Je, Rais Magufuli atahudhuria kikao cha UN General Assembly cha mwaka huu?

Naona watu wengi humu wanakitazama kama kikao tu, wanashau ni a place uanyoweza fanya meeting na wakuu wengi wa nchi tofauti personally na delegation zao.

Hizi huwa ni rahisi sana badala ya kusubiri zile visit za nchi kwa nchi.
 
Kikao cha UN General assembly kinafanyika tena mwezi wa tisa mwaka huu kama ilivyo ada

Swali langu ni kwamba Miaka minne Mheshimiwa Raisi hajaenda kukutana na Kiongozi yeyote wa Taifa kubwa na wala hajahudhuria kikao chochote cha UN General assembly.

Je safari hii itaenda?
Something tells me, this time atahudhuria.
Mimi ndiye mwandishi wa kwanza private kuripoti from NY, the maiden speeches za maraisi wa Tanzania (Mkapa na Kikwete wakihutubia UN GA, I pray to do the same kwa Magufuli.
P
 
Something tells me, this time atahudhuria.
Mimi ndiye mwandishi wa kwanza private kuripoti from NY, the maiden speeches za maraisi wa Tanzania (Mkapa na Kikwete wakihutubia UN GA, I pray to do the same kwa Magufuli.
P
Kumbe ndo maana..??
I now can easily connect the dots
 
Kule UN kuna mambo ya pembeni yanayoendelea kwenye corridor za diplomasia kuliko kuongea hiyo nusu saa

Kuna kukutana on the sideline na viongozi wenzako wa mataifa mbalimbali mkazungumza ushirikiano

Kuna kukutana na delegations za wafanyabiashara na wawekezaji etc

Ina maana hata Nyerere alipokuwa akienda huko alikuwa anapoteza pesa?

UN ilikua zamani sio sasa. Sasa UN ni genge la ile security council tu wengine wote wanajichosha tu.

Rais kufunga safari ili kwenda kupiga soga kwenye corridors za UN ni ujinga, anaweza kuwafuata hao viongozi wengine rasmi au wao kuja.

Rais yeyote makini hana muda wa kwenda UN Assembly kila siku ili tu aonekane kahudhurina na kupiga story kwenye corridors unless kama ana agenda ya msingi sana, vinginevyo muwakilishi anatosha. Marais wengi tu siku hizi wanatokei huko
 
Hivi hili 2015 wakubwa hawakuliona hadi kuanzisha kituo Masaki cha kuibia kura na kumpatia aliyeshindwa? Oneni dhambi yenu imelikosesha taifa fursa mbalimbali kwa miaka mitano na kuleta udumavu wa maisha kwa nchi nzima.
2020 makosa haya yasirudiwe tena

Mr Would yo re write your sentence in English?
 
Kabudi ataenda na kusoma hotuba iliyoandikwa na wataalamu ka akina Mahiga. Uwakilishi makini!
 
Marais wengi wasiohudhuria vikao hivi ni wale wanaoogopa kutoka nje ya nchi zao na kupinduliwa.

Magufuli bila kutaka anatuweka katika kundi hili.
 
korea ya kusini lini walihudhuria UN na palestina lini walihudhuria UN kuna nchi nyingi hawajafika UN ila wanamaendeleo cuba nao pia hawajafika
 
Akienda huko atakutana na maswali ya waandishi wa Kimataifa, Kwa nini serikali yako haichunguzi kupotea kwa Ben Saanane, Azory Gwanda inaelezwa alishikwa na vyombo vya usalama, yuko wapi?. Inasemekana kuna mamia ya Waliouawa Mkuranga je kwa nini serikali yako haichunguzi hili na kama ni uongo kwa nini haikumshitaki aliyetoa taarifa hizo?
Serikali yako inalalamikiwa kukandamiza haki za binadamu na demokrasia kwa nini serikali yako haiheshimu demokrasia kama ilivyokuwa kwa serikali zilizopita?
Hayo ndo maswali atakayokutana nayo huko
 
Nani Mjinga?
Yaani Uende Huko Wakati Nyumba Yetu Bado Tunaisafisha Vema. Halafu Kule Kuna Nini
 
Back
Top Bottom