Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Bonge la point mkuu, tupige kura nyingi za kumkataaNatamani sana kukuelimisha juu ya uamzi wa kutopiga kura...
Huoni kuwa hiyo ni njia ya moja kwa moja ya kumfanya abaki madarakani, tena njia anayoipenda sana. Rejea uchaguzi wa serikali za mitaa.
Kutopiga kura ni kumchagua yeye.
Kupiga kura na kushiriki kuhakikisha kura yako haipotei ndiyo njia pekee ya uhakika wa kumwondoa kama hutaki aendelee.