Ukisikiliza hotuba zake JPM kwa umakini sana, utagundua jinsi alivyokuwa anaiona hatari ya Kuuliwa. Hata mimi kwa uelewa wangu mdogo wa security nilikuwa nishaanza kunusa hiyo hatari ya kifo chake...
Kwani wewe ulishiriki vipi katika hiyo mipango na taarifa ulizonazo ni zipi,na inaonyesha kama una uzalendo ndani yako,kwanini usipeleke taarifa ulizonazo mahalo husika.
 
Ukisikiliza hotuba zake JPM kwa umakini sana, utagundua jinsi alivyokuwa anaiona hatari ya Kuuliwa. Hata mimi kwa uelewa wangu mdogo wa security nilikuwa nishaanza kunusa hiyo hatari ya kifo chake..
Acha kuwaza ujinga wewe jiwe kaondolewa na covid19 aliyokuwa akiita mafua

Hata angekuwa ameuawa, mimi naona ni vizuri ili kulikomboa taifa ambalo lilikuwa linaelekea kwenye ukabila, mauaji ya ajabuajabu, ufisadi mkubwa usiohojiwa na kubambikia watu kesi ili kuwafilisi
 
TISS wanamlinda vipi dhidi ya ugonjwa ambao yeye mwenyewe anasema haupo tumepiga maombi umeisha?

Rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yeyote, unaweza kumshauri lakini hauwezi kulazimisha.
Katika utabibu mojawapo za haki ya mgonjwa ni pamoja na hiyari ya kupata Tiba.
 
Nimejiuliza na kufikiria sana sana kuhusu kifo cha Rais Magufuli kilichosababishwa na mfumo wa umeme wa moyo uliokuwa unaratibiwa na pacemaker/defibrillator..
Yaani hatuwezim kushangaa. Sasa wanataka kurudi kwa nguvu kuchukua raslimali zetu. Hatutakubali!
 
Ramli tu. Kwamba ni Lissu sasa kamuua Magu? Conspirancy hamuachi hata mlipotaka kumuua Lissu mara ya kwanza. Endeleeni mtufikishe kama taifa mnapopataka.
Na ni yeye ndiye aliyemuu kwa kushirikiana na mafisadi. Ila mjue Magufuli u=yu hai ndani ya mamilioni ya Watanzania!
 
Mwendazake alitukana, alidhihaki na kuwabagaza Mabeberu. Alienda mbali zaidi kuzibagaza Tiba zao, Chanjo zao na Kinga zao tena pasipo kutumia simile.

Fikiria mtu ambae anapumua kwa msaada wa Pacemaker ya Mabeberu kisha anadharau Tiba za mabeberu.

Nionavyo mm Mabeberu waliamua tu kuzima Pacemaker yao baada ya kuona waliemsaidia hana imani na Tiba zao. Kwaio Siungi mkono kwamba wamemuua Mwendazake bali ni kwamba walizima kifaa chao na kumrudishia afya yake katika hali ya zamani ili akatafute tiba anayoiamini.

Muhimu zaidi sisi kama watanzania Tuache kazi iendelee
 
Mimi naiangalia kwa namna nyingine.
Hii pacemaker ina life span na muda wake ukifika inatakiwa kubadilishwa. Je inawezekana madaktari wake walijisahau kuhusu muda wa kuibadilisha?
Mkuu,

Tazama hapa chini
Research Reveal that Pacemaker Can Be Hacked for Political, Financial and Personal Gain by Adversaries/Vengeance Agent

The Target is Attacked by Compromising the Programmed Information on Pacemaker by phishing the following info

Information Programmed on Pacemaker/DefibrillatorYesNoDepends on Hospitals
Client's Name
Name of Hospital
Name of Doctor
Serial Number of Pacemaker/Defibrillator
Date of Hospital Visit
Client ID
Dr. Phone Number
Software Version
Battery Life
Telemetry Status
Last Dr. Appointment
Heart Beat History
Episodes
Pacemaker Model
Age
SSN
Birth Date
Implanted Date
Notes-Could Be Anything

Narrative of Facts
  • There would be forensic information stored on a pacemaker that would pinpoint the exact time of death or possible tampering with the data.
  • The attacker would also have to be in relatively close proximity to the target to perform the task.
  • The device is programmed to link to the company’s server and download updates
  • This is done rather quickly without any type of verification that you are receiving a valid update from the appropriate place
  • If someone broke into the manufacturer’s update database and placed some simple loose software,
  • The programmers would automatically trust that this software is okay to install on the device.
  • Placing a virus or exploitable code could easily infect many programming devices before it was found
  • If a wide scale attack could happen it would most likely originate from an infected server at the manufacturers when updating a malicious code into the pacemaker
  • The hospitals have the ability to financially afford advanced security teams and the ability to design infrastructure that keep patient data safe as opposed to date
  • The implantable pacemaker is an example of a device that has catastrophic effects if there was a major attack on its systems
  • Can you imagine a world where hackers, politician or business sponsored attacks can affect the outcome and performance of implantable medical technology?
  • Cardiologists can now retrieve information about patients’ cardiac function and pacemaker function, and reprogram pacemakers from afar
  • There is also evidence that it facilitates early identification of device faults and adverse events
  • The remote access to cardiac devices generates privacy and security issues to the patient implanted with the medical device
  • This aspect risks to privacy and safety associated with remote accessibility functions and data collection capabilities of pacemakers by competitors/enemy
  • Most pacemaker batteries last for 6 to 10 years. After this, you may need to have the batteries changed
  • Changing the batteries involves replacing the pacemaker box with a new unit
  • A person fitted with a pacemaker needs to avoid some medical tests such as MRI scan and TENS (Transcutaneous electrical nerve stimulation) machines as they produce electromagnetic fields
  • Symptoms that your pacemaker is improperly working or has developed infections are breathlessness, dizziness, fainting, chest pains, swelling arm on pacemaker side
  • Contrary to what you may have heard, pacemakers do not take over the work of the heart
  • The pacemaker which is consisted of a generator(battery) and a lead (flexible, insulated wires) helps to regulate the timing and sequence of the patient's heartbeat.
 
Nimejiuliza na kufikiria sana sana kuhusu kifo cha Rais Magufuli kilichosababishwa na mfumo wa umeme wa moyo uliokuwa unaratibiwa na pacemaker/defibrillator.

Kujiuliza na kufikilia kwangu kumetokana onyo la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Marekani (Department of Homeland Security-DHS) lililotolewa mwaka 2019 linaloonya makampuni yanayotengeneza pacemaker/defibrillator kuhusu hatari ya kifaa hicho kudukuliwa na wataalam wa udukuzi na kupelekea hata kifo kwa watu waliopandikizwa kifaa hicho.

Ukitaka kusoma onyo hilo unaweza kugonga hapa;
Link>>> Pacemakers and Hacker Dangers

Wizara hiyo ilibainisha kuwa wadukuzi wanaweza kuingilia mifumo ya pacemaker/defibrillator na kuweza kubadilisha mawasiliano yake ambapo inaweza kupelekea mtu aliyewekewa kifaa kufariki.

Wizara hiyo ilienda mbali zaidi na kusema hata wadukuzi ''mwenye uwezo mdogo'' wanaweza kudukua pacemaker/defibrillator na kufanikiwa kuleta madhara makubwa kwa watu waliopandikizwa vifaa hivyo kwa sababu vifaa hivyo havina mfumo wa uhakiki au idhini (authentication or authorization) ambao ni kinga ya mwanzo dhidi ya udukuzi.

Onyo hili lilipelekea watoa huduma ya afya nchini Marekani kuwaita wananchi wa Marekani zaidi ya nusu milioni waliopandikizwa vifaa hivyo na kuwaeleza ukweli wake.

Kama kifaa hiki kinaweza kudukuliwa hata na wadukuzi wenye uwezo mdogo na kuleta madhara au kifo, inafikirisha sana kusikia kifo cha Rais Magufuli kimesababishwa na mfumo wa umeme wa moyo uliokuwa unaratibiwa na pacemaker/defibrillator. Bear in mind, Rais Magufuli amekuwa na hii pacemaker/defibrillator kwa zaidi ya miaka 10. Why now?

Inafikirisha zaidi baada ya kusoma makala iliyoandikwa na Tundu Lissu kupitia gazeti la Afrika ya Kusini liitwalo Maverick akidai alidokezwa kuhusu hali ya Rais Magufuli na chanzo cha ''uhakika'' kutoka Marekani tarehe 6 Machi.

Ukitaka kusoma makala hiyo gonga hapa;
Link>>> OP-ED: Tanzania’s five years of devastation under the presidency of John Pombe Magufuli

Ukiyachanganua maelezo ya Tundu Lissu utagundua kuwa chanzo cha ''uhakika'' walijua wamefanikiwa ''mission'' ya kudukua hasa baada ya Rais Magufuli kwenda katika hospitali ya Muhimbili tarehe 6 Machi kutibiwa ambapo inaonekana daktari/madaktari walitoa siri hiyo nje lakini baada ya kutoka Muhimbili siku ya pili hawakujua yuko wapi kutokana na usiri wa hali ya juu wa ulinzi wa Rais Magufuli.

Hata gazeti ya Kijasusi liitwalo Africaintelligence halikuweza kujua aliko na likadai habari zinazosema yuko Kenya au India sio za kweli kwa sababu limefanya uchunguzi na kugundua sio kweli.

Kama chanzo cha kifo cha Rais Magufuli kitakuwa ni kudukuliwa kwa pacemaker/defibrillator, hii itakuwa ni aibu na udhaifu mkubwa kwa vyombo vilivyopewa mamlaka ya ulinzi na usalama wa taasisi ya Urais nchini Tanzania. Taasisi ya Ulinzi na Usalama inawezekana ilikuwa imejikita katika ulinzi wa mwili(Physical security ) pekee bila kujiandaa kwenye ulinzi wa saibenetiki(cybersecurity).

Kuna baadhi ya watu watajiuliza, kwa nini pacemaker/defibrillator ya Rais Magufuli idukuliwa kwa sasa?

Mtu mwenye upeo mkubwa atajua muda huu ndio ulikuwa ni muda mwafaka kiujasusi baada ya uchaguzi mkuu 2020 kwa sababu nguvu zilizokuwa zimewekezwa katika Uchaguzi Mkuu 2020 ili kumuondoa Rais Magufuli madarakani kwa njia ya sanduku la kura au maandamano kupitia kwa Tundu Lissu kutofanikiwa.

Ukisikiliza sauti ya tatu utagundua kuwa Tundu Lissu aliwaaminisha ''majasusi'' ana uwezo wa kumtoa Rais Magufuli madarakani kwa kura au maandamano.

Ieleweke kuwa, katika baadhi ya misheni hasa za kijasusi zenye changamano na tata huwa kuna mpango(plan) zaidi ya mmoja. Baada ya mpango wa kwanza kushindwa, mpango wa pili ulichukua nafasi yake na kufanikiwa!

Nadhani hoja za kinadharia kutoka kwa baadhi ya wanasiasa hasa wabunge za kutaka kubadilisha katiba ya Tanzania ili kumuongezea Rais Magufuli muda wa Urais pia zimeharakisha sana ''mission'' hii kabla hawajaanza kuandika ''miswaada binafsi'' na kupeleka bungeni kwa sababu ungepitishwa bila kikwazo chochote!

Mission accomplished, the rest is history!

NOTA BENE.
Kwa wasiojua, pacemaker/defibrillatorni ni kifaa kidogo cha umeme chenye ukubwa kama kiberiti ambacho hufuatilia na kudhibiti wimbo wa moyo ambacho huingizwa kwenye kifua ili kufuatilia na kudhibiti sauti ya moyo isiyo ya kawaida ili kusukuma damu kwa kiwango kinachotak

Magu alishaaga dunia. Let him rest in peace.
 
A TIMELINE & COUNTDOWN TO A SAD MARCH 17

FEBRUARY 2021

1 MON ---

2 TUE ---

3 WED ---

4 THU ---

5 FRI ---

6 SAT ---

7 SUN ---

8 MON ---

9 TUE ---

10 WED ---

11 THU --- Morogoro Market Officially Opened by JPM

12 FRI --- JPM Opens Hide Factory in Morogoro

13 SAT ---

14 SUN ---

15 MON ---

16 TUE ---

17 WED --- Death of Amb. Kijazi & VP Maalim Seif

18 THU ---

19 FRI --- JPM on Kijazi's Funeral at Karimjee DSM

20 SAT ---

21 SUN --- JPM Last Day in Church

22 MON ---

23 TUE ---

24 WED --- JPM at Kijazi Interchange & Magufuli International Bus Terminal Mbezi Louis

25 THU --- Kisutu Market Opened by JPM

26 FRI --- JPM at Kurasini: His Last Public Speech

27 SAT --- Dr. Bashiru Takes Oath of Office in Place of Late Amb. Kijazi. JPM's Last Public Appearance

28 SUN --- JPM Unusually Misses Church Service



MARCH 2021

1 MON ---

2 TUE ---

3 WED ---

4 THU ---

5 FRI ---

6 SAT --- Speculations Regarding JPM's Sickness Ensue

7 SUN --- JPM Misses Church for the 2ND TIME

8 MON ---

9 TUE ---

10 WED --- Speculations Rise that He Had Been Flown to Kenya for Treatment; Social Media Circulate Tarp-Covered Military Vehicles & Military Band

11 THU --- Speculations that He Had Been Flown to India

12 FRI --- PM in Njombe Says JPM is Well & Active in His Official Work as Usual

13 SAT ---

14 SUN --- JPM Misses Church for the 3RD TIME

15 MON --- VP Samia in Tanga

16 TUE ---

17 WED --- Official Devastating Announcement by the then VP Ms Samia
After Kijazi and Maalim Death na kuumwa wa Dr.Mpango...tungefuata WHO protocal Late President and mawaziri wake walipaswa kuwa quarantine for 14 days na familia zao...mtiririko wapo nimeupenda unaonesha vema incubation period ya changamoto ya upumuaji....
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameonya wanaoeneza uvumi kwa Rais JPM aliuawa kwa sumu na kutoa rai wenye ushahidi huo watoe taarifa kwenye vyombo vya usalama ili hatua zichukuliwe.

Wanaojenga hoja hiyo ya sumu wanaamini katika Ulinzi madhubuti wa Rais kwa kila namna hawezi kudhurika kirahisi.

Rais SSH amezima mjadala huo kwa kusema mtangulizi wake alikuwa na tatizo (mgonjwa) wa/la moyo kwa zaidi ya miaka kumi. Hii maana yake toka 2015 Magufuli alikuwa mgonjwa.

Tutakumbuka Edward Lowassa aliambiwa ni mgonjwa "asiende kufia Ikulu" na ili kujibu afya njema Magufuli alipiga push up jukwaani.

Katika sifa 13 za mgombea Urais 2015 sifa ya 3 inasomeka, "Awe na afya njema isiyo na mashaka".

Swali, je JPM alidanganya chama kuhusu afya yake? Je, ni nani anathibitisha afya hiyo kwa chama? Je, chama kilidanganya wanachama wenzao? Tumejifunza nini kama chama kuhusu afya ya wagombea Urais ili makosa yasijirudie? Nawaza kwa sauti kwa nini CCM ikwepe lawama?
#FreedomIsBack
 
Back
Top Bottom