Ni Kweli,alizungukwa na wanafiki toka VP kwenda kwa wabunge, tuliokuwa nje ya mfumo hatukuliona hilo. Baada ya wasaidiz wake kumtonya, alipata stress hatimaye walimtosa, wengine waliamua kuanzisha ziara baada ya kumuona yupo ICU. Hii haikuwa mapenz ya Mungu.Kwa hali inavyoendelea kwa sasa naona kufariki kwa mwendazake kuna sababu zipo nyuma na haikuwa mapenzi ya Mungu naomba msininukuu vibaya ni maoni yangu ili na nyinyi mniambie kama ninawaza vibaya...