technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,841
Naomba mahakama ya mafisadi ianze na hawa lasivyo nitaamini kuwa ni nguvu ya soda.
Mafisadi walikukimbia sasa washugulikie kweli kweli si uliahidi hivyo pale jangwani Dar?
Inauma mkuu kuna watu walimuchagua kwa kuamini Lowassa ni fisadi hivyo atashugulikiwa kumbe wapi maigizo matupu....Hakika tujifunze kuweka akiba ya maneno
Utaskia eti haki za binadamu.akiwashughulikia msianze kusema ni visasi....
Akishughulikiwa msije kusema ni siasa....tumeona juzi Sumaye akilialia kuhusu kiwanjaInauma mkuu kuna watu walimuchagua kwa kuamini Lowassa ni fisadi hivyo atashugulikiwa kumbe wapi maigizo matupu....
Yes of course kuna tatizo hasa ukiangalia wateule wa Rais ni wafia chama...Unapomuomba hilo kwani umemuona kuwa ni mtu anayemaanisha aongeacho? Mambo ya Uchama yamerudi kipindi hiki kuliko wakati mwingine wowote ule tangu mfumo wa vyama vingi urudishwe tena nchini.