zinazotengenezwa nchini Tanzania unaosimamiwa na Idara ya Forodha.
11.Bandari, mambo yanayohusika na usafiri wa anga, posta na simu.
12.Mambo yote yanayohusika na sarafu na fedha kwa ajili ya malipo yote halali (pamoja na noti); mabenki (pamoja mabenki ya kuweka akiba) na shughuli zote za mabenki; fedha za kigeni na usimamizi juu ya mambo yanayohusika na fedha za kigeni.
13.Leseni ya viwanda na takwimu.
14.Elimu ya juu.
15.Maliasili ya mafuta, pamoja na mafuta yasiyochujwa ya motokaa na mafuata ya aina ya petroli na aina nyinginezo za mafuta au bidhaa, na gesi asilia.
16.Baraza la Taifa la Mitihani la Tanzania na mambo yote yanayohusika na kazi za Baraza hilo.
17.Usafiri na usafirishaji wa anga.
18.Utafiti.
19.Utafiti wa hali ya hewa.
20.Takwimu.
21.Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano.
22.Uandikishaji wa Vyama vya siasa na Mambo mengine yanayohusiana navyo.

Angalau kwa mujibu wa katiba yetu, haya yaliyo orodheshwa ndiyo mambo ya muungano.


D. HOJA MEZANI (HOJA KINZANI)

Kwa kuwa Rais aliyeko madarakani ni asili ya Zanzibar, hivyo ni mZanzibari, na anaongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na yeye ni zao la muungano wetu. Na, kwa kuwa Katiba yetu imebainisha dhahiri mambo ya muungano, Je? Ni sahihi kwa Rais wa sasa kuongoza Tanzania Bara (Tanganyika) hata kwa mambo yasiyo ya muungano?

1.Kama ni sahihi, anaongozaje mambo yasiyo ya muungano ilhali yeye ni mZanzibari na ni zao la muungano na ana uishi muungano pamoja na mambo ya muungano, tukumbuke kwamba , tumeungana lakini hatujaungana katika mambo yoye, tumechagua mambo ya kuungana.
2.Kama sio sahihi nini kifanyike?

E. HITIMISHO
Kuna watu mtaacha kujibu hoja na kuleta vioja, kuna watu mtauliza kwa nini hoja hii inaletwa sasa. Majibu yake ni kwamba, Jana(26.04.2021) ilikua siku ya kukumbuka Muungano wetu, hivyo ni busara kuujadili kipindi hiki, na jana kuna kongamano lilifunguliwa ,kuendeshwa na makamu wa Rais Dkt.P.Mpango. Lakini, kwa maya nyingine tumepata Rais Mzanzibar kwa mujibu wa Katiba, hivyo nimeona ni vyema tujadili jambo hili ili kutoa/kuondoa hoja hizi kinzani.

Kwa maoni yangu, Kuna haja ya kuangalia maslahi ya Tanzania bara(Tanganyika) katika muungano wetu. Sioni maana ya Mzanzibari kuwaongoza waTanganyika katika mambo yasiyo ya muungano, unless tukubali kuungana kwa kila jambo. Pia, kuna haja ya kuwalinda waTanganyika kama ambavyo katiba inawalinda waZanzibari, Mathalani;
-Mtanganyika hawezi kumiliki ardhi Zanzibar kwa hoja mufilisi kwamba Zanzibar ni ndogo, lakini kwenye mgawanyo wa pesa za Maadhimisho ya Muungano watataka equal share.
-Wakati anahutubia Bunge, Rais Samia alitoa ahadi ya kununua Meli za uvuvi nne, huku mbili zikielekezwa Zanzibar na mbili Bara. Kwanza hii sio haki, kwani Uvuvi, na Usafirishaji wa majini siyo mambo ya muungano, sioni matiki kwa nini Rais wa Muungano aanze kuhangaika na mambo yasiyo ya muungano kwa Zanzibar kwa kutumia pesa za Watanganyika.

Niko Tayari kurekebishwa na kusahihishwa katika mjadala huu, ili tujenge Muungano utakao kidhi matakwa ya pande zote za Muungano.
1. Rais ni Mtanzania.
2. Rais ni Kiongozi wa Serikali ya Muungano wa Tanzania.
3. Ana haki ya msingi ya kuongoza Tanzania yote, bara na visiwani.

Kinacho matter hapa si asili yake ni wapi, kama ulivyosema, Tanzania ni nchi moja, hivyo ukweli kwamba asili yake ni Zanzibar si muhimu.

Kinacho matter hapa, ni, je ana cheo gani na yupo katika serikali gani?

Mtu kama Waziri Kiongozi wa Zanzibar hastahili kuongoza mambo ya bara, si kwa sababu yeye ni Mzanzibari, bali kwa sababu ni mtumishi wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, si serikali ya Muungano.Tumeona Dr. Omar Ali Juma alikuwa Waziri Kiongozi wa Zanzibar, halafu akaja kuongoza Tanzania nzima kama makamu wa rais.

Rais wa Tanzania ana haki ya kuongoza Tanzania bara na visiwani, kwani ni kiongozi wa Tanzania nzima.

Ila, Rais wa Jamhuri ya Muungano, hatakiwi kujiingiza kwenye mambo ya Zanzibar ambayo hayapo katika Muungano.

Zaidi, ukileta habari za Uzanzibari na Utanganyika katika nchi ambayo ni Muungano, hapo unaleta ukabila.

Una m define vipi nani Mtanganyika na nani Mzanzibari katika nchi ambayo kuna watu wengi wametoka bara kwenda kuishi visiwani na wametoka visiwani kuja kuishi bara?

Utam define kwa kuzaliwa? Kwa miaka ya kukaa sehemu? Au kwa vipi?

Wazanzibari wenyewe karibu wote ni mchanganyiko wa Wazaramo, Wamakonde, Wanyamwezi na kadhalika, sasa ukisema uwabague utarudi mpaka lini?

Huyo Ali Hassan Mwinyi kawa rais wa Zanzibar na Tanzania, na kazaliwa Kisarawe. Huyu ni mtu wa wapi?
 
Aisee hili la kupata Raisi anayetokea Zenji, halikuja bule, limekuja ili lituonyeshe jinsi katiba Yetu ilivyombovu na mapengo mengi yanayohusu muungano wetu

Ni Wakati muafaka sasa Katiba irekebishwe ama mambo yanayozungumzwa yakihusisha kero za muungano, na hili liongezwe kwenye kero la muungano
Wewe unataka Rais wetu atoke wapi? Nimemuuliza mtoa hoja kwa nini hakuleta hoja kuwa tulikosea kumpeleka Mzee Ruksa Ikulu na hakujibu, Hii ni hoja ya kibaguzi sababu mzanzibar na mtanganyika hawa wote ni waTz na wana haki sawa. Acheni kuleta hoja za kijinga kama hizi! Wewe huwezi kupindua katiba iliyopo hata kama ina mapungufu ambayo leo unayaona baada ya kifo cha Dikteta. Acheni mama afanye kazi, huyu ndiye Rais wetu kwa mujibu wa katiba yetu ambayo ninyi mliiona nzuri wakati Dikteta Magufuri alipokuwa madarakani.
 
UMENIFIKIRISHA KITU
Ni vigezo gani vilitumika rais wa Tanganyika kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na rais wa Zanzibar kuwa Makamo. Kifo Cha Abed Aman Karume kiliacha maswali mengi ya Muungano yasiyokuwa na majibu.Kama angekuwepo mwaka 1977 katiba isingekuwa kama ilivyo sasa.Kwa maoni yangu yeye Karume hakutaka rais wa Muungano atoke Zenj.Lengo lake lilikuwa ni ulinzi wa serikari ya Mapinduzi Zanzibar.Ndio maana bado inaendelea kuwepo.Wewe utakuwa rais na mimi makamo.Mtazamo was hayati Karume na unapaswa kuwa endelevu

Kwa sheria zetu zilizopo, hakuna hata sheria moja inayomnyima Mzanzibari haki ya kushika nafasi ya uongozi wa umma Tanzania Bara. Ndiyo maana aliyekuwa mgombea mwenza wa Lissu amewahi kugombea ubunge, kama sikosei, wa Jimbo la Kinondoni akashindwa tu. Kwa ujumla, Mzanzibari yeyote aliyepo Tanzania Bara anahitaji political capital tu kuchaguliwa kuongoza kipande chochote cha Tanzania Bara!
HONGERA KWA MAELEZO ..
 
Kwa upande wangu siwezi kukataa kwamba hii hoja haina uzito, ili zanzibar iweze kuwa na semi-autonomous status inatakiwa Tanganyika (tuseme Tanzania) iwe ni dola kamili ambapo rais wa Tanganyika (Tanzania) anatakiwa awe na mamlaka ya uamiri jeshi mkuu, mambo ya nje na mambo mengine ya kidola huku akiachia maswala mengi ya ndani ya kiuendeshaji kwa rais wa zanzibar, mfano wa hili tunaliona kwa nchi kama China na Hongkong ambapo China ni nchi kamili lakini ina mamlaka ya kidola kwa Hongkong ambayo inajiendesha kwa mambo yake.....kwa muktadha huu urais utahusu dola la Tanganyika (Tanzania), na mzanzibar mwenye sifa ataweza kugombea urais kwa sababu ya kuwa raia wa dola zima la Tanzania na siyo kwa sababu yeye ni mzanzibar, hivyo bado atakuwa na mamlaka kamili kwenye dola zima la Tanganyika (Tanzania) na vile vile atakuwa na limited jurisdiction kwa upande wa zanzibar kwa sababu ile ni semi-autonomous state.......kwa hiyo katika kugombea urais wa Tanzania mzenji na mtanganyika wanatakiwa wawe na nafasi sawa, na sharti la kwamba rais akitoka upande huu makamu wake atoke upande mwingine halitakuwa relevant........
 
Hiyo mwenzake ni Tanzania visiwani siyo Zanzibar bwashee!
Bwashee ni hivi,

Kumbuka

NCHi inaitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (JMT), hii inatambuliwa rasmi na UN, AU, EAC, SADC etc.

SERIKALI ya JMT imegawanywa ktk sehemu kuu mbili kiutawala, kama ifuatavyo:

Utawala wa JMT - Mambo yote yaliyo ktk hati za Muungano ikiwemo URAIA wa JMT na hii inahusu Tanzania Bara na Tanzania Visiwani.

Utawala wa Tanzania Bara - Mambo yote yaliyo ktk hati ya Muungano na yasiyo ktkt hati Muungano lakini yanayohusu Tanzania Bara pekee.

Kuhusu Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) - Hii inasimamia mambo yote kiutawala yaliyo nje ya hati ya Muungano na yanayogusa Tanzania Zanzibar .

Issue ya Rais wa JMT kutoka Tanzania Visiwani:

Hili linawezeshwa na mambo yaliyo ktk hati ya Muungano hususan kwenye kipengele cha URAIA wa JMT ambapo mwananchi wa kutoka Tanzania Zanzibar ni Raia wa JMT kama alivyo mwananchi wa kutoka Tanzania Bara na hivyo basi ana haki ya kugombea nafasi yeyote ya uongozi ktk JMT ikiwemo ya kiti cha U Rais.

Tatizo ninaloliona ni suala la kuzuia wananchi wa kutoka Tanzania Bara ktk kugombea nafasi za uongozi ktk SMZ huko Tanzania Zanzibar pamoja na kuwasumbua kwenye suala la kumiliki ardhi.
 
Bwashee ni hivi,

Kumbuka

NCHi inaitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (JMT), hii inatambuliwa rasmi na UN, AU, EAC, SADC etc.

SERIKALI ya JMT imegawanywa ktk sehemu kuu mbili kiutawala, kama ifuatavyo:

Utawala wa JMT - Mambo yote yaliyo ktk hati za Muungano ikiwemo URAIA wa JMT na hii inahusu Tanzania Bara na Tanzania Visiwani.

Utawala wa Tanzania Bara - Mambo yote yaliyo ktk hati ya Muungano na yasiyo ktkt hati Muungano lakini yanayohusu Tanzania Bara pekee.

Kuhusu Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) - Hii inasimamia mambo yote kiutawala yaliyo nje ya hati ya Muungano na yanayogusa Tanzania Visiwani.

Issue ya Rais wa JMT kutoka Tanzania Visiwani:

Hili linawezeshwa na mambo yaliyo ktk hati ya Muungano hususan kwenye kipengele cha URAIA wa JMT ambapo mwananchi wa kutoka Tanzania Visiwani ni Raia wa JMT kama alivyo mwananchi wa kutoka Tanzania Bara na hivyo basi ana haki ya kugombea nafasi yeyote ya uongozi ktk JMT ikiwemo ya kiti cha U Rais.

Tatizo ninaloliona ni suala la kuzuia wananchi wa kutoka Tanzania Bara ktk kugombea nafasi za uongozi ktk SMZ huko Tanzania Visiwani pamoja na kuwasumbua kwenye suala la kumiliki ardhi.
Bwashee Zanzibar ni nchi kamili

Hakuna nchi inaitwa Tanzania bara duniani kote

Nchi inayojulikana ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mzanzibar anaweza kufanya kazi popote katika JMT

Wewe siyo mzanzibari hivyo huwezi kufanya kazi kule wala kupewa ardhi, ni sawa tu na umeenda Kenya au Uganda!
 
Bwashee Zanzibar ni nchi kamili

Hakuna nchi inaitwa Tanzania bara duniani kote

Nchi inayojulikana ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mzanzibar anaweza kufanya kazi popote katika JMT

Wewe siyo mzanzibari hivyo huwezi kufanya kazi kule wala kupewa ardhi, ni sawa tu na umeenda Kenya au Uganda!
Hahaha, bwashee unatafuta Visa wewe, angalia kauli zako, hapa tunazungumzia TUNU za JMT:)
 
Back
Top Bottom