Kifo cha mwafrika huwa akikosi sababu kuu huwa ni kulogwa.The guy is gone kulingana na mda Mola wake aliompa,sisi nyuma yake usiwe kama Afande sele Hadi kumtukana mola wake
 
WEE BWANA UNA FIX....UNATUNGATUNGA VITU....WEE NI AFANDE SELE NINI? ......ULITAKIWA KUONGELEA JUU YA MAMBO YA KUJENGA BINGWA WETU ALIYAFANYA....TUNAENDELEAJE KUTOKANA MAONO YAKE KWA UTEKELEZAJI...TUPE NAMNA.....SIYO UNATUJAZA HASIRA ZA KIGOMBANISHI....HATUITAGI FIKRA ZA KIVISA VISA....TWENDE PAMOJA...MZEE WETU ILIKUWA BAHATI YA KIPEKEE KWA KARNE HII...MUNGU AMREHEMU....AMEFANYA MENGI IN GOOD AND HIGHEST FAITH KWENYE NCHI....USITAKE KULETA MANENO YA UONGO UONGO
 
Ukweli ni Kuwa Magufuli was Targeted and this time around walifanikiwa.

The Next in Line Could be Bashiru, Majaliwa na watu wenye Nguvu ambao wana falsafa ya Magufuli, nina wasiwasi endapo Rais ajaye baada ya Samia atatoka kwenye Kundi lisiloendana na Falsafa ya Magufuli, Nchi yetu inaweza kushuhudia Mapinduzi ya Kijeshi.

Inshort Magufuli licha ya muda wake mfupi ameijenga upya nchi yetu vizazi vingi vijavyo, Nyerere atakumbukwa Kama Baba wa Uhuru, Magufuli atakumbukwa kama baba wa Uchumi na Maendeleo
 
Kweli Lissu I kiboko pamoja na kuwa jemadari kuondoka bado Lissu anatajwa kuwa kamwita izraili mtoa roho kuondoa roho ya jemadari!
Kwa msiba huu mkubwa wa Baba wa uchumi, tutapata wapi muda wa wa kipuuzi kumzungumzia Tundu Lissu, yeye ataongelewa na wanachadema kwa kuwaulia chama chao. Magu kapanda mbegu ya uzalendo kwa watanzania, kifo chake kimeishikilia dunia hadi leo viewers wanakimbilia 4.2billion.

Piga kazi Mama wa Taifa Mama Samia Suluhu kamilisha maono mliyoratibu na Baba wa uchumi
 
Hata kilipotokea kifo cha PM Sokoine na baadae Baba wa Taifa Mwalimu Jk Nyerere, mengi sana yalisemwa yakihusisha vifo vyao na mkono wa mtu! Lakini sisi kama Taifa tulisikiliza na kupokea taarifa za wataalamu waliochunguza sababu za vifo vyao tukavuka.
Hivyo hata leo alivyofariki Mh Magufuli ni dhahiri yatasemwa mengi imefika mahala mtu amemshambulia hadi Mweyezi Mungu kwa kuruhusu kifo cha JPM! ile stori imenikumbusha na yule mwanaharakati mmoja wa Kimarekani alipomshtaki Mungu Mahakamani mwaka 2011.
Kuhusu kudukua pacemaker/Defibrillator ya Rais kwakweli ni ngumu sana hasa ukilinganisha na mazingira ya ulinzi wa rais! Pia si kweli kwamba timu ya ulinzi wa rais haikuwa aware na ulinzi wa afya yake kiteknolojia, kama waliweza kuhac mawasiliano ya kina Nape Nnauye, Benard Membe na akina Kinana ni dhahiri hili eneo wana ufahamu nalo vya kutosha.
Pia kama serikali iliweza kuzima na kuzuia mawasiliano ya simu na mitandao yote ya kijamii kipindi kile cha siku za uchaguzi iweje washindwe kuzuia mawasiliano na kifaa kinacholinda uhai wa rais!?
Lazima tukubali kuwa hakuna mwenye hakimiliki ya kuishi milele na pia kila mtu amepangiwa saa yake na namna yake jinsi umauti utakavyomkuta, hivyo hatuna budi kukipokea kifo cha rais wetu kama binadamu wengine na tujiepushe kuzusha mambo yatakayomfanya rais wa sasa akose imani na vyombo vyake vya kiusalama ilihali vilitimiza wajibu wake ipasavyo na kwa kadri ya mipaka yao ya uwezo wa kibinadamu. ...........Tuombee Marehemu wetu apumzike kwa Amani!
 
Kama hamtakuwa wakweli kuhusu Corona mtawapoteza wengi.
CORONA ni ugonjwa wa kufikirika. Nina uhakika na hilo kwa sababu nimeshamhudumia mgonjwa aliyesadikika ana CORONA na alikuwa anapumulia mashine kwa miezi miwili. Sikuvaa barakoa wala kutumia sanitizer hata siku 1. Kutakana na jinsi mnavyoupa uzito hata mtu akifa kwa kugangwa na gari mtasema CORONA.
 
Hiyo makala niliisoma vizuri.

lakini kuna point moja umeruka sehem. kifaa hicho mawimbi yake ni mafupi mno kiasi kwamba mtu lazima awe so close kuweza ku access hiko kifaa.

Nut in real sense. the way rais alifichwa. ilikuwa ni ngumu sana. kama PM na mawaziri hawakujua, nani angemsogelea rais zaid ya walinzi wake na madkatari wa usalama?

Plus Tanzania hatufikia uwezo wa hacking kiasi hiko. bado tuna safari ndefu.

All in all our late president aliondoka kwa tatizo la moyo. hizi theory sijui ilikuwa hivi ilkkuwa vile hazimrudushia uhai.

Wanausalama walishatoa sababu. Apumzike kwa amani
Swadakta
 
Ramli tu. Kwamba ni Lissu sasa kamuua Magu? Conspirancy hamuachi hata mlipotaka kumuua Lissu mara ya kwanza. Endeleeni mtufikishe kama taifa mnapopataka.

Unashida gan mkuu!! Lisu c yuko uko kwa wakolon anaendelea kupanga jinsi ya kuinad africa for sale?
 
CORONA ni ugonjwa wa kufikirika. Nina uhakika na hilo kwa sababu nimeshamhudumia mgonjwa aliyesadikika ana CORONA na alikuwa anapumulia mashine kwa miezi miwili. Sikuvaa barakoa wala kutumia sanitizer hata siku 1. Kutakana na jinsi mnavyoupa uzito hata mtu akifa kwa kugangwa na gari mtasema CORONA.
mkuu tuliza akili. umemhudumia mgonjwa mwenye corona halafu tena unasema corona haipo.

Nyuzi za corona zipo kibao humu pata muda wa kujihabarisha. Hata mimi nimefanya kazi na mtu aliyekuwa na Corona wiki 2 akiwa hajisikii vizuri lakini anajikokota kuja kazini. Tulikuwa wanne. Mmoja akaugua pia Corona lakini wiwili hatukuugua. Tulivaa barakoa mitaani ila tukiwa pamoja tunajiachia.

Nini kilitufanya wengine tusiugue-kinga za miili yetu zipo imara hazishambuliwi kirahisi. Mwenzetu aliyeugua alikuwa na HIV. akapambana akapona.

Acha kubishana na madaktari na wanasayansi. Hata marehemu alikuwa na mdomo kama wako
 
mzee atakuwa alipigishwa shoti. ni hatari sana kama nchi kuwa vulnerable namna hii.

muda utasema.

statement ya maza tarehe 17 alipofika kipengele cha 'mfumo wa umeme' alilazimika kurudia mara mbili.

by the way hiko kifaa bado kipo kifuani kwa Mzee au kilitolewa?

lazima tujue na kama hamtaki tujue tutajua.
 
mkuu tuliza akili. umemhudumia mgonjwa mwenye corona halafu tena unasema corona haipo.

Nyuzi za corona zipo kibao humu pata muda wa kujihabarisha. Hata mimi nimefanya kazi na mtu aliyekuwa na Corona wiki 2 akiwa hajisikii vizuri lakini anajikokota kuja kazini. Tulikuwa wanne. Mmoja akaugua pia Corona lakini wiwili hatukuugua. Tulivaa barakoa mitaani ila tukiwa pamoja tunajiachia.

Nini kilitufanya wengine tusiugue-kinga za miili yetu zipo imara hazishambuliwi kirahisi. Mwenzetu aliyeugua alikuwa na HIV. akapambana akapona.

Acha kubishana na madaktari na wanasayansi. Hata marehemu alikuwa na mdomo kama wako
Nimesema aliyesadikika. Labda tutafute mkalimani akueleze vizuri
 
Back
Top Bottom